Nimefurahi kufika ktk jiji hili kwani nilikua nikilisoma kwenye ramani na vitabu.nimekubli jiji hili ni zuri la kuvutia,wenyeji wa jiji hli ni wasukuma but pia kuna mchanganyiko wa kabila nyingi.pia utalii wa kutosha nawashukuru wenyeji kwa kunitembeza pia wana JF karibu ktk jiji hl hakika mtaenjoy.