Kumbe kwa mila zetu watoto hawaruhusiwi kuhudhuria harusi za wazazi wao

Mandown

JF-Expert Member
Apr 8, 2012
1,665
503
Hallow wana JF
Takriban wiki mbili tatu hivi nilipata fursa ya kuhudhuria harusi ma mama mmoja, walikuwa wanabariki ndoa washaishi kama mume na mke zaidi ya miaka 30 kwa maana kijana wao wakwanza ana umri huo.Mambo makubwa mawili yalinistaajabisha.
icon9.png
. watato wa Wanaharusi Na wajukuu hawakuruhusiwa kufika Kanisani Au Ukumbini ambapo receiption ilifanyika. Hii mie naoan haikuwa sahihi. Wamewanyima furaha watoto wao kuhudhuria tukio muhimu la kihistoria katika familia yao, hata
icon9.png
ukumbini kushangilia wazazi wao noyo tabu!!!!!
icon9.png
Pale mchungaji alipo iombea ndoa hiyo ipate matunda "watoto" wakati wanandoa wana wajukuu!!.
 
ni kweli nadhani labda haitakiwi kuwafundisha watoto wetu kuishi kinyume na mafundisho ya dini zetu ndio maana hawaruhusiwi kushiriki...

Inatakiwa wajue wazazi wao walikuwa wanaishi kihalali na wao ni watoto halali vinginevyo unaweza kupata maswali kuliko majibu unayowezakufikiria......
 
Hallow wana JF
Takriban wiki mbili tatu hivi nilipata fursa ya kuhudhuria harusi ma mama mmoja, walikuwa wanabariki ndoa washaishi kama mume na mke zaidi ya miaka 30 kwa maana kijana wao wakwanza ana umri huo.Mambo makubwa mawili yalinistaajabisha.
icon9.png
. watato wa Wanaharusi Na wajukuu hawakuruhusiwa kufika Kanisani Au Ukumbini ambapo receiption ilifanyika. Hii mie naoan haikuwa sahihi. Wamewanyima furaha watoto wao kuhudhuria tukio muhimu la kihistoria katika familia yao, hata
icon9.png
ukumbini kushangilia wazazi wao noyo tabu!!!!!
icon9.png
Pale mchungaji alipo iombea ndoa hiyo ipate matunda "watoto" wakati wanandoa wana wajukuu!!.

Ha ha ha!!!umenichekesha hapo....
Na matunda nayo yameshaleta matunda mengine!!!!!
 
ni kweli nadhani labda haitakiwi kuwafundisha watoto wetu kuishi kinyume na mafundisho ya dini zetu ndio maana hawaruhusiwi kushiriki...

Inatakiwa wajue wazazi wao walikuwa wanaishi kihalali na wao ni watoto halali vinginevyo unaweza kupata maswali kuliko majibu unayowezakufikiria......
Sasa mtoto wa miaka 30 naye niwakufanyiwa hivyo, ingekuwa mtoto mdogo hapo sawa
 
Sasa mtoto wa miaka 30 naye niwakufanyiwa hivyo, ingekuwa mtoto mdogo hapo sawa

Haswaa huyo ndiye wa kufanyiwa hivyo maana anatakiwa kuuliza sababu za kufanyiwa hivyo na kuelezwa. Huyo ndiye haswaa maana kama atakuwa hajaingia katika kuishi pamoja na mtu basi aelezwe kuwa si jambo jema kuishi-ishi tu bali aingie rasmi kwa maongozo ya imani yake.......
 
Haswaa huyo ndiye wa kufanyiwa hivyo maana anatakiwa kuuliza sababu za kufanyiwa hivyo na kuelezwa. Huyo ndiye haswaa maana kama atakuwa hajaingia katika kuishi pamoja na mtu basi aelezwe kuwa si jambo jema kuishi-ishi tu bali aingie rasmi kwa maongozo ya imani yake.......
Nimekuelewa,
Je na lile la mchungaji wakati anafungisha ndoa anaiombe wapate watoto, wakati wanandoa tayari wana mpaka wajukuu, kwa maana hao alio nao sio halali!!!
 
Nimekuelewa,
Je na lile la mchungaji wakati anafungisha ndoa anaiombe wapate watoto, wakati wanandoa tayari wana mpaka wajukuu, kwa maana hao alio nao sio halali!!!

Anachofanya mchungaji hapo kwa mtazamo wangu ni sahihi kabisa kwa kuwa hapo awali haikuwahi kuwepo ndoa. Hivyo katika uhalisia wa kimafundisho ya imani wale hawajawahi kuwepo au hawakutokana na muungano halali, sasa anawaombea wazae na kuzaa kuna maana mbili; moja ni ya kimwili ambapo mwanamke hubeba mimba na kujifungua, na nyingine ni ya kiimani...

Kwamba awaongoze binadamu wenzie watoto kwa wakubwa katika njia sahihi kwa mujibu mafundisho wa imani aliyoichagua na kuiamini hata kuridhia kufungishwa ndoa kwayo....
 
Nimekuelewa,
Je na lile la mchungaji wakati anafungisha ndoa anaiombe wapate watoto, wakati wanandoa tayari wana mpaka wajukuu, kwa maana hao alio nao sio halali!!!

Wanaweza kuongeza katoto kamoja cha ukumbusho wa LIFE AFTER KUBARIKI NDOA
 
Back
Top Bottom