Uchaguzi 2020 Kumbe kuna hatari ya kukosa Trilioni 2 kutoka kwa Wahisani kutokana na Kasoro za Uchaguzi(?)

Anaandika Leonce Marto wa CHADEMA kupitia mtandao wa twitter:

Kanuni za @bunge_tz zinataka kamati za kudumu za PAC na LAAC ziongozwe na wapinzani, CHADEMA hatupeleki Wabunge wa Viti maalum na hatutaki kunajisi chombo hiki muhimu cha wananchi. Mtakosa 2 trillion za donor countries kwa nchi kukosa utawala Bora! Mengi yanakuja CCM jiandaeni.
Usipendelee kufanya jambo la kimaendeleo kwa kutegemea misaada
 
Ndugu yangu uko Tanzania ya wapi wewe bado unawaza misaada.Jiwe ameshaondoka huko.Tayari tuna viwanda viwili vya kuchengua dhahabu, mpaka sasa tunauza dhahabu safi siyo ghafi tena.Tuna dividend kila mwaka toka bariick, tumepata certificate ya bati yetu.Kifupi ni kwamba TANZANIA kwa sasa ni mafuta
Wajinga kama ninyi walikuwepo Zimbabwe ya Mugabe pambio kila mahali baada ya kufa babu unasikia anachofanya Mnangagwa
 
We fala hii nchi inazo pesa sasa hivi,hata uchaguzi ni pesa za ndani zimetumika. Tril 2 si kitu kwa Tanzania ya leo.
Mkuu unaandika tu utafikiri unafanya hesabu za genge lako la biashara hapa! Trilioni mbili ni mzigo wa maana, Taifa lina uhaba wa pesa kwa ajili ya kutekeleza bajeti (kasome utekelezaji wa Bajeti urudi hapa).
Na usifikiri wataishia kwenye kutunyima trilioni mbili tu, wataendelea kutubana kwenye mambo mengi eno la misaada.
 
Mkuu unaandika tu utafikiri unafanya hesabu za genge lako la biashara hapa! Trilioni mbili ni mzigo wa maana, Taifa lina uhaba wa pesa kwa ajili ya kutekeleza bajeti (kasome utekelezaji wa Bajeti urudi hapa).
Na usifikiri wataishia kwenye kutunyima trilioni mbili tu, wataendelea kutubana kwenye mambo mengi eno la misaada.
Dua lenu halifanikiwi, kisa mmekosa Ubunge?
 
Anaandika Leonce Marto wa CHADEMA kupitia mtandao wa twitter:

Kanuni za @bunge_tz zinataka kamati za kudumu za PAC na LAAC ziongozwe na wapinzani, CHADEMA hatupeleki Wabunge wa Viti maalum na hatutaki kunajisi chombo hiki muhimu cha wananchi. Mtakosa 2 trillion za donor countries kwa nchi kukosa utawala Bora! Mengi yanakuja CCM jiandaeni.
Mungu ibariki CHADEMA
 
Anaandika Leonce Marto wa CHADEMA kupitia mtandao wa twitter:

Kanuni za @bunge_tz zinataka kamati za kudumu za PAC na LAAC ziongozwe na wapinzani, CHADEMA hatupeleki Wabunge wa Viti maalum na hatutaki kunajisi chombo hiki muhimu cha wananchi. Mtakosa 2 trillion za donor countries kwa nchi kukosa utawala Bora! Mengi yanakuja CCM jiandaeni.
Hahahahahahaha.... yaani nyinyi wanasaccos mnashida sana. Mwanzo mlikuwa mnasema lazima mtashinda uchaguzi baada ya kushindwa mkasema mtaandamana mkashindwa tena sasa mnasema tutakosa 2 trillion za wafadhiri. Haya bwana ngoja tuendelee kuwasikiliza Malalamiko FC!
 
Hivi wewe jamaa Lissu alikuahidi nini, mbona umeumia sana.
 
Kuna umuhmu wa vijana wote wakimaliza standard 7 waende jeshi miezi 3 na zaidi, vijana wengi wanaanza kupoteza uzalendo
 
Back
Top Bottom