samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,174
Binafsi nakubali kazi za JPM. Lakin sasa lazima ifike mahali nyie wanazi mumuache mzee wetu apumzike badala ya kutumia jina lake for cheap politics. Cant you move on?
shida inaanzia kwa wale wanaomuonea akiwa amekufa kwa kutaka kumbebesha misalaba baadala ya wao kufanya kazi na kumaliza kero zilizopo mbele yao....sasa hapo ndio lazima atetewe labda nao wamuache apumzike..