Nawakumbusha kuna waziri fulani anayeyokea mbeya alisema na yeye atasomesha watoto wa marehemu sasa huyo mama ili ujie anatumika kisiasa nw kama watoto hawajakwenda shule mbona hakumtaja huyo waziri na akarukia kwa dr he he amakweli nimeamini tanzania kuendelea ni kazi vyombo vya habari vimekalia mipasho tu, well kunamambo mengi ya msingi ya kuandika naona mtumie muda mwingi kuongelea ziwa Malawi linavyo taka kuporwa ili watu wa fahamu hilo na si mipasho