Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
- Well, you said that!, at least hawauzii CCM malori yake machakavu!
FMEs!
Ila wanaleta magari hewa na zaidi zaidi yaliyo chini ya kiwango! Mahendra zimeishia wapi?
- Well, you said that!, at least hawauzii CCM malori yake machakavu!
FMEs!
habari,
katika pitapita zangu nimeona mengi lakini kwa wanasiasa kweli ni ubabaishaji tuu. Nimekutana na mtu ambaye alikuwa akifanya utafiti kuhusu mishahara ya watu wa ccm.
Lakini nikaja kugundua sio mshahara wa ccm bali wa nape baada ya "kupandishwa cheo" kutoka ukuu wa wilaya kwenda ukatibu ropoka wa ccm.
kwa mujibu wake mkuu wa wilaya anatia kibindoni kiasi cha mil 2 hivi kwa mwezi. Kisha na marupurupu unaweza fika kwenye mil 5 hivi na ushee hivi. Sasa hiki cheo hakina raha saana kama ukiwa mbunge. Maana unakuwa vuvuzela la mkuu tuu pale wilayani. Lakini ubunge unakamata sana marefu.
sasa yeye akaendelea kudai kuwa kama mtu ukiamua kumpa madaraka makubwa zaidi hasa ndani ya chama ni lazima uamue kumpa "bakshishi" kidogo ili atulize moyo. Akaenda mbali zaidi akasema ukiangalia tuu hapo utagundua dogo analipwa "kihesabu tuu" mil 6 na ushee kwa sasa.
Kuhusu katibu mkuu wa ccm bado haijawa wazi kwani mshahara wake unahisiwa kuwa mill 11 hivi. Ccm wako katika harakati za kutaka kutangaza mishahara yao lakini wanaogopa kutaja ukweli "wameng'ang'ania" wa dokta slaa. Kwa style ileile ya propaganda kuliko ukweli.
Lakini kuhusu dr. Slaa hela anazopata ni sawa na mbunge in value lakini ikumbukwe mbunge anapewa mill 100 kila mwaka kwa ajili ya maendeleo jimboni pia mill 200 kuweza kukopa kwenye benki yoyote nchini. Nape alitaka ubunge akaangukia pua sasa kaamua kuwa vuvuzela la jk kwa mtindo uleule wachafue chadema nikupe ugali. Nape anahasira sana na chadema baada ya kumpa ukweli kuwa kwa ubungo hapendwi. Naona maneno haya yanamtesa saana!!
Kama jamaa akifanikiwa kupata document ya mishahara ccm tutaweka hapa uwanjani kisha nyingine atapasiwa vuvuzela la walalahoi mhe dr.slaa
pamoja
source: Tiss
nape nnauye ni vuvuzela anataka yeye tu ndio alipwe mshahara mzuri. nape usijaribu kujiringanisha na dr slaaaHabari,
Katika pitapita zangu nimeona mengi lakini kwa wanasiasa kweli ni ubabaishaji tuu. Nimekutana na mtu ambaye alikuwa akifanya utafiti kuhusu mishahara ya watu wa CCM.
Lakini nikaja kugundua sio mshahara wa CCM bali wa Nape baada ya "kupandishwa cheo" kutoka ukuu wa wilaya kwenda ukatibu ropoka wa CCM.
Kwa mujibu wake mkuu wa wilaya anatia kibindoni kiasi cha mil 2 hivi kwa mwezi. Kisha na marupurupu unaweza fika kwenye mil 5 hivi na ushee hivi. Sasa hiki cheo hakina raha saana kama ukiwa mbunge. Maana unakuwa vuvuzela la mkuu tuu pale wilayani. Lakini ubunge unakamata sana marefu.
Sasa yeye akaendelea kudai kuwa kama mtu ukiamua kumpa madaraka makubwa zaidi hasa ndani ya chama ni lazima uamue kumpa "Bakshishi" kidogo ili atulize moyo. Akaenda mbali zaidi akasema ukiangalia tuu hapo utagundua dogo analipwa "kihesabu tuu" mil 6 na ushee kwa sasa.
Kuhusu katibu mkuu wa CCM bado haijawa wazi kwani mshahara wake unahisiwa kuwa mill 11 hivi. CCM wako katika harakati za kutaka kutangaza mishahara yao lakini wanaogopa kutaja ukweli "wameng'ang'ania" wa Dokta Slaa. Kwa style ileile ya propaganda kuliko ukweli.
Lakini kuhusu Dr. Slaa hela anazopata ni sawa na mbunge in value lakini ikumbukwe mbunge anapewa mill 100 kila mwaka kwa ajili ya maendeleo jimboni pia mill 200 kuweza kukopa kwenye benki yoyote nchini. Nape alitaka ubunge akaangukia pua sasa kaamua kuwa vuvuzela la JK kwa mtindo uleule wachafue CHADEMA nikupe ugali. Nape anahasira sana na CHADEMA baada ya kumpa ukweli kuwa kwa Ubungo hapendwi. Naona maneno haya yanamtesa saana!!
Kama jamaa akifanikiwa kupata document ya mishahara CCM tutaweka hapa uwanjani kisha nyingine atapasiwa vuvuzela la walalahoi Mhe Dr.Slaa
Pamoja
SOURCE: TISS
Sio kila habari ya mtaani uilete humu mkuu!!
.....Nape alisema kuwa Mukama analipwa mshahara wa Sh. milioni 1.5 na posho ya mwezi ya Sh. 300,000.
Juzi akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Mwanasheria wa Chadema, Mabere Marando, alisema Mukama analipwa mshahara wa Sh. milioni 11 wakati Dk. Slaa analipwa Sh. milioni 7.1, hivyo CCM hawana sababu ya kushangaa mshahara wa Slaa.
Malumbano hayo ya mishahara ya viongozi wa vyama hivyo viwili yanatokana na kauli ya Nape kuwa Dk. Slaa ameshinikiza kulipwa mshahara mnono akieleza msimamo huo unakinzana na wakati akiwa mbunge alipokuwa akishinikiza malipo kwa wabunge yapunguzwe. Nape alidai kuwa mshahara wa Dk. Slaa ni sawa na wa mbunge.
Hata hivyo, uchunguzi huru wa NIPASHE uliofanywa juu ya mishahara ya viongozi watendaji wa CCM umebaini kuwa makatibu wa CCM wa mikoa wanalipwa mishahara ya Sh. milioni moja baada ya kodi, wakati makatibu wa wilaya wanalipwa Sh. 700,000 baada ya kodi, ilahali Katibu wa UVCCM akitia kibindoni Sh. milioni 1.5.
Kwa vigezo vya mishahara hiyo, ni sawa na kusema kwamba mishahara ya makatibu wa jumuiya na pengine ya makatibu wa mikoa haitofautiani na ile ya katibu mkuu.
"CCM ni chama kikubwa na kinapata ruzuku kubwa kuliko Chadema, lakini angalia mshahara wa Katibu Mkuu wetu linganisha na Sh. milioni 7.5 anazolipwa Dk. Slaa, Marando ameamua kwa makusudi kuupotosha umma hivyo kama ni muungwana basi aombe radhi kwa Watanzania aliowadanganya," alisema Nape. Alisema mshahara wa Mukama unalipiwa kodi wakati wa Dk. Slaa haukatwi kodi hivyo alimshauri kwanza kujisalimisha kwa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA), kulipa kodi anayodaiwa.
"Kutolipa kodi ni ufisadi wa hali ya juu, lakini mtu huyu huyu ambaye halipi kodi anajifanya ana uchungu na umaskini wa Watanzania, hata pale ofisini kwake kuna watu wanalipwa mishahara midogo hata haitoshi kujikimu kwa siku kumi, kuna msemo kwamba kabla hujatoa boriti kwenye jicho la mwenzako anza kutoa kwako," alisema Nape.
"Tafsiri ya fisadi kwa mujibu wa Ilani yao ni mtu anayeishi kiujanja ujanja, sasa Dk. Slaa anaishi kwa mtindo huo maana huwezi kukwepa kodi inayotumiwa na serikali kuwaletea maisha bora wananchi, kisha mtu huyo huyo ukajifanya unawapenda Watanzania," alisisitiza.
chadema wako kazini sasa! Nasikia dr slaa ataongeze mshahara na kuwa milioni 15!
Habari,
Kama jamaa akifanikiwa kupata document ya mishahara CCM tutaweka hapa uwanjani kisha nyingine atapasiwa vuvuzela la walalahoi Mhe Dr.Slaa
Pamoja
SOURCE: TISS