Ila wote majina yao yana J kwa sana. Jammeh Jakaya Yahya Jakaya Jakung,. Wote ni watu wa Mohammad na wana mtindio wa bongo kwa sana. Jakung na Jakaya wote wanapenda sifa tena za dezo. They all are but buffoons.
Nimesoma wachangiaji wengi humu, lakini, bado watu wanashindwa kuelewa point kamili ya huyu Rais wa Gambia. Kwanza kuwa kiongozi mzuri siyo lazima uwe na MBA, au PhD. Unaweza ukawa na elimu ya msingi na unaweza ukawa Rais na pia ukawa kiongozi mzuri.
Pili huyu Rais wa Gambia, ni mwanajeshi. Na mwanajeshi yoyote lazima ajibu majibu yake kwa kujiamini zaidi.
Wadau kama kuna mtu ana ile conersation ya mkuu wa kaya na VOA aiweke hapa ili tulinganishe na hiyo ya huyo wa Gambia, tuangalie ni yupi kati yao ni KIAZI ZAIDI.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.