kagoshima
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 2,628
- 5,133
Mbona mheshimiwa Lugola anachunguzwa yuko huru. Hebu wajuvi wa mambo tuelezeni. Kuna watu kadhaa wapo mahabusu kwa tuhuma za kesi za uhujumu uchumi bila dhamana takwa la kisheria (moja ya sheria kandamizi kwa mtazamo wa wengi).
Cha ajabu waziri wa zamani mambo ya ndani kangi lugola mheshimiwa yuko huru nje kwa makosa yale yale wengine wanasota sello.
Je, inchini kana ubaguzi namna ya ku implement sheria?
Cha ajabu waziri wa zamani mambo ya ndani kangi lugola mheshimiwa yuko huru nje kwa makosa yale yale wengine wanasota sello.
Je, inchini kana ubaguzi namna ya ku implement sheria?