Kumbe Kingunge alisema kweli CCM ilikata Pumzi!

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Sep 30, 2011
17,871
33,236
Kitendo cha Sheikh Khalifa Khamisi kusema kwamba waislamu waliisaidia CCM kwenye uchaguzi wa Mwaka jana kwa kuitoa "ICU" kinafuta kebehi zote alizotupiwa mwanasiasa Pekee Mkongwe aliyepo hai mpaka sasa Mzee Kingunge Ngombare Mwiru, kwamba alikosea aliposema kwenye uchaguzi huo kuwa CCM imekata pumzi.

Kama Sheikh Khamis anaona kwamba CCM ilikuwa chumba cha wagonjwa mahututi kwenye uchaguzi wa Mwaka jana, basi ni lazima iwepo sababu iliyoiipeleka CCM "ICU". Bila ya shaka CCM ilipokata pumzi mojawapo ya hewa ya Oksejeni iliyowekewa ni msaada toka kwa viongozi wa dini ya Kiislamu iliyoisadia CCM kupata kura toka kwa waumini kwa kiislamu.

Ningeshangaa sana kama Mzee Kingunge na uzowefu wake wote wa kisiasa alio nao aseme kitu ambacho hakina ukweli ama mantiki. Kwa jicho la tatu Gwiji hilo la siasa liliona CCM imekata pumzi. Kumbe udhaifu ulikuwa ni kwa UKAWA kushindwa kuizuia CCM isipelekwe ICU kwenye kuwekewa Oksjeni na kina Sheikh Khalifa!!

Mzee Kingunge, Umetisha!!
 
Kitendo cha Sheikh Khalifa Khamisi kusema kwamba waislamu waliisaidia CCM kwenye uchaguzi wa Mwaka jana kwa kuitoa "ICU" kinafuta kebehi zote alizotupiwa mwanasiasa Pekee Mkongwe aliyepo hai mpaka sasa Mzee Kingunge Ngombare Mwiru, kwamba alikosea aliposema kwenye uchaguzi huo kuwa CCM imekata pumzi.

Kama Sheikh Khamis anaona kwamba CCM ilikuwa chumba cha wagonjwa mahututi kwenye uchaguzi wa Mwaka jana, basi ni lazima iwepo sababu iliyoiipeleka CCM "ICU". Bila ya shaka CCM ilipokata pumzi mojawapo ya hewa ya Oksejeni iliyowekewa ni msaada toka kwa viongozi wa dini ya Kiislamu iliyoisadia CCM kupata kura toka kwa waumini kwa kiislamu.

Ningeshangaa sana kama Mzee Kingunge na uzowefu wake wote wa kisiasa alio nao aseme kitu ambacho hakina ukweli ama mantiki. Kwa jicho la tatu Gwiji hilo la siasa liliona CCM imekata pumzi. Kumbe udhaifu ulikuwa ni kwa UKAWA kushindwa kuizuia CCM isipelekwe ICU kwenye kuwekewa Oksjeni na kina Sheikh Khalifa!!

Mzee Kingunge, Umetisha!!
Ahahahahaha wanakuna vichwa ngoja waje wako njiani kutoka viwanja vya uhuru simu simekata chaji
 
Tatizo la viongozi wa dini nchini kwetu ni wanafiki sana,viongozi wa dini wa kiislam na kikristo wote kwa pamoja ni wanafiki wakubwa sana,hata huyu shekhe khalifa ni mnafiki pia.
Wote tunajua jinsi viongozi ea dini walivyotumika kuwalaghai waumini wasio jitambua kwenye misikiti na makanisani ili wampigie kura jini ccm,ukitaka kujua kwamba ni wanafiki hebu tujiulize huyu shekhe khalifa hakushiriki kuipigia jini ccm kura?inavyoonekana alishiriki lkn alitegemea mambo mazuri na matokeo yake kakosa ndio anajitokeza kuhadaa watu wakati naye unafiki umemjaa,watu kama hawa ni wa kuchoma moto kabisa,
Fikiria mtu kama lusekelo aka chapombe alivyojifanya kusifia pombe na akaponda sana upinzani lkn juzi baada ya kuumbuka kwamba ni mtumiaji wa pombe asiye na aibu akilitaja jina la muumba wetu kwa unafiki katoka mbele na kujifanya anampamba lowasa na kingunge ili tu asishambuliwe na upinzani kwa kitendo cha kulewa na kutishia mtu mauji huku akijiita mchangaji,unafiki ndio umewajaa viongozi wote wa dini.
Hii tanganyika yetu imedumaa hivi ilivyo kwa sababu ya unafiki wa viongozi wa dini zote,tufike mahali tuwakatae viongozi wa dini wanafiki kwa kuwanyima sadaka zetu.
 
Tatizo la viongozi wa dini nchini kwetu ni wanafiki sana,viongozi wa dini wa kiislam na kikristo wote kwa pamoja ni wanafiki wakubwa sana,hata huyu shekhe khalifa ni mnafiki pia.
Wote tunajua jinsi viongozi ea dini walivyotumika kuwalaghai waumini wasio jitambua kwenye misikiti na makanisani ili wampigie kura jini ccm,ukitaka kujua kwamba ni wanafiki hebu tujiulize huyu shekhe khalifa hakushiriki kuipigia jini ccm kura?inavyoonekana alishiriki lkn alitegemea mambo mazuri na matokeo yake kakosa ndio anajitokeza kuhadaa watu wakati naye unafiki umemjaa,watu kama hawa ni wa kuchoma moto kabisa,
Fikiria mtu kama lusekelo aka chapombe alivyojifanya kusifia pombe na akaponda sana upinzani lkn juzi baada ya kuumbuka kwamba ni mtumiaji wa pombe asiye na aibu akilitaja jina la muumba wetu kwa unafiki katoka mbele na kujifanya anampamba lowasa na kingunge ili tu asishambuliwe na upinzani kwa kitendo cha kulewa na kutishia mtu mauji huku akijiita mchangaji,unafiki ndio umewajaa viongozi wote wa dini.
Hii tanganyika yetu imedumaa hivi ilivyo kwa sababu ya unafiki wa viongozi wa dini zote,tufike mahali tuwakatae viongozi wa dini wanafiki kwa kuwanyima sadaka zetu.
Msumari wa moto...
Asante sana Mkuu kwa kuwapa.
 
Tatizo la viongozi wa dini nchini kwetu ni wanafiki sana,viongozi wa dini wa kiislam na kikristo wote kwa pamoja ni wanafiki wakubwa sana
Hoja yako hii inahitaji mjadala mkubwa sana tena wa wazi. Kama ulivyosema kina Lusekelo na wenzao walifanya bidii kubwa sana makanisani kuonesha kwamba Lowassa ni mtu hatari na mla Rushwa. Sasa kwa kuwa aliyeshinda mwanachama mwenzao wa CCM ni mkristo, wanachama wenzao wa dini ya Kiislamu wanadhani wao wanabaguliwa na mwana CCM mwenzao waliyemsaidia kuingia Ikulu!!
 
Tatizo la viongozi wa dini nchini kwetu ni wanafiki sana,viongozi wa dini wa kiislam na kikristo wote kwa pamoja ni wanafiki wakubwa sana,hata huyu shekhe khalifa ni mnafiki pia.
Wote tunajua jinsi viongozi ea dini walivyotumika kuwalaghai waumini wasio jitambua kwenye misikiti na makanisani ili wampigie kura jini ccm,ukitaka kujua kwamba ni wanafiki hebu tujiulize huyu shekhe khalifa hakushiriki kuipigia jini ccm kura?inavyoonekana alishiriki lkn alitegemea mambo mazuri na matokeo yake kakosa ndio anajitokeza kuhadaa watu wakati naye unafiki umemjaa,watu kama hawa ni wa kuchoma moto kabisa,
Fikiria mtu kama lusekelo aka chapombe alivyojifanya kusifia pombe na akaponda sana upinzani lkn juzi baada ya kuumbuka kwamba ni mtumiaji wa pombe asiye na aibu akilitaja jina la muumba wetu kwa unafiki katoka mbele na kujifanya anampamba lowasa na kingunge ili tu asishambuliwe na upinzani kwa kitendo cha kulewa na kutishia mtu mauji huku akijiita mchangaji,unafiki ndio umewajaa viongozi wote wa dini.
Hii tanganyika yetu imedumaa hivi ilivyo kwa sababu ya unafiki wa viongozi wa dini zote,tufike mahali tuwakatae viongozi wa dini wanafiki kwa kuwanyima sadaka zetu.
Hivi waliomba kwenda kunywa chai ikulu waliruhusiwa?
 
Hawa kina Sheikh Khalifa Khamisi ni watu wanaotakiwa kunyongwa hadi kufa kwa kuwapotosha waumini wenzao. Waliwaaminisha wenzao kuwa huyo wanayempiga vita sasa hv kuwa ni chaguo sahihi. Leo hata mwaka haujaisha wameshaanza kumlalamikia. Wanataka watu wawaeleweje?
 
Kitendo cha Sheikh Khalifa Khamisi kusema kwamba waislamu waliisaidia CCM kwenye uchaguzi wa Mwaka jana kwa kuitoa "ICU" kinafuta kebehi zote alizotupiwa mwanasiasa Pekee Mkongwe aliyepo hai mpaka sasa Mzee Kingunge Ngombare Mwiru, kwamba alikosea aliposema kwenye uchaguzi huo kuwa CCM imekata pumzi.

Kama Sheikh Khamis anaona kwamba CCM ilikuwa chumba cha wagonjwa mahututi kwenye uchaguzi wa Mwaka jana, basi ni lazima iwepo sababu iliyoiipeleka CCM "ICU". Bila ya shaka CCM ilipokata pumzi mojawapo ya hewa ya Oksejeni iliyowekewa ni msaada toka kwa viongozi wa dini ya Kiislamu iliyoisadia CCM kupata kura toka kwa waumini kwa kiislamu.

Ningeshangaa sana kama Mzee Kingunge na uzowefu wake wote wa kisiasa alio nao aseme kitu ambacho hakina ukweli ama mantiki. Kwa jicho la tatu Gwiji hilo la siasa liliona CCM imekata pumzi. Kumbe udhaifu ulikuwa ni kwa UKAWA kushindwa kuizuia CCM isipelekwe ICU kwenye kuwekewa Oksjeni na kina Sheikh Khalifa!!

Mzee Kingunge, Umetisha!!
(A) Kiongozi wa dini akitumia madhabahu au misikiti kupiga kampeni kwa chama cha siasa linabaki yeye na Mungu kubadili matumizi ya Mungu kuwa kisiasa..Lakini angalau ana haki ya kutimia hiyo madhabat maana ni mhusika

(B) Kuna mmoja ambaye hakuwa na HAKI YOYOTE kutumia madhabahu maana ni MWANASIASA TYPICAL. ..pia alikuwa na uwezo wa kuongea dakika si zaidi ya TANO alikwenda Kanisani na kuomba kura kwa kudai NI HAKI YAO SASA NA WAO KAMA DHEHEBU KUMTOA RAIS WA NCHI hii...
My Take:-NI NANI KATI YA HAO WAWILI ALIYEKUWA ICU????? NANI ALIKATA PUMZI??????
Vitu vingine kabla ya kupost humu muwe mnafikiria au kuwa na record za nyuma za wale mnaowatetea!!!!!
Sorry nawaza kwa sauti tu!!!!!!!
 
mmmkme wewe umesoma nani aliyesema kuwa CCM ilikuwa ICU? Au umekurupushwa kujibu bila ya kuwa na mantiki ya unachokiandika. Hata huo a mfano wako wala hauna mantiki. Lowassa siyo chama kwa ivo kumlinganisha na CCM unataka kutuambia kwamba Lowassa Peke yake ni sawa na CCM nzima?
 
(A) Kiongozi wa dini akitumia madhabahu au misikiti kupiga kampeni kwa chama cha siasa linabaki yeye na Mungu kubadili matumizi ya Mungu kuwa kisiasa..Lakini angalau ana haki ya kutimia hiyo madhabat maana ni mhusika

(B) Kuna mmoja ambaye hakuwa na HAKI YOYOTE kutumia madhabahu maana ni MWANASIASA TYPICAL. ..pia alikuwa na uwezo wa kuongea dakika si zaidi ya TANO alikwenda Kanisani na kuomba kura kwa kudai NI HAKI YAO SASA NA WAO KAMA DHEHEBU KUMTOA RAIS WA NCHI hii...
My Take:-NI NANI KATI YA HAO WAWILI ALIYEKUWA ICU????? NANI ALIKATA PUMZI??????
Vitu vingine kabla ya kupost humu muwe mnafikiria au kuwa na record za nyuma za wale mnaowatetea!!!!!
Sorry nawaza kwa sauti tu!!!!!!!

wanajifanyaga hamna kitu kilichotokea ghafla mbatia akijiyokeza
 
Najiuliza maswali Mengi tu sipati jibu,,,,,, hata wewe jaribu kujiuliza,,,, nchi nyingi za Africa zimepata Uhuru miaka mingi, nyingi zinaabudu dini kuu 2,,, ukristo na uislam,,,, lakini ni maskini wa kutupwa, nje ya Africa zipo nchi nyingi sana haziabudu dini hizi, cha ajabu zina uchumi wa kupigiwa mfano, mfano China,,, Korea. Japani,Taiwani, India,,,,,''''''''''''''’../ Je huyu Mungu wetu hapendi Utajiri? Tatizo ni unafki wa viongozi wetu wa dini, ,, hawatufundishi ujasiri wa kutafuta badala yake wanatufundisha kuomba, Mungu anafurahishwa na Shukrani na sio kuomba bila kushughulika, wengi wa viongozi wa dini wataangamia KWA unafki na uoga wa kusema na kutenda yaliyo kweli, wengi wanawaangamiza kondoo wa MUNGU KWA kutokujua haki na stahiku zao.
 
Kitendo cha Sheikh Khalifa Khamisi kusema kwamba waislamu waliisaidia CCM kwenye uchaguzi wa Mwaka jana kwa kuitoa "ICU" kinafuta kebehi zote alizotupiwa mwanasiasa Pekee Mkongwe aliyepo hai mpaka sasa Mzee Kingunge Ngombare Mwiru, kwamba alikosea aliposema kwenye uchaguzi huo kuwa CCM imekata pumzi.

Kama Sheikh Khamis anaona kwamba CCM ilikuwa chumba cha wagonjwa mahututi kwenye uchaguzi wa Mwaka jana, basi ni lazima iwepo sababu iliyoiipeleka CCM "ICU". Bila ya shaka CCM ilipokata pumzi mojawapo ya hewa ya Oksejeni iliyowekewa ni msaada toka kwa viongozi wa dini ya Kiislamu iliyoisadia CCM kupata kura toka kwa waumini kwa kiislamu.

Ningeshangaa sana kama Mzee Kingunge na uzowefu wake wote wa kisiasa alio nao aseme kitu ambacho hakina ukweli ama mantiki. Kwa jicho la tatu Gwiji hilo la siasa liliona CCM imekata pumzi. Kumbe udhaifu ulikuwa ni kwa UKAWA kushindwa kuizuia CCM isipelekwe ICU kwenye kuwekewa Oksjeni na kina Sheikh Khalifa!!

Mzee Kingunge, Umetisha!!
 
kabombe hapo umeona kuna mfanano? Kingunge alisema chama chenu kimekata Pumzi. Nyie kumlinganisha Lowassa na chama chenu mnatupa hofu sana. Ina maana nguvu ya Lowassa ni sawa na chama chenu chote?
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom