Akili Sina
JF-Expert Member
- Jan 18, 2018
- 301
- 2,218
Duuh kweli kuna watu wanajua kutengeneza movie.....Ila hii ya saivi kidogo mmeipatia tofauti na zile nyingine......saiv wala husikii tena wakihoji habari za kompyuta kuibiwa.....Watu wanatunga movie alafu wanajifanya wanatoa eti tetesi.....