Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,955
- 22,128
Watanzania tuendelee kusali na kuomba mikutano itokee tanzania
kama ulipita asbh ya leo basi nenda kesho abh uone jinsi sam nujoma rd ilivyopendeza ..nimepita usiku huu kuna magari makubwa ma tatu yako sehemu tofauti
yana chomeka miti mizuri iliopendeza nahisi aina fulan ya maua sijui yametokea ikulu
labda kwa hili nawapongeza sana mh lukuvi ila sijui ni mpaka mikutano mingine itokee ndio mnaweka..na je bada ya mkutano mtaleta yale magari kubeba hii miti/maua
bado najiuliza ilikuwa imepandwa nyumban kwa mkuu wa mkoa ama ilikuwa ikulu
ama mtu kala dili fasta shamban mwake ....yaani we acha amka ukaone mwenye
jamani yale mashimo ya lugalo nayo yameanza kufukiwa baada ya baadhi ya washiriki kutumia barabara hii ooh hii neema ilioje...Mungu ashushe mikutano kadri awezavyo jamani
nimeona haya nkasema tuendele kuomba mungu maana nakumbuka barabara ya kinondoni ilifukiwa m ajuzi siku kikwete anakwenda uwanja wa uhuru kuhutubia....pale Bp karibu na nyumba ya ben kulitengenezwa mashimo tuliyoteseka nayo miezi....
majuzi kikwete ameenda kuhutubia kama mliona kwenye gazeti jama wakaenda kuondoa maji kila wakiyamwaga ngoma inarudi mpaka rais anapita yakawarukia ilikuwa ni aibu sana jaman mpaka rais apite...mh embu pita basi siku moja na NELSON MANDELA RD JAMANI labda yale mashimo nayo yatapona
kama ulipita asbh ya leo basi nenda kesho abh uone jinsi sam nujoma rd ilivyopendeza ..nimepita usiku huu kuna magari makubwa ma tatu yako sehemu tofauti
yana chomeka miti mizuri iliopendeza nahisi aina fulan ya maua sijui yametokea ikulu
labda kwa hili nawapongeza sana mh lukuvi ila sijui ni mpaka mikutano mingine itokee ndio mnaweka..na je bada ya mkutano mtaleta yale magari kubeba hii miti/maua
bado najiuliza ilikuwa imepandwa nyumban kwa mkuu wa mkoa ama ilikuwa ikulu
ama mtu kala dili fasta shamban mwake ....yaani we acha amka ukaone mwenye
jamani yale mashimo ya lugalo nayo yameanza kufukiwa baada ya baadhi ya washiriki kutumia barabara hii ooh hii neema ilioje...Mungu ashushe mikutano kadri awezavyo jamani
nimeona haya nkasema tuendele kuomba mungu maana nakumbuka barabara ya kinondoni ilifukiwa m ajuzi siku kikwete anakwenda uwanja wa uhuru kuhutubia....pale Bp karibu na nyumba ya ben kulitengenezwa mashimo tuliyoteseka nayo miezi....
majuzi kikwete ameenda kuhutubia kama mliona kwenye gazeti jama wakaenda kuondoa maji kila wakiyamwaga ngoma inarudi mpaka rais anapita yakawarukia ilikuwa ni aibu sana jaman mpaka rais apite...mh embu pita basi siku moja na NELSON MANDELA RD JAMANI labda yale mashimo nayo yatapona