Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,925
- 95,203
Punguza asira basi maana sasa yupo chini ya mama Samia.Kinachokera ni hawa wachumia tumbo badala kuleta suluhisho wao wanamlaumu Magufuli na tuhuma za uongo na kijinga kabisa!
Kuendelea kutomkubali mama Samia hasa kama wewe ni mwana ccm utajitafutia vidonda vya tumbo.