kitokololoo
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 704
- 813
Bisha ubishavyo ila huo ndyo ukweli hili limejidhihirisha baada ya mshahara wa watumishi wa serikali kuchelewa kuingia kila Uzi humu ilikuwa ni kilio cha mishahara...
Kuna Uzi hapa wakuulizia mshahara umefikisha 35k viewers hahaha hii inaonyesha wengi hujifanya watu wenye pesa walojiajiri kumbe si kweli wengi watumishi humu.
Maisha tunategemea wafanyabiasha na wafanyakazi hutegemeana biashara huchanganya tarehe za mishahara tusizomeane humu..
Lakini ndugu zangu watumishi nanyi mjifunze kuweka kaakiba ili hii aibu isiwakumbe tena pia kipindi cha mvua jitahidini basi ata kulima ka heka ka moja ka mahindi na vimaharage au ata mpunga ili inapotokea kama hivi unabandika Maharage unampa mama mia tano tu anaenda koboa mpunga mambo yanakuwa poa kabisa sasa pia lima ka bustani ata tuta moja ka mboga mboga huta juta tarehe kama hizi utaishi vzr tu na vilio vitapungua pindi mshahara ukichelewa haupati kadhia hii
Halafu baada ya Leo kupata mshahara waliokuwa wanalialia mshahara humu kila mtu atageuka kuwa si wafanyakazi tena kila mtu mfanyabiashara tena mwenye mamilioni hyo ndyo jf
Nawakumbusha tu Leo tarehe 24 mpk mwezi ujao tena tarehe 24 pia kuna sikukuu apo katikati ya mwezi june tumieni vzr.
By mkulima mfanyakazi from mbeya.
Kuna Uzi hapa wakuulizia mshahara umefikisha 35k viewers hahaha hii inaonyesha wengi hujifanya watu wenye pesa walojiajiri kumbe si kweli wengi watumishi humu.
Maisha tunategemea wafanyabiasha na wafanyakazi hutegemeana biashara huchanganya tarehe za mishahara tusizomeane humu..
Lakini ndugu zangu watumishi nanyi mjifunze kuweka kaakiba ili hii aibu isiwakumbe tena pia kipindi cha mvua jitahidini basi ata kulima ka heka ka moja ka mahindi na vimaharage au ata mpunga ili inapotokea kama hivi unabandika Maharage unampa mama mia tano tu anaenda koboa mpunga mambo yanakuwa poa kabisa sasa pia lima ka bustani ata tuta moja ka mboga mboga huta juta tarehe kama hizi utaishi vzr tu na vilio vitapungua pindi mshahara ukichelewa haupati kadhia hii
Halafu baada ya Leo kupata mshahara waliokuwa wanalialia mshahara humu kila mtu atageuka kuwa si wafanyakazi tena kila mtu mfanyabiashara tena mwenye mamilioni hyo ndyo jf
Nawakumbusha tu Leo tarehe 24 mpk mwezi ujao tena tarehe 24 pia kuna sikukuu apo katikati ya mwezi june tumieni vzr.
By mkulima mfanyakazi from mbeya.