Kumbe kweli tulikuwa tunahujumiwa, thamani ya dola imeshuka

Leo nimejipa mtihani mdogo kabisa kupitia katika bank tofauti na baadh baadhi ya bureau de change za hapa Tanzania,nilichokiona ni kwel kabisa mheshimiwa rais aliposema tunahujumiwa na baadhi ya watanzania wakishirikiana na makanjubah katika bureau de change zao na baadh ya bank ndogondogo ambazo nia ilikuwa ni kuharibu taswira ya uchumi wetu.

Labda nibak kwenye kwel uchumi wa Tanzania kiufup haupo sawa mana hili naliongea kama mtanzania ambae naishi katika jamii ambayo nashinda nayo na naishi nayo lakin wote tunajua kwann uchumi haupo sawa kama hapo nyuma ni kutokana na miradi mikubwa ambayo serikali inaiendesha kwa sasa lakin i hope ikishamalizika tutarud katika njia iliyokuwepo tuwe wavumilivu.

Turud katika point,hata kama uchumi wetu katika kipind hiki haujakaa sawa lakin tusitumie nafasi hiyo kuendelea kuihujumu nchi tujaribu kuwa wazalendo haiwezak dola ilitoka 2250 ghafla kwa miez michache ikafikia 2400 hiyo haipo hata uende nchini Libya ambako kila siku uchumi unaporomoka hawafikii kasi hii.Sasa ona baada ya kuwakaba mahafidhina wakubwa tulipo hii leo katika exchange rate in term of Dollar.

CRDB BANK(Buying 2265, Selling 2325).

NMB BANK (Buying 2270, Selling 2320).

NBC BANK (Buying 2270, Selling 2325).

BOT (Buying 2276, Selling 2299).

KCB BANK (Buying 2267, Selling 2300).

Bureau des change tofauti tofauti (Buying 2275, Selling 2325).
Kwenye hizo rates wewe umegundua nini?
 
Umeuza nini nje ukaweza kuithibiti dola? kuna anguko kubwa sana linakuja ikiwa ni matokeo ya kupangiwa rates ili kudanganya wananchi kama wewe.
 
Ninakubaliana na taarifa aliyotupa Mkuu wa Kaya kuwa forex bureau zaweza kuwa kichaka cha kufanya madudu kwenye exchange rate ya forex vs TZS... kwa kuwa hiyo nayo ni mbinu kubwa ya kuhujumu uchumi...

Ila nataka Wizara ya Fedha na BOT wakubaliane na alichosema waziri Prof. Mpango kuwa mwaka jana tuli-import zaidi huduma na bidhaa kuliko ku-export. Kwa alisikia hotuba ya Waziri ya mpango wa uchumi 2019/20 alitaja kama sababu ambayo ni ukweli...

Mwezi wa pili nilitoa hoja..


Ninachotaka toka kwa Wizara ya Fedha, wizara ya viwanda na Biashara, Kilimo, mifugo, uvuvi, elimu, mambo ya nje na Vijana... tukae chini sote ili tuje na mkakati

Tunazidisha vip exports za finished goods and service tupate forex, sio by default but rather by strategic measurable and achiavable actions;

Tunapunguza vip imports of goods and services...sio by default but rather by strategic measurable and achiavable actions;
Tukijibu haya maswali mawili then tunakuzaje uzalishaji wa malighafi za kilimo na kukuza agro-processing?
Tunafanyaje agro-financing ipatikane sio kwa ugumu sanaaaa, ila kwa miradi ambayo inatekezeka.
Watoto wetu wanakwenda kusoma chuo sio kwa collateral, kwa akili yake anapata mkopo. Kuna miradi Tanzania wala haihitaji msuli sana, na kuna mingine hata namba moja amewahi kuisema; inahitaji utashi na uharaka kutoa fedha kuweka viwanda vinavyo-cut down imports...

Kuna wakati mabenki ikifika saa 6.30 jumamosi yote yanafunga. Siku hizi with exceptions kuna mengine yanafanya kazi mpaka j2, jumamosi mpaka saa 2 usiku.

Kuna miradi ikitengenezewa exceptions ikapitiwa kwa pamoja kwa ubia wa sekta ya umma na sekta binafsi tukipunguza imports na kuongeza exports shilingi itapata nguvu by default... nalia na hoja hiii wakubwaaa
 
Ninakubaliana na taarifa aliyotupa Mkuu wa Kaya kuwa forex bureau zaweza kuwa kichaka cha kufanya madudu kwenye exchange rate ya forex vs TZS... kwa kuwa hiyo nayo ni mbinu kubwa ya kuhujumu uchumi...

Ila nataka Wizara ya Fedha na BOT wakubaliane na alichosema waziri Prof. Mpango kuwa mwaka jana tuli-import zaidi huduma na bidhaa kuliko ku-export. Kwa alisikia hotuba ya Waziri ya mpango wa uchumi 2019/20 alitaja kama sababu ambayo ni ukweli...

Mwezi wa pili nilitoa hoja..


Ninachotaka toka kwa Wizara ya Fedha, wizara ya viwanda na Biashara, Kilimo, mifugo, uvuvi, elimu, mambo ya nje na Vijana... tukae chini sote ili tuje na mkakati

Tunazidisha vip exports za finished goods and service tupate forex, sio by default but rather by strategic measurable and achiavable actions;

Tunapunguza vip imports of goods and services...sio by default but rather by strategic measurable and achiavable actions;
Tukijibu haya maswali mawili then tunakuzaje uzalishaji wa malighafi za kilimo na kukuza agro-processing?
Tunafanyaje agro-financing ipatikane sio kwa ugumu sanaaaa, ila kwa miradi ambayo inatekezeka.
Watoto wetu wanakwenda kusoma chuo sio kwa collateral, kwa akili yake anapata mkopo. Kuna miradi Tanzania wala haihitaji msuli sana, na kuna mingine hata namba moja amewahi kuisema; inahitaji utashi na uharaka kutoa fedha kuweka viwanda vinavyo-cut down imports...

Kuna wakati mabenki ikifika saa 6.30 jumamosi yote yanafunga. Siku hizi with exceptions kuna mengine yanafanya kazi mpaka j2, jumamosi mpaka saa 2 usiku.

Kuna miradi ikitengenezewa exceptions ikapitiwa kwa pamoja kwa ubia wa sekta ya umma na sekta binafsi tukipunguza imports na kuongeza exports shilingi itapata nguvu by default... nalia na hoja hiii wakubwaaa
Mkuu nilivyokuelewa pamoja na yote, unasisitiza tuuze sana nje ili shilingi iwe na thamani. Hayo mengine tunazungukazunguka tu.
 
Back
Top Bottom