Iliposemwa kuwa kuna watu wameficha hela, watu walipinga sana (Mimi nikiwa mmojawapo) lakini sasa imedhihiri kwamba Noti na Sarafu za shilingi mia tano tano (Jero) hazipo kwa wingi wa kutosha mitaani na bila shaka kuna watu wamezificha kwa faida yao binafsi, na hao ndiyo wa kushughulikiwa.
Kuna watu wameficha mia tano tano!!
Wamekutuma lumumba?