Kumbe kuna watu wawili waliuawa Igunga.

janja pwani

Senior Member
Jul 27, 2011
104
9
Tupo msibani hapa mburahati kuna kijana inasadikiwa kijana wa chadama anaitwa Okada aliuawa kwa kupigwa risasi na mjini igunga siku ya kutangaza matokeo ni kati ya vijana waliokuwa wanafanya maandamano kabla ya matokeo kutangazwa na inasadikiwa kuwa ameishazikwa ambapo leo wanandugu walifika Makao makuu ya chadema kinondoni na kulalamika kuwa wanataka maiti ya ndugu yao waje wazike wenyewe hapa Dar es salaam
 
Tupo msibani hapa mburahati kuna kijana inasadikiwa kijana wa chadama anaitwa Okada aliuawa kwa kupigwa risasi na mjini igunga siku ya kutangaza matokeo ni kati ya vijana waliokuwa wanafanya maandamano kabla ya matokeo kutangazwa na inasadikiwa kuwa ameishazikwa ambapo leo wanandugu walifika Makao makuu ya chadema kinondoni na kulalamika kuwa wanataka maiti ya ndugu yao waje wazike wenyewe hapa Dar es salaam
Kwa nini azikwe haraka kinafichwa kitu gani?????????? Je amaefanyiwa postmortem kujua course of death au ni vanga vanga tuu!!!!!!!! Wandugu waliofiwa poleni sana, kazi ya wanamaghamba hiyo!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Tupo msibani hapa mburahati kuna kijana inasadikiwa kijana wa chadama anaitwa Okada aliuawa kwa kupigwa risasi na mjini igunga siku ya kutangaza matokeo ni kati ya vijana waliokuwa wanafanya maandamano kabla ya matokeo kutangazwa na inasadikiwa kuwa ameishazikwa ambapo leo wanandugu walifika Makao makuu ya chadema kinondoni na kulalamika kuwa wanataka maiti ya ndugu yao waje wazike wenyewe hapa Dar es salaam

Acha uzushi. nani kakwambia? Yaani mtu amekufa Igunga basi ni lazima iwe ni kwa ajili ya CDM? Naamnini kuwa CDM hawangekaa kimya kama ingekuwa ni hivi. Watu wawili? No way!!!
 
Back
Top Bottom