johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,761
Alicholalamikia Jesca Kishoa leo ni baadhi ya vyama vya siasa kutofanya mikutano ya ndani kwa wakati jambo ambalo linaminya demokrasia akitolea mfano wa Chadema.
Naibu Spika amemjulisha kuwa mikutano ya ndani inafanywa kwa mujibu wa katiba za vyama husika.
Chadema sikilizeni rufaa za hawa akina mama.
Kazi Iendelee!
Naibu Spika amemjulisha kuwa mikutano ya ndani inafanywa kwa mujibu wa katiba za vyama husika.
Chadema sikilizeni rufaa za hawa akina mama.
Kazi Iendelee!