Tatzo co wavvu hata posho na mishaara haij kwa wakat utaifurahia kaz yako kwelShelk mkuu alishatangaza kuwa ni mapumziko, watanzania tulivyo wavivu wa kufanya kazi tumefurahia sana siku nne bila ofisi za umma kufunguliwa, hatari sana.
Wewe umejiunga jana na umeshajua na quote? wewe kiboko.Tatzo co wavvu hata posho na mishaara haij kwa wakat utaifurahia kaz yako kwel
Hii co baiskel kama utajfunza miezWewe umejiunga jana na umeshajua na quote? wewe kiboko.
Hapana mkuu mimi hata kulike nimejua juzijuzi tu hapa, Utakuwa umefundishwa au umebadili ID.Hii co baiskel kama utajfunza miez
Dah! Ww umejuaje kàma nmejiunga janaHapana mkuu mimi hata kulike nimejua juzijuzi tu hapa, Utakuwa umefundishwa au umebadili ID.
we nae sijui unatatizo gani,mbona unajipa kazi ngumu sana yaani mtu akicomment unaanza kumchunguza?ina maana unatufahamu wote humu?au unatafuta kuona kama member mpya ni ke uanze mitongozo?Wewe umejiunga jana na umeshajua na quote? wewe kiboko.
ha ha ha,eti umejuaje,,we kweli ni mgeni.Dah! Ww umejuaje kàma nmejiunga jana
Sio wote wengine ndio tunatoka kazini muda huuShelk mkuu alishatangaza kuwa ni mapumziko, watanzania tulivyo wavivu wa kufanya kazi tumefurahia sana siku nne bila ofisi za umma kufunguliwa, hatari sana.
Haya bwana, ngoja nianze kutongoza mkuu.we nae sijui unatatizo gani,mbona unajipa kazi ngumu sana yaani mtu akicomment unaanza kumchunguza?ina maana unatufahamu wote humu?au unatafuta kuona kama member mpya ni ke uanze mitongozo?