Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,178
- 661
kutokana na mdahalo wa jana nimesikia kua kuna wabunge kumi waligoma kutoka bungeni wakati wabunge wa chadema wakitoka nje ya bunge, yalielezwa na Hamad akijibu hoja ya Mbowe kuwa CUF inaonyesha kutowaunga mkono
jamani kwa nn hili hamlitaki kuliongelea
mjadala huo unaweza kuupata MZALENDO.NET « …Ni wakati wa ukweli na uwazi
jamani kwa nn hili hamlitaki kuliongelea
mjadala huo unaweza kuupata MZALENDO.NET « …Ni wakati wa ukweli na uwazi