Elections 2010 Kumbe JK alikuwa na mpango wa kurudia aliyoyafanya 2005?

MwanaHaki

R I P
Oct 17, 2006
2,401
705
Wakati wa Mkutano Mkuu wa CCM pale Chimwaga, Dodoma, wakati wa kupiga kura za kumteua mgombea wa Urais kupitia chama hicho kwa Uchaguzi Mkuu wa 2005, baadhi ya wajumbe waliokuwapo kwenye Ukumbi wa Chimwaga walisikika wakisema, baada ya zoezi hilo kukamilika, kwamba, ilikuwa kana kwamba kulikuwa na "jinamizi" lililopita, na kuwapumbaza watu wote waliokuwapo pale, kiasi kwamba, hata wale waliopanga kuwachagua wagombea wengine walijikuta wakiweka "tick" kwa Kikwete, hatimaye wakibaki na alama za mshangao na kujiuliza: Tumefanya nini?

Sitaandika ninachokijua, lakini nimepata habari hizo, na kwamba mgombea huyo alitahadharishwa kutorudia aliyoyafanya 2005, la sivyo ingetokea vita kubwa ya kidini ambayo ingeleta maafa makubwa sana.

Nani aliyemtahadharisha sitamtaja pia. Lakini ni mambo mazito.

Afadhali amesikia ushauri huo, la sivyo, hivi sasa wengi wetu tungekuwa "wakimbizi", huku tukiwa tumechomewa nyumba zetu, mali zetu, magari yetu, na kadhalika.

Allahu Akbar!

Mungu ni Mkubwa!

Bwana Yetu Asifiwe!

-> Mwana wa Haki
 
Back
Top Bottom