Kumbe Jiwe ana-'cut na ku-paste' kutoka huku

Fiziolojia

JF-Expert Member
Oct 19, 2019
819
1,079
Vifo vinavyotokana na ugonjwa wa Covid-19 nchini Brazili vinaendelea kuongezeka huku mamia ya watul wakifariki kila siku nchini humo, lakini rais Jair Bolsonaro amekuwa akitumia maneno mawili kuelezea hali hiyo: "Sasa iweje?"

Rais huyo kwa mara nyingine amewaomba raia wa Brazil warejee kazini, alipokutana na kuwasalimia kwa mikono na hata kupiga seilfie na wafuasi wake katika mkutano wa hadhara mjini Brasilia siku ya Jumapili (3).

Lakini anakabiliwa na ukosowaji mkubwa kwa kupuuza ugonjwa huo mara kwa mara.

Idadi ya wagonjwa waliothibitishwa kuambukizwa virisi vya corona vinavyosababisha ugonjwa wa Covid-19 nchini humo imepita 100,000, huku zaidi ya wa 7,000 wakifariki - idadi ambayo ni yajuu zaidi Amerika Kusini.

Lakini alipoulizwa na mwandishi wa habari kuhusu idadi ya vifo, ambayo ilikuwa imepita 5,000 siku ya Jumanne (Aprili 28), rais alisema:

"Sasa iweje? Samahani, mwataka nifanye nini? Siweezi kufanya miujiza."

Bw. Bolsonaro aliwahi kupuuza ugonjwa wa Covid-19 na kuutaja kama "homa kidogo tu" na kulaumu vyombo vya habari kwa kueneza taarifa ghushi ili kuzua taharuki katika jamii.

Huku hayo yakijiri, katika mitandao ya kijamii, kundi linalomuunga mkono rais lilichapisha picha za majeneza feki ambazo linasema ilizikwa bila kuwa na maiti ili kuongeza idadi ya watu waliofariki kutokana na ugonjwa huo.

Karibu wanahabari watatu walishambuliwa katika mukutano huo wa siku ya Jumapili ambao ulihudhuriwa na mamia ya waandamanaji waliokuwa wakishinikiza Bungea la Congress na mahakama ya juu zaidi kufungwa.

Shirika la habari la Reuterslilishuhudia mmoja wa wapiga picha wa gazeti la O Estado de S. Paulo akiburuzwa chini na kupigwa mateke mara kadhaa.

Screenshot_2020-05-04-21-33-18-427_com.android.chrome.jpeg
Screenshot_2020-05-04-21-34-00-834_com.android.chrome.jpeg


Chanzo:BBC
 
Wew mleta mada ni moja ya mlogwa mkubwa wa ukoloni,umekaa na kufikiri chajo kibaya,wafrika sjui lini tutachujua hata chembe ya damu ya wachina??

Ipo siku Jiwe mtankumbuka.inchi hii ilioza kila kona,mkwere alifanya inchi itafunwe kama biskut,acha mapungufu ya jiwe yawepo ila tambua thaman yako kama mtu mweusi na mtanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoz nyeus weaked kabisa,yan ngoz nyeus imelaanika,yan huamin kabisa kwamba huyo wa brazil pengne ndo ana cut na kupaste kwa magu...dah

Sent using Jamii Forums mobile app
Mm naona kichefuchefu kabisa kwa hii mijitu inayokaa inafikiri kila kitu bora kinatoka inje,hao ndo wakienda kule wanabaki kutukanwa na kudhalilishwa...hiyo mijitu ya inje haijui hara kuna kima huku anatoa sifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wew mleta mada ni moja ya mlogwa mkubwa wa ukoloni,umekaa na kufikiri chajo kibaya,wafrika sjui lini tutachujua hata chembe ya damu ya wachina??

Ipo siku Jiwe mtankumbuka.inchi hii ilioza kila kona,mkwere alifanya inchi itafunwe kama biskut,acha mapungufu ya jiwe yawepo ila tambua thaman yako kama mtu mweusi na mtanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sample ya papai na fenesi.

TUNAWE MIKONO SEKUNDE 20 NA KUTO KARIBIANA BILA KUSAHAU KUTO GUSANA
 
Vifo vinavyotokana na ugonjwa wa Covid-19 nchini Brazili vinaendelea kuongezeka huku mamia ya watul wakifariki kila siku nchini humo, lakini rais Jair Bolsonaro amekuwa akitumia maneno mawili kuelezea hali hiyo: "Sasa iweje?"

Rais huyo kwa mara nyingine amewaomba raia wa Brazil warejee kazini, alipokutana na kuwasalimia kwa mikono na hata kupiga seilfie na wafuasi wake katika mkutano wa hadhara mjini Brasilia siku ya Jumapili (3).

Lakini anakabiliwa na ukosowaji mkubwa kwa kupuuza ugonjwa huo mara kwa mara.

Idadi ya wagonjwa waliothibitishwa kuambukizwa virisi vya corona vinavyosababisha ugonjwa wa Covid-19 nchini humo imepita 100,000, huku zaidi ya wa 7,000 wakifariki - idadi ambayo ni yajuu zaidi Amerika Kusini.

Lakini alipoulizwa na mwandishi wa habari kuhusu idadi ya vifo, ambayo ilikuwa imepita 5,000 siku ya Jumanne (Aprili 28), rais alisema:

"Sasa iweje? Samahani, mwataka nifanye nini? Siweezi kufanya miujiza."

Bw. Bolsonaro aliwahi kupuuza ugonjwa wa Covid-19 na kuutaja kama "homa kidogo tu" na kulaumu vyombo vya habari kwa kueneza taarifa ghushi ili kuzua taharuki katika jamii.

Huku hayo yakijiri, katika mitandao ya kijamii, kundi linalomuunga mkono rais lilichapisha picha za majeneza feki ambazo linasema ilizikwa bila kuwa na maiti ili kuongeza idadi ya watu waliofariki kutokana na ugonjwa huo.

Karibu wanahabari watatu walishambuliwa katika mukutano huo wa siku ya Jumapili ambao ulihudhuriwa na mamia ya waandamanaji waliokuwa wakishinikiza Bungea la Congress na mahakama ya juu zaidi kufungwa.

Shirika la habari la Reuterslilishuhudia mmoja wa wapiga picha wa gazeti la O Estado de S. Paulo akiburuzwa chini na kupigwa mateke mara kadhaa.

View attachment 1439807View attachment 1439808

Chanzo:BBC
Mleta mada una laana ya wazazi wako.
 
Ngoz nyeus weaked kabisa,yan ngoz nyeus imelaanika,yan huamin kabisa kwamba huyo wa brazil pengne ndo ana cut na kupaste kwa magu...dah

Sent using Jamii Forums mobile app
Ngozi nyeusi imejaa ubinafsi wa kiwango cha juu kabisa.
Ngozi nyeusi haijali yanayowatokea watu wake.
Ngozi hii ni kama laana , inashabikia ukatili kwa binadamu wenzao.
Ngozi nyeusi, doa jeusi , nywele nyeusi nadhani hata roho ni nyeusi.
Ngozi nyeusi bado inahubiri ukabila, udini na ukanda.
Hii ngozi ni kama bado inahitaji huduma ya mzungu.

Lakini Mungu anaipenda ngozi nyeusi



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanamshangaa mapambano yake dhidi ya COVID-19,na issu ya kupima mapapai , mbuzi,mafenesi , aljazeera wanamfananisha na kinjikitile ngwale kwenye vita ya majimaji
😃😃😃
 
Back
Top Bottom