hakuna jipya hapa haya yalishasemwa huko nyuma kwa sasa tunahitaji nyongeza ya tuhuma yenyewe badala ya maelezo. Hata mimi ningekaa chini na kuandika sioni kama ujumbe una mshiko kuonyesha kwamba mtunzi wa tuhuma alizama ndani na kuibua kashfa kwa jk. Hawa ni aina ya wanaharakati wasiotaka kuchunguza zaidi wanaishia kueleza wanachokifahamu au walichokisikia
Believe it or Not. Sadiki ukipenda. Hii habari imekaa ki umbeya umbeya.
huyu Ali Bawadry ndio yule alimhonga mkuu dola 1000 na zile suti au ni mwingine huyu, nidaidie tafadhali!
mkuu umesoma chini jinsi komando alivyonena?? Ebu tudadavulie au umetumwa kumsafisha mkuu wa kaya?? Tusaidie mkuu au unakuBaliana naye???? Tafadhali tupe ilmu juu ya ilo
hapa ndio ninapomchoka mkw ere na kutomwelewa kabsaaaaa anafanya nini huyu kichwa panzi:A S embarassed:mwee!kwa malipo ya dola 10,000 kwa mwaka kwa miaka 99).
Nitampata wapi yule sauper wa filamu ya mapank aje anitengenezee filam inayomuhusu huyu kichwa nazi? Script tayari ninazo. Filam itaanza kwa kuonesha mtoto anazaliwa bila kichwa, madaktari wanahangaika kufanya operation, wanaweka kichwa cha kuku wanatoa, wanaweka nanasi wanatoa, ghafla inapojaribiwa nazi inafit....then inaoneshwa utoto wake, ujana, na mambo yoote aliyoyafanya yanayojulikana na yaliyosirini as anavopenda kuuza sura, atakuwa kinara so atajazia script! Mwenye contact za huyo producer aniPM! Kabaang!
Du alafu JK vipi mbona anawapenda waharabu, kulikoni?
siyo kuhonga tu kuna taarifa za kuaminika kuwa alimcamerouni pia si unajua tena arab na tabia zaohuyu Ali Bawadry ndio yule alimhonga mkuu dola 1000 na zile suti au ni mwingine huyu, nidaidie tafadhali!