Najiuliza yote haya anayotokea ya kuvunja katiba waziwazi tena hadharani viongozi wetu wastaafu Marais waziri mkuu jaji mkuu wako wapi? Mbona nchi imeachwa iendeshwe kiholela bila kufuata katiba na taratibu? Kwa wale tuliopata kummwona baba wa taifa alivyokuwa akikemea vitendo vya kukiuka katiba tunapata hisia kuwa sasa nchi imekosa mwenyewe.pHawa ni majangili wanaojua kuwa wanafanya uhalifu hivyo kujiwekea kinga hapo baadae watakapotakiwa kuwajibika. Ndugai ni mwizi, kama mnakumbuka alikula pesa nyingi bila taratibu pale alipokwenda kutibiwa maradhi yake kule India na ushahidi ukatolewa na Controller na Auditor General kwenye report yake; lakini kwa kushirikiana na muhalifu mwenzie JIWE wakamuondoa CAG bila kufuata sheria...