Kumbe Hayati Rais Magufuli alikuwa Mwamba kweli kweli!! Taifa hili litakukumbuka daima!!!

Binafsi nakubali kazi za JPM. Lakin sasa lazima ifike mahali nyie wanazi mumuache mzee wetu apumzike badala ya kutumia jina lake for cheap politics. Cant you move on?

shida inaanzia kwa wale wanaomuonea akiwa amekufa kwa kutaka kumbebesha misalaba baadala ya wao kufanya kazi na kumaliza kero zilizopo mbele yao....sasa hapo ndio lazima atetewe labda nao wamuache apumzike..
 
Lema akili imeanza kurudi KWA Sasa,alishasahau aliyolalamikia awamu ya nne ndo haya yamerudi
 
Huyo ndio amaetufikisha hapa. Angekamilisha ule mradi wa umeme wa gesi kwanza, huenda Leo tusingekuwa hapa. Lakini kwa kuwa alijawa visasi aliona kila alichofanya Kikwete akiharibu na kujimwambafai hakuna mwenye mipango mizuri Kama yeye.

Tuendelee kula giza Hadi hapo mvua itakapotumbuka kwa ujinga wetu
Kama imepangwa hujuma, hata ungekuwa umeme wa gesi, sababu isingekosekana
 
Penye ukweli na usemwe tu,jpm alijitahidi kwa kiasi chake ila sio huyu wa miezi kadhaa jua limekuwa kali kwa sababu ya ghadhabu ya Muumba,wamachinga wanalia kila kona!dah!shenzi kabisa

IMG-20211120-WA0130.jpg


IMG-20211120-WA0040.jpg
 

Attachments

  • VID-20211120-WA0077.mp4
    5.3 MB
Mosi ni Matengenezo (Maintenance) na pili Ukame!
Hapo kwenye ukame mi najiuliza mara mbili mbili, hivi tuna mabwawa au madimbwi? Yani mvua ikichelwa miezi miwili tu bwawa limeshakauka na kusitisha uzalishaji?
Kama msimu wa mvua uliopita tulikuwa na mvua nyingi tena za kuzidi, imekuwaje mabwawa yetu yakauke within a year? Hayo mabwawa yetu ni sustainable kiasi gani kama yanakauka mvua inapochelewa kwa miezi miwili?
Tanesco na January wanatuzuga kwa kuandaa mazingira ya kuingia kwenye mikataba ya wizi tu.
 
Leta uzi wa katiba sasa
Hivi karibuni nilitoa maoni yangu kupitia humu Jamiiforums kuhusu Waziri wa Nishati January Makamba na mienendo yake kuhusu TANESCO!

Kama anavyosema Jenerali Ulimwengu yawezekana kweli Tanzania ni Nchi ya ajabu kweli kweli!

Hayati Rais Magufuli amefariki hata mwaka mmoja haujaisha hofu kuhusu hali ya umeme kuwa mbaya imetanda kila mahali!

Nili-doubt mapema sana iweje huyu January Makamba kuapishwa tu kuwa Waziri wa Nishati ,hajatembelea hata miradi kama Stiglers Gorge keshakimbilia Ubalozi wa Marekani kuomba misaada ya umeme!!!

Muda mfupi Waziri aliyekuwepo wa Nishati Medard Kalemani akatenguliwa, MD wa TANESCO Dr.Tito Mwinuka akaondolewa na Bodi ya TANESCO ikavunjiliwa mbali!
Sasa kwa Nchi yenye viongozi makini hapo succession plan iko wapi?!
Waziri mpya, MD wa TANESCO mpya ( tena mwenye uzoefu wa usambazaji visimbuzi siyo insider wa TANESCO) na Bodi pia mpya yenye wajuumbe wapya na wengine walikuwa watetezi wa akina Richmond na Dowans katika kesi za upigaji ktk TANESCO katika Mahakama za Kimataifa! Nchi yetu kweli ya ajabu sana hii!!

Eti leo January kupitia makuwadi wake kama akina Zitto Kabwe wanamtuhumu Hayati Rais Magufuli kuwa alinyima au kataza matengenezo katika mitambo ya Umeme na wakati mwingine kuwa maneuver wenye viwanda kusitisha uzalishaji ili kuficha mgao wa umeme!!!

Kweli Zitto Kabwe anadhihirisha ninachokijua siku zote kuwa usimwamini mwanasiasa yeyote mwenye njaa!!
Yaani Zitto Kabwe kukosa Ubunge na kukosa mishahara na posho za kibunge kwa mwaka mmoja tu umekuwa " Kichwa maji" hivi na kuanza kuwa kuwadi wa January Makamba kwenye matatizo ya kutengeneza ya Umeme !!

Ukisoma tweet za January ambazo hazina hadhi ya Uwaziri na tweet za Zitto zote zina mwelekeo mmoja wa kumbeza na kumlaumu Hayati Rais Magufuli kuhusu hali hii ya umeme wanayotutishia!
Watanzania hata msemeje na makuwadi wenu tunajua Hayati Rais Magufuli alikomesha ujinga ujinga uliokuwa ukifanyika TANESCO! Mliifanya TANESCO " Cash Cow" yenu and now you are back in another form after the demise of Magufuli!

Ukiwasikiliza TANESCO na January kuna mambo mawili wanayo fabricate kama chanzo cha tatizo la umeme!
Mosi ni Matengenezo (Maintenance) na pili Ukame!
Mimi ninachosema wote hawana hoja , akina January waende moja kwa moja kwenye point na wasizunguke na kufanya watu wote ni wajinga!!!

Wanachotaka hawa mumiani ni kuwarudisha akina Symbion na IPTL kwenye kazi/mikataba baada ya kifo cha Hayati Rais Magufuli!!

Wanajificha kwenye maeneo haya mawili,matengenezo na ukame, ili Mwenyezi Mungu akiwaumbua kwa kunyesha mvua basi wabaki na ajenda ya upungufu wa umeme ni kutokana na uchakavu wa mitambo na matengenezo!

Kama hali ni mbaya kiasi hiki nauliza Kamati Kuu ya CCM na NEC huwa kunajadiliwa nini kiasi cha mambo ya msingi kama haya kuzuka na kuleta hofu kwa wananchi na hakuna mwongozo wowote wa maana kutoka katika Chama?!

CCM kama tumeshindwa kuongoza Taifa hili kwa ufanisi TUKUBALI na turuhusu ushindani wa kisiasa ili kupitia ushindani huo wanaweza kupatikani watu wengine wenye maarifa wakaliongoza Taifa hili kwa mafanikio makubwa kuliko haya tuliyo nayo leo !
 
Hivi karibuni nilitoa maoni yangu kupitia humu Jamiiforums kuhusu Waziri wa Nishati January Makamba na mienendo yake kuhusu TANESCO!

Kama anavyosema Jenerali Ulimwengu yawezekana kweli Tanzania ni Nchi ya ajabu kweli kweli!

Hayati Rais Magufuli amefariki hata mwaka mmoja haujaisha hofu kuhusu hali ya umeme kuwa mbaya imetanda kila mahali!

Nili-doubt mapema sana iweje huyu January Makamba kuapishwa tu kuwa Waziri wa Nishati ,hajatembelea hata miradi kama Stiglers Gorge keshakimbilia Ubalozi wa Marekani kuomba misaada ya umeme!!!

Muda mfupi Waziri aliyekuwepo wa Nishati Medard Kalemani akatenguliwa, MD wa TANESCO Dr.Tito Mwinuka akaondolewa na Bodi ya TANESCO ikavunjiliwa mbali!
Sasa kwa Nchi yenye viongozi makini hapo succession plan iko wapi?!
Waziri mpya, MD wa TANESCO mpya ( tena mwenye uzoefu wa usambazaji visimbuzi siyo insider wa TANESCO) na Bodi pia mpya yenye wajuumbe wapya na wengine walikuwa watetezi wa akina Richmond na Dowans katika kesi za upigaji ktk TANESCO katika Mahakama za Kimataifa! Nchi yetu kweli ya ajabu sana hii!!

Eti leo January kupitia makuwadi wake kama akina Zitto Kabwe wanamtuhumu Hayati Rais Magufuli kuwa alinyima au kataza matengenezo katika mitambo ya Umeme na wakati mwingine kuwa maneuver wenye viwanda kusitisha uzalishaji ili kuficha mgao wa umeme!!!

Kweli Zitto Kabwe anadhihirisha ninachokijua siku zote kuwa usimwamini mwanasiasa yeyote mwenye njaa!!
Yaani Zitto Kabwe kukosa Ubunge na kukosa mishahara na posho za kibunge kwa mwaka mmoja tu umekuwa " Kichwa maji" hivi na kuanza kuwa kuwadi wa January Makamba kwenye matatizo ya kutengeneza ya Umeme !!

Ukisoma tweet za January ambazo hazina hadhi ya Uwaziri na tweet za Zitto zote zina mwelekeo mmoja wa kumbeza na kumlaumu Hayati Rais Magufuli kuhusu hali hii ya umeme wanayotutishia!
Watanzania hata msemeje na makuwadi wenu tunajua Hayati Rais Magufuli alikomesha ujinga ujinga uliokuwa ukifanyika TANESCO! Mliifanya TANESCO " Cash Cow" yenu and now you are back in another form after the demise of Magufuli!

Ukiwasikiliza TANESCO na January kuna mambo mawili wanayo fabricate kama chanzo cha tatizo la umeme!
Mosi ni Matengenezo (Maintenance) na pili Ukame!
Mimi ninachosema wote hawana hoja , akina January waende moja kwa moja kwenye point na wasizunguke na kufanya watu wote ni wajinga!!!

Wanachotaka hawa mumiani ni kuwarudisha akina Symbion na IPTL kwenye kazi/mikataba baada ya kifo cha Hayati Rais Magufuli!!

Wanajificha kwenye maeneo haya mawili,matengenezo na ukame, ili Mwenyezi Mungu akiwaumbua kwa kunyesha mvua basi wabaki na ajenda ya upungufu wa umeme ni kutokana na uchakavu wa mitambo na matengenezo!

Kama hali ni mbaya kiasi hiki nauliza Kamati Kuu ya CCM na NEC huwa kunajadiliwa nini kiasi cha mambo ya msingi kama haya kuzuka na kuleta hofu kwa wananchi na hakuna mwongozo wowote wa maana kutoka katika Chama?!

CCM kama tumeshindwa kuongoza Taifa hili kwa ufanisi TUKUBALI na turuhusu ushindani wa kisiasa ili kupitia ushindani huo wanaweza kupatikani watu wengine wenye maarifa wakaliongoza Taifa hili kwa mafanikio makubwa kuliko haya tuliyo nayo leo !
HOPLESS COMMENT ....UHARIBIFU WALIOUFANYA AWAM HIYO NDIO UNATUTESA HAD KESHO
 
shida inaanzia kwa wale wanaomuonea akiwa amekufa kwa kutaka kumbebesha misalaba baadala ya wao kufanya kazi na kumaliza kero zilizopo mbele yao....sasa hapo ndio lazima atetewe labda nao wamuache apumzike..
Yaani hata atetewe vip he is gone. And bad news ni kwamba dead man dont tell tales
 
Hivi karibuni nilitoa maoni yangu kupitia humu Jamiiforums kuhusu Waziri wa Nishati January Makamba na mienendo yake kuhusu TANESCO!

Kama anavyosema Jenerali Ulimwengu yawezekana kweli Tanzania ni Nchi ya ajabu kweli kweli!

Hayati Rais Magufuli amefariki hata mwaka mmoja haujaisha hofu kuhusu hali ya umeme kuwa mbaya imetanda kila mahali!

Nili-doubt mapema sana iweje huyu January Makamba kuapishwa tu kuwa Waziri wa Nishati ,hajatembelea hata miradi kama Stiglers Gorge keshakimbilia Ubalozi wa Marekani kuomba misaada ya umeme!!!

Muda mfupi Waziri aliyekuwepo wa Nishati Medard Kalemani akatenguliwa, MD wa TANESCO Dr.Tito Mwinuka akaondolewa na Bodi ya TANESCO ikavunjiliwa mbali!
Sasa kwa Nchi yenye viongozi makini hapo succession plan iko wapi?!
Waziri mpya, MD wa TANESCO mpya ( tena mwenye uzoefu wa usambazaji visimbuzi siyo insider wa TANESCO) na Bodi pia mpya yenye wajuumbe wapya na wengine walikuwa watetezi wa akina Richmond na Dowans katika kesi za upigaji ktk TANESCO katika Mahakama za Kimataifa! Nchi yetu kweli ya ajabu sana hii!!

Eti leo January kupitia makuwadi wake kama akina Zitto Kabwe wanamtuhumu Hayati Rais Magufuli kuwa alinyima au kataza matengenezo katika mitambo ya Umeme na wakati mwingine kuwa maneuver wenye viwanda kusitisha uzalishaji ili kuficha mgao wa umeme!!!

Kweli Zitto Kabwe anadhihirisha ninachokijua siku zote kuwa usimwamini mwanasiasa yeyote mwenye njaa!!
Yaani Zitto Kabwe kukosa Ubunge na kukosa mishahara na posho za kibunge kwa mwaka mmoja tu umekuwa " Kichwa maji" hivi na kuanza kuwa kuwadi wa January Makamba kwenye matatizo ya kutengeneza ya Umeme !!

Ukisoma tweet za January ambazo hazina hadhi ya Uwaziri na tweet za Zitto zote zina mwelekeo mmoja wa kumbeza na kumlaumu Hayati Rais Magufuli kuhusu hali hii ya umeme wanayotutishia!
Watanzania hata msemeje na makuwadi wenu tunajua Hayati Rais Magufuli alikomesha ujinga ujinga uliokuwa ukifanyika TANESCO! Mliifanya TANESCO " Cash Cow" yenu and now you are back in another form after the demise of Magufuli!

Ukiwasikiliza TANESCO na January kuna mambo mawili wanayo fabricate kama chanzo cha tatizo la umeme!
Mosi ni Matengenezo (Maintenance) na pili Ukame!
Mimi ninachosema wote hawana hoja , akina January waende moja kwa moja kwenye point na wasizunguke na kufanya watu wote ni wajinga!!!

Wanachotaka hawa mumiani ni kuwarudisha akina Symbion na IPTL kwenye kazi/mikataba baada ya kifo cha Hayati Rais Magufuli!!

Wanajificha kwenye maeneo haya mawili,matengenezo na ukame, ili Mwenyezi Mungu akiwaumbua kwa kunyesha mvua basi wabaki na ajenda ya upungufu wa umeme ni kutokana na uchakavu wa mitambo na matengenezo!

Kama hali ni mbaya kiasi hiki nauliza Kamati Kuu ya CCM na NEC huwa kunajadiliwa nini kiasi cha mambo ya msingi kama haya kuzuka na kuleta hofu kwa wananchi na hakuna mwongozo wowote wa maana kutoka katika Chama?!

CCM kama tumeshindwa kuongoza Taifa hili kwa ufanisi TUKUBALI na turuhusu ushindani wa kisiasa ili kupitia ushindani huo wanaweza kupatikani watu wengine wenye maarifa wakaliongoza Taifa hili kwa mafanikio makubwa kuliko haya tuliyo nayo leo !
Kamfufue basi!
Corona ishafanya yake mapema sanaaaaaaa. Imebaki story kutoka kwa malamba miguu yake
 
Wacha wafanye wanavyotaka sisi watanzania tunamwachia Mungu Muumba mbingu na nchi najua anaona kila kitu, haya yote yataisha kama si leo kesho ufumbuzi utapatikana.
 
Back
Top Bottom