Kumbe hivi ndivyo CCM inavyowafundisha mawakala wake wakati wa uchaguzi

Joblube

JF-Expert Member
Mar 4, 2011
369
151
Ni jambo la kushangaza sana kufanywa na chama tawala kinachojivunia kuwa cha Kidemokrasia.

Juzi nilikutana na wakala wa CCM kwenye uchaguzi katika maongezi yetu akaniambia kuwa katika semina ya mawakala wa CCM kwenye uchaguzi wanafundishwa kuwa wakati ukiwa kwenye chumba cha uchaguzi hasa wakati wa kuhesabu kura, ukiona muelekeo kuwa CCM inashindwa wakala anatkiwa ajitoe muhanga kwa kuchukua chombo cha kuhesabia kura na ukimbie nacho askari hatawezo kukukimbiza hasa ukiwa wewe ni CCM.

Hi itafanya uchaguzi uvurugike ili urudiwe au uendelee wakati umeshakimbia nazile kura na upinzani wale wa upinzani wakijaribu kukudhibiti wanashughulikiwa na polisi na baadaye inaripotiwa kuwa virugu za sababisha kasoro kenye uchaguzi either uchaguzi unaairishwa wakiamini ushinda kwenye marudio kutokana upinzani utakua wamekata taamaa baada ya misukosuko ya polisI.
 
Kama ameambiwa ajitoe muhanga sawa kinachofuata kwenye uchaguzi mkuu ni kunadiwa mwizi na inakuwa vizuri pale polisi walipokuwa hana uwezo wa kumfukuza ,just mawakala wa ukawa nao watoke nje wanadi mwizii tuone kama sanduku hakulitupa. Chezea wanachi !
 
Ni jambo la kushangaza sana kufanywa na chama tawala kinachojivunia kuwa cha Kidemokrasia. Juzi nilikutana na wakala wa CCM kwenye uchaguzi katika maongezi yetu akaniambia kuwa katika semina ya mawakala wa CCM kwenye uchaguzi wanafundishwa kuwa wakati ukiwa kwenye chumba cha uchaguzi hasa wakati wa kuhesabu kura, ukiona muelekeo kuwa CCM inashindwa wakala anatkiwa ajitoe muhanga kwa kuchukua chombo cha kuhesabia kura na ukimbie nacho askari hatawezo kukukimbiza hasa ukiwa wewe ni CCM. Hi itafanya uchaguzi uvurugike ili urudiwe au uendelee wakati umeshakimbia nazile kura na upinzani wale wa upinzani wakijaribu kukudhibiti wanashughulikiwa na polisi na baadaye inaripotiwa kuwa virugu za sababisha kasoro kenye uchaguzi either uchaguzi unaairishwa wakiamini ushinda kwenye marudio kutokana upinzani utakua wamekata taamaa baada ya misukosuko ya polisI.


Wewe utakuwa mpinzani na mfanya fujo. siku ya uchaguzi nenda kituo cha kupigia Kura na silaha zako (panga na marungu) ukisubiri wakala atoke na sanduku la kura.
 
wameenda kufundishwa namna ya kuiba kura wataisoma namba tumeshajua njama zao haziwezi kufanikiwa.
 
Back
Top Bottom