Kumbe Juma Jux kimaisha kamzidi Diamond Platnumz?

Juksi pesa alikua nayo nzuri tu kwanza wazazi wake wako vizuri sana kiuchumi...Pia jukusi kumbuka ni degree holder tena Elimu ya China so ukiachana na mziki kuna mishe anafanya tena nje plus na biashara kadhaa unapozungumzia juksi kiuchumi ni kama Davido both wazazi wao wako vizuri tofauti na kina sadala na mayonaizi walioanzia zero
 
Juksi pesa alikua nayo nzuri tu kwanza wazazi wake wako vizuri sana kiuchumi...Pia jukusi kumbuka ni degree holder tena Elimu ya China so ukiachana na mziki kuna mishe anafanya tena nje plus na biashara kadhaa unapozungumzia juksi kiuchumi ni kama Davido both wazazi wao wako vizuri tofauti na kina sadala na mayonaizi walioanzia zero
Hahahaha!!! Eti jux wazazi wake kama Davido bora ufute hii post post yako unawafananisha wazazi wake jux na Davido ata mwenyewe angekusikia angekukana...
 
Juksi pesa alikua nayo nzuri tu kwanza wazazi wake wako vizuri sana kiuchumi...Pia jukusi kumbuka ni degree holder tena Elimu ya China so ukiachana na mziki kuna mishe anafanya tena nje plus na biashara kadhaa unapozungumzia juksi kiuchumi ni kama Davido both wazazi wao wako vizuri tofauti na kina sadala na mayonaizi walioanzia zero
jielewe wewe Jux ni sawa na Davido? Hahaha 😂
 
vijana wa instagram mme kalili maisha
we dogo kutwa kufatilia maisha ya diamond wakati ww bado una ishi kwa shemeji yako na bando za kudandia kwa dada yako una kuja kumponda diamond hapa
ifike wakati na ninyi muanze kutafuta mali zenu na kujiweka busy kufanya yanayo wahusu na sio kufatilia ya watu mjini hapa ukilemaa utapigwa pipe
 
Juksi pesa alikua nayo nzuri tu kwanza wazazi wake wako vizuri sana kiuchumi...Pia jukusi kumbuka ni degree holder tena Elimu ya China so ukiachana na mziki kuna mishe anafanya tena nje plus na biashara kadhaa unapozungumzia juksi kiuchumi ni kama Davido both wazazi wao wako vizuri tofauti na kina sadala na mayonaizi walioanzia zero
jamani hii post imefanya nitapike chai, kwa kucheka lol
 
Back
Top Bottom