Kumbe Hayati Magufuli ilibaki kidogo kumshtaki Karamagi mahakamani?

Unaambiwa vyombo vya dola vilishaenda kumchukua kumpeleka kolokoloni kwa ajili ya kujibu tuhuma za kulisababishia Taifa hasara kupitia baadhi ya mikataba ya madini aliyoingia wakati akiwa Waziri akiiwakilisha Serikali.

Inasemwa mzee Mwinyi aliombwa na mmoja ya Viongozi mkuu mstaafu aende kumbembeleza JPM asifanye hivyo kwa sababu ya kumlindia heshima kwa sababu kwa vyovyote vile Karamagi angemtaja boss wake.

Inasemwa Karamagi alishajipanga kumtaja aliyekuwa kiongozi wake kama ndiye aliyemruhusu kuingia mikataba ile na yeye kama Waziri asingekuwa na uwezo wa kukataa maelekezo ya boss wake.

Ukweli ni kwamba JPM alipingana na mzee Mwinyi kuhusu kumlenga mkuu wa zamani wa mhusika bali lengo alitaka mhusika akajibu yeye kama yeye tuhuma zile baadae Jaji mkuu wa kipindi kile alimshauri JPM asitishe nia yake hiyo kwa sababu kwa vyovyote vile ilikuwa ni lazima mamlaka za uteuzi wa Karamagi zingeguswa na hiyo kesi jambo ambalo katiba ya Nchi inazuia.

Kumbukeni gesi iliyopo Mtwara Tanzania si ya Watanzania.

Nb: Huenda ndiyo JPM alikufa kifo chema!
JPM alikuwa msanii sana. Mikataba mibovu ilianza wakati wa JK akiwa waziri wa nishati na madini na yeye alikuwa analijua hilo. Sasa miaka yote hiyo 5 kwa nini hakumuajibisha?

Issue ya gesi Mtwara ilipitishwa na Bunge kwa hati ya dharura huku Chadema wakitolewa nje ya kikao hicho. JPM hilo alilifahamu na kwa miaka 5 hakuchukua hatua yoyote wala hakutaka kabisa kubadilisha mikataba yote mibovu iliyosainiwa na watangulizi wake akawa anapambana na watu aliohisi ni matajiri na wasio na mtetezi .

Ukiona kiongozi anahusudu sana kupendwa (populist) lazima mtaishia kubaya.
 
Magufuli kama aliamua kupambana na hao jamaa angepambana nao mwanzo mwisho, kuliko kuwa na nia, uwezo, na sababu lakini akaacha kwa lengo la kuwalinda wastaafu.

Hata kama sheria inawalinda, lakini jamaa wangeweza kwenda mahakamani kama mashahidi, coz sio wao walioshtakiwa, kitendo cha JPM kuwaacha ndio aliharibu, leo wako mitandaoni wanamsema kila siku.

Wangepandishwa kizimbani watoe ushahidi, Karamagi kwenye utetezi wake angewataja, wenye akili timamu wangejua nani alikuwa muhusika mkuu hata kama sheria inamlinda.
Aaah mstaafu ametuingiza cha kike kwenye mambo mengi
 
Unaambiwa vyombo vya dola vilishaenda kumchukua kumpeleka kolokoloni kwa ajili ya kujibu tuhuma za kulisababishia Taifa hasara kupitia baadhi ya mikataba ya madini aliyoingia wakati akiwa Waziri akiiwakilisha Serikali.

Inasemwa mzee Mwinyi aliombwa na mmoja ya Viongozi mkuu mstaafu aende kumbembeleza JPM asifanye hivyo kwa sababu ya kumlindia heshima kwa sababu kwa vyovyote vile Karamagi angemtaja boss wake.

Inasemwa Karamagi alishajipanga kumtaja aliyekuwa kiongozi wake kama ndiye aliyemruhusu kuingia mikataba ile na yeye kama Waziri asingekuwa na uwezo wa kukataa maelekezo ya boss wake.

Ukweli ni kwamba JPM alipingana na mzee Mwinyi kuhusu kumlenga mkuu wa zamani wa mhusika bali lengo alitaka mhusika akajibu yeye kama yeye tuhuma zile baadae Jaji mkuu wa kipindi kile alimshauri JPM asitishe nia yake hiyo kwa sababu kwa vyovyote vile ilikuwa ni lazima mamlaka za uteuzi wa Karamagi zingeguswa na hiyo kesi jambo ambalo katiba ya Nchi inazuia.

Kumbukeni gesi iliyopo Mtwara Tanzania si ya Watanzania.

Nb: Huenda ndiyo JPM alikufa kifo chema!
Ila hata kama jiwe alikuwa mwendawazimu kabisa, lkn kijamaa cha kuchekacheka nakitilia mashaka sana kwenye kifo cha jiwe
 
Ipo siku Kikwete atafikishwa mahakamani chukua hiyo.
Huyo bwana naombea tu tezi dume liwe halijaisha. Ni mchafu kupindukia yaani kila uovu yumo. Na kwa kuangalia tu huyo bwana na team yake pamoja na huyo mwenye kiremba unaona walimuua kipenzi chetu. Lkn ipo siku Mungu mkubwa mambo yatakuwa hadharani.

Nchi itaendelea huyo bwana akitoka.
 
Magufuli alikuwa ni binadamu kama binadamu wengine kitu kilichomgharimu ni kutokuchukua hatua kwa mamlaka za juu za awamu iliyopita.

Hapa kuna kitu nimejifunza ukiwa moto kuwa moto kwelikweli maana hata maandiko yamesema ukiwa vuguvugu huna nafasi katika ufalme wa mbingu.

Na baada ya huyu bwana kutaka kujaribu kuanza kugusa baadhi ya watu na kuacha wengine hapo ndipo alipokosea wale aliowaacha ndio wakamuwahi yeye.
Alikuwa anaonea watoto wa masikini pekee
 
Unaambiwa vyombo vya dola vilishaenda kumchukua kumpeleka kolokoloni kwa ajili ya kujibu tuhuma za kulisababishia Taifa hasara kupitia baadhi ya mikataba ya madini aliyoingia wakati akiwa Waziri akiiwakilisha Serikali.

Inasemwa mzee Mwinyi aliombwa na mmoja ya Viongozi mkuu mstaafu aende kumbembeleza JPM asifanye hivyo kwa sababu ya kumlindia heshima kwa sababu kwa vyovyote vile Karamagi angemtaja boss wake.

Inasemwa Karamagi alishajipanga kumtaja aliyekuwa kiongozi wake kama ndiye aliyemruhusu kuingia mikataba ile na yeye kama Waziri asingekuwa na uwezo wa kukataa maelekezo ya boss wake.

Ukweli ni kwamba JPM alipingana na mzee Mwinyi kuhusu kumlenga mkuu wa zamani wa mhusika bali lengo alitaka mhusika akajibu yeye kama yeye tuhuma zile baadae Jaji mkuu wa kipindi kile alimshauri JPM asitishe nia yake hiyo kwa sababu kwa vyovyote vile ilikuwa ni lazima mamlaka za uteuzi wa Karamagi zingeguswa na hiyo kesi jambo ambalo katiba ya Nchi inazuia.

Kumbukeni gesi iliyopo Mtwara Tanzania si ya Watanzania.

Nb: Huenda ndiyo JPM alikufa kifo chema!
Jiwe Ibilisi yuko Motoni Kwa sasa
 
Magufuli kama aliamua kupambana na hao jamaa angepambana nao mwanzo mwisho, kuliko kuwa na nia, uwezo, na sababu lakini akaacha kwa lengo la kuwalinda wastaafu.

Hata kama sheria inawalinda, lakini jamaa wangeweza kwenda mahakamani kama mashahidi, coz sio wao walioshtakiwa, kitendo cha JPM kuwaacha ndio aliharibu, leo wako mitandaoni wanamsema kila siku.

Wangepandishwa kizimbani watoe ushahidi, Karamagi kwenye utetezi wake angewataja, wenye akili timamu wangejua nani alikuwa muhusika mkuu hata kama sheria inamlinda.
Mm nashangaa sana JPM anapotajwa kama mtu aliyechukia rushwa. Ukweli ni kwamba yule hakuwa anachukia rushwa ila alikuwa na visasi tu na nongwa!
Hajabadilisha sheria yyte ile ya PCCB na ile ya maadili ya viongozi
 
Magufuli kama aliamua kupambana na hao jamaa angepambana nao mwanzo mwisho, kuliko kuwa na nia, uwezo, na sababu lakini akaacha kwa lengo la kuwalinda wastaafu.

Hata kama sheria inawalinda, lakini jamaa wangeweza kwenda mahakamani kama mashahidi, coz sio wao walioshtakiwa, kitendo cha JPM kuwaacha ndio aliharibu, leo wako mitandaoni wanamsema kila siku.

Wangepandishwa kizimbani watoe ushahidi, Karamagi kwenye utetezi wake angewataja, wenye akili timamu wangejua nani alikuwa muhusika mkuu hata kama sheria inamlinda.
Una chuki sana mkuu denooj.
 
Watanzania wenzangu tena magreat thinkers hizi ni conspiracies tuziangalie vizuri kwa makini. Maelezo haya yamekaa kishabiki sana kuna kitu yanataka kuvuruga, naona kuna misigano mikubwa ya utawala uliopita na wa sasa wanaocheza hii michezo kuweni makini nchi yetu sio nyepesi tuko vizuri kulinda tunu zetu za Taifa Umoja na mshikamano
Unayemwambia hayo maneno ni sehemu ya kundi la hayati, hawezi kukuelewa hata siku moja.
 
Back
Top Bottom