janja pwani
Senior Member
- Jul 27, 2011
- 104
- 9
Tupo msibani hapa mburahati kuna kijana inasadikiwa kijana wa chadama anaitwa Okada aliuawa kwa kupigwa risasi na mjini igunga siku ya kutangaza matokeo ni kati ya vijana waliokuwa wanafanya maandamano kabla ya matokeo kutangazwa na inasadikiwa kuwa ameishazikwa ambapo leo wanandugu walifika Makao makuu ya chadema kinondoni na kulalamika kuwa wanataka maiti ya ndugu yao waje wazike wenyewe hapa Dar es salaam