Kumbe kitunguu saumu kinalipa hivi

Red Giant

JF-Expert Member
Mar 9, 2012
15,658
20,886
Nasikia gunia la kitunguu saumu la debe tano linauzwa 500,000.

Hiki kitunguu hakina mbegu hivyo unapanda vile vipande vyake. Wanasema ekari moja inaweza kupanda gunia 16 hadi 28 za kilo mia kutegemeana na spacing. Hivyo utapanda vya Tsh 8m - 14m. Kinaweza kuzaa mara 5 hadi 8 ya gunia ulizopanda.

Wengi wanasema ni wastani wa gunia 75 kwa ekari. Ambazo zinakupa milioni 37.5. Inasemekana sehemu yenye kitunguu maji na saumu hustawi.

Naomba wakulima wenye uzoefu huko Babati mje mtupe uzoefu wa shambani.

===
Maoni ya wadau:


UDONGO
Vitunguu twaumu vinahimili aina nyingi za udongo, ila vinastawi zaidi katika udongo usiotuamisha maji kabisa na wenye mbolea asili, kama mbolea si ya kutosha kwenye udongo, tumia samadi iliyokwisha oza vizuri usitoe samadi bandani na kuipeleka shambani moja kwa moja kwenye shamba la vitunguu thwaumu, labda kama utaliacha shamba bila kulimwa kwa zaidi ya miezi 6, pia unaweza kutumia mbolea za viwandani kama ammonium nitrate, ammonium sulphate, urea n.k wakati wa kupanda na kila baada ya wiki 4 – 6 mara mbili zaidi

UPANDAJI
Kipindi kizuri kwa upandaji ni kipindi ambacho hakuna joto hasa miezi ya May mpaka August kwa Tanzania, Unachukua kitunguu twaumu na kutenganisha vitunguu kimoja kimoja (bulbs) na kuchagua vile vikubwa maana hivi ndivyo vitakavyo kupa mazao mengi na bora, nafasi kati ya kitunguu na kitunguu ni sentimeta 10 na kati ya mistari ni sentimeta 30. Baada ya kupanda pandishia udongo na uukandamize kuhakikisha kwamba kimekaa vizuri na hakiwezi kuathiriwa na mvua au maji wakati wa kumwagilia ili kisikae upande au kungolewa kabisa. Uotaji mzuri hutegemea pia namna vitunguu thwaumu vilivyo hifadhiwa kabla ya kupandwa, kama vilihifadhiwa sehemu zenye joto na hewa finyu uotaji wake utakuwa duni na dhaifu.


UMWAGILIAJI

Kama kuna upungufu wa mvua au ni kipindi cha kiangazi basi ni vizuri ukamwagilia shamba lako, wakati mzuri wa kumwagilia vitunguu twaumu ni asubuhi na sio jioni au mchana, hii inasaidia vitunguu twaumu kujijengea uwezo wa kupambana na magonjwa, baada ya mizi miwili unaweza kupunguza umwagiliajai huku ukiangalia kwa kuchimba kidogo kama vitunguu twaumu vimezaliana vya kutosha na kuanza kukomaa, ukiona vimekomaa acha kabisa kumwagilia ili visioze

UANGALIZI
Aina nyingi za vitunguu twaumu vitakuwa kama vinatoa mbegu kwenye mmea (angalia picha chini), ingawa kuna nadharia nyingi lakini inashauriwa kukata hizi mbegu chini kabisa kwa kisu kikali na kisafi, usikate mapema mara baada ya kutokeza bali subiri mpaka mmea unapoanza kama kujikunja ndipo ukate, kwa wale wanaoacha mbegu hizi ukiamua kuzipanda kwa msimu wa kwanza zitazaa kitunguu kimoja tu cha duara lakini chenyewe ukikipanda tena kwenye mzunguko wa pili kitazaa vitunguu vingi kama kawaida



Ungoleaji wa magugu na majani ni muhimu muda wote ili kuondoa kugombea rutuba, hewa na maji shambani, kwa wenye mashamba makubwa wanaweza kutumia dawa za kemikali kama ROUNDUP na nyinginezo ili kudhibiti magugu, ingawa mimi sishauri hivyo.

MAGONJWA
Magonjwa kama botrytis (kuoza shingo) blue mould na fusarium (kuoza kwa vitunguu) husababisha hasara kubwa kama hayatadhibitiwa kwa kutumia viuatilifu mara unapoona dalili, pia magonjwa kama white rot huchukua zaidi ya miaka 20 kuondoka kama yatavamia shamba lako, inashauriwa kufanya mabadiliko ya zao kila baada ya miaka mitano kwa kupanda mazao mengine yasiyo jamii moja kama vitunguu maji, unaweza kupanda maharage, mahindi, karoti na kabichi katika mzunguko huo. Pia magonjwa kama kutu ya majani husababisha na unyevu mwingi hasa kama mimea itakuwa kwenye udongo unaotuamisha maji au mimea kumwagiliwa jioni au usiku, kumbuka kumwagilia asubuhi tu Ili kudhibiti ugonjwa huu wa kutu mimea ingolewe na ichomwe au utumie viuatilifu vya kuulia fangasi wa mimea.

Kama ushawahi kulima tunaomba utupe taarifa zaidi ili tujue tukianza kulima tutakutana na changamoto zipi.

1. Eka 1 inachukua debe ngapi?

2. Msimu wa kupanda ni upi?

3. Maeneo yanayolimwa ni yapi?

4. Nikilima sehemu yenye vyanzo vya maji vya uhakika?

5. Eka 1 unavuna gunia ngapi?

6. Vinachukua miezi mingapi shambani?

7. Utaratibu wa kupanda unakuwaje?

simingori memeni,
Mkuu kupanda unapanda vile vipande vipande baada ya kukitawanyisha unachagua vipeke vikubwa viikubwa na kupanda. Sema inabidi upate aina nzuri. kuna aina zifuatazo.

5. Cultivars

The selection of the cultivar should take into consideration several different
factors and characteristics, some of which include the adaptability of the cultivar
to the climate of the growing area, the market demand of the particular
cultivar and the resistance or tolerance of the cultivar to various diseases and
pests.There are actually many different cultivar strains of garlic. They may
differ in taste, length of storage, colour, size, number of cloves per bulb, hardiness,
and suitability for cooking. Some even store longer, some are more
gourmets in flavour, and some mature earlier and others later.

3
There are five basic types of garlic from which cultivars can be derived or classified:

5.1 Artichoke

Artichoke types were named after artichoke plants because their heads are
characterised by layers of overlapping cloves, which look similar to an actual
artichoke. Artichoke types are typically vigorous, productive and adaptable.
They are long storing and some of the easiest types to grow.

5.2 Silverskin

Silverskin garlic types need better soil than Artichoke garlic types and prefer
mild winter climates for best characteristics. Silverskin types are characterized
by tallish and sometimes pinkish cloves. They typically stored for about 8 to 10
months, the longest of any of the garlics. They are the best for braiding, but
are usually the most difficult to peel of all garlic.

5.3 Porcelain

This is one of the most impressive looking types of garlic which can be mistaken
for Elephant garlic. They are similar in that they both have very large
clove sizes, but Porcelains have a superior, rich flavour and are full-bodied.

Bulbs are smooth and symmetrical with snow white wrappers enclosing 4 to 8
off-white coloured cloves, often with rose-red or purple coloured stripes. This
type is easy to clean and can be stored longer than the other hardnecks.

5.4 Purple stripe

This type of garlic is most suitable for cooks who enjoy roasting since it maintains
its flavour well after being roasted. Purple stripe garlic types are characterized
by very attractive bulbs with beautiful purple lines and stripes, and they
usually have about 8 to 12 cloves per bulb. Their cloves are tall and elongated
with partial red-purple streaks over an off-white coloured background.

5.5 Rocambole

This is the most widely grown of the hardnecks. Characterised by rich flavour
that is highly sought by chefs. Bulb wrappers are often blotched with purple.
The cloves are brownish with varying reddish colours. There is about an average
of 6 to 11 cloves which are very easy to peel per bulb. This type has the
storage life that averages 3 to 4 months when well grown and well cured. The
stalks of this types has a different behaviour as compared to other types in
that, shortly after their stalks appear they coil into tight loops, and for this rea4
son they are also termed serpent garlics. They later lose their coils and the
stalks turn woody.

The five basic cultivars of garlic are further divided into softneck garlic and
hardneck garlic as follows:

1. Softneck garlic

Artichoke and Silverskin variety garlics are considered to be the softneck garlics
also known as the common garlics. Softneck garlic is primarily the one
found in most grocery stores.

2. Hardneck garlic

Porcelain, Purple Stripe, and Rocambole types are hardneck garlics. They are
considered to have more flavour and to be more gourmet tasting than softnecks.
However, hardnecks typically do not store as long as softnecks. The
picture of their differences is shown below:
Jamani Watanzania ifike mahali tuache maneno mengi tufanye kazi. Mimi kwa sasa niko shambani niko nalima japo kwa sasa nimejikita kwenye kilimo cha hoho ila mwaka huu nalima tangawizi pia. Rai yangu kwa yeyote anayetaka kujifunza aje hapa IGAWA - MBEYA atajifunza mengi sana kuhusu kilimo cha umwagiliaji. Hapa watu wanalima sana vitunguu (maji) japo sijaona mkulima mzuri wa vitunguu swaumu, lakini pia hapa maji yapo mwaka mzima.

Karibuni sana tulime kisasa. Kilimo kinalipa sana, atakayetaka kuja Igawa kujifunza nitampa ushirikiano wa hali ya juu with maximum care and security.
Wakuu samahanini, mtakapo kuingia katika kilimo mkae mkijua kilimo cha kwenye karatasi kinalipa hakuna mfano. Na kinajenga sana imani ya mtu kuingia katika kilimo.

Ila napenda kuwatahadharisha kuwa fanya uchunguzi wa kina kisha ukishajua changamoto zake hakikisha bajeti ya kilimo husika kuwa pesa yake ipo. Mpaka katika shughuli za uvunaji.

Hakikisha unakuwa na pesa ya ziada mara mbili ya budget halisi la sivyo utajuta kulima.

NB: Soko ni la umuhimu kuzingatia kuliko hata kilimo chenyewe haswa kwa mazao ya perishable

Sent using Jamii Forums mobile app
Natamani mtu aliyelima kitunguu swaumu atuletee mrejesho kamili kutusaidia yafuatayo
Ekari ngapi alilima
Alilima maeneo gani, hali ya udongo
Miezi gani na ilikua na hali ipi ya hewa
Umwagiliaji au mvua
Mbegu kiasi gani na garama
Utunzaji wa shamba na gharama zake
Muda hadi kuja kuvuna
Soko likoje
Gharama zote kwa ujumla hadi kuuza
 


UDONGO
Vitunguu twaumu vinahimili aina nyingi za udongo, ila vinastawi zaidi katika udongo usiotuamisha maji kabisa na wenye mbolea asili, kama mbolea si ya kutosha kwenye udongo, tumia samadi iliyokwisha oza vizuri usitoe samadi bandani na kuipeleka shambani moja kwa moja kwenye shamba la vitunguu thwaumu, labda kama utaliacha shamba bila kulimwa kwa zaidi ya miezi 6, pia unaweza kutumia mbolea za viwandani kama ammonium nitrate, ammonium sulphate, urea n.k wakati wa kupanda na kila baada ya wiki 4 – 6 mara mbili zaidi

UPANDAJI
Kipindi kizuri kwa upandaji ni kipindi ambacho hakuna joto hasa miezi ya May mpaka August kwa Tanzania, Unachukua kitunguu twaumu na kutenganisha vitunguu kimoja kimoja (bulbs) na kuchagua vile vikubwa maana hivi ndivyo vitakavyo kupa mazao mengi na bora, nafasi kati ya kitunguu na kitunguu ni sentimeta 10 na kati ya mistari ni sentimeta 30. Baada ya kupanda pandishia udongo na uukandamize kuhakikisha kwamba kimekaa vizuri na hakiwezi kuathiriwa na mvua au maji wakati wa kumwagilia ili kisikae upande au kungolewa kabisa. Uotaji mzuri hutegemea pia namna vitunguu thwaumu vilivyo hifadhiwa kabla ya kupandwa, kama vilihifadhiwa sehemu zenye joto na hewa finyu uotaji wake utakuwa duni na dhaifu.


UMWAGILIAJI

Kama kuna upungufu wa mvua au ni kipindi cha kiangazi basi ni vizuri ukamwagilia shamba lako, wakati mzuri wa kumwagilia vitunguu twaumu ni asubuhi na sio jioni au mchana, hii inasaidia vitunguu twaumu kujijengea uwezo wa kupambana na magonjwa, baada ya mizi miwili unaweza kupunguza umwagiliajai huku ukiangalia kwa kuchimba kidogo kama vitunguu twaumu vimezaliana vya kutosha na kuanza kukomaa, ukiona vimekomaa acha kabisa kumwagilia ili visioze

UANGALIZI
Aina nyingi za vitunguu twaumu vitakuwa kama vinatoa mbegu kwenye mmea (angalia picha chini), ingawa kuna nadharia nyingi lakini inashauriwa kukata hizi mbegu chini kabisa kwa kisu kikali na kisafi, usikate mapema mara baada ya kutokeza bali subiri mpaka mmea unapoanza kama kujikunja ndipo ukate, kwa wale wanaoacha mbegu hizi ukiamua kuzipanda kwa msimu wa kwanza zitazaa kitunguu kimoja tu cha duara lakini chenyewe ukikipanda tena kwenye mzunguko wa pili kitazaa vitunguu vingi kama kawaida



Ungoleaji wa magugu na majani ni muhimu muda wote ili kuondoa kugombea rutuba, hewa na maji shambani, kwa wenye mashamba makubwa wanaweza kutumia dawa za kemikali kama ROUNDUP na nyinginezo ili kudhibiti magugu, ingawa mimi sishauri hivyo.

MAGONJWA
Magonjwa kama botrytis (kuoza shingo) blue mould na fusarium (kuoza kwa vitunguu) husababisha hasara kubwa kama hayatadhibitiwa kwa kutumia viuatilifu mara unapoona dalili, pia magonjwa kama white rot huchukua zaidi ya miaka 20 kuondoka kama yatavamia shamba lako, inashauriwa kufanya mabadiliko ya zao kila baada ya miaka mitano kwa kupanda mazao mengine yasiyo jamii moja kama vitunguu maji, unaweza kupanda maharage, mahindi, karoti na kabichi katika mzunguko huo. Pia magonjwa kama kutu ya majani husababisha na unyevu mwingi hasa kama mimea itakuwa kwenye udongo unaotuamisha maji au mimea kumwagiliwa jioni au usiku, kumbuka kumwagilia asubuhi tu Ili kudhibiti ugonjwa huu wa kutu mimea ingolewe na ichomwe au utumie viuatilifu vya kuulia fangasi wa mimea.
 
Gharama ni kubwa mkuu, debe moja la mbegu 80,000

Kama ushawah kulima tunaomba utupe taarifa zaid ili tujue tukianza kulima tutakutana na changamoto zipi.

1. Eka 1 inachukua debe ngapi?

2. Msimu wa kupanda ni upi?

3. Maeneo yanayolimwa ni yapi?

4. Nikilima sehem yenye vyanzo vya maji vya uhakika?

5. Eka 1 unavuna gunia ngapi?

6. Vinachukua miezi mingap shambani?

7. Utaratibu wa kupanda unakuwaje?
 
mkuu Red Giant Haya mazao mawili; kitunguu saumu na tangawizi kiukweli ukimudu kupata mtaji ukalima na kuhudumia vizuri basi umasikini byebye.

Jiulize tu mbegu ya kupanda ekari1 ya tangawizi ni karibu gunia10: wakati kilo1 cha tangawizi ni Sh. 5000 shambani, kadharika Kwa saumu mambo ni yaleyale ngoma ipo kwenye gharama ya mbegu!

Maadam shamba lenye chanzo cha maji ninalo ngoja nijikongoje kupata mtaji.
 
Last edited by a moderator:
mkuu Red Giant haya mazao mawili; kitunguu saumu na tangawizi kiukweli ukimudu kupata mtaji ukalima na kuhudumia vizuri basi umasikini byebye!!
jiulize tu mbegu ya kupanda ekari1 ya tangawizi ni karibu gunia10: wakati kilo1 cha tangawizi ni sh5000 shambani!!! kadharika Kwa saumu mambo ni yaleyale ngoma ipo kwenye gharama ya mbegu!!
Maadam shamba lenye chanzo cha maji ninalo ngoja nijikongoje kupata mtaji.

Nadhani shida ni jinsi ya kuendesha shamba. Bei ya mbegu sio ishu as long as umeamua kulima na hela itarudi tu.

Kama una jua chochote jazia nyama mkuu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom