Na sasa nchi inaelekea huko hukoIla Kikwete alituharibia nchi sana, nashangaa sana watu wanaomshadadia
Subiri tubadili katiba hata hangaya mwenyewe ipo siku tu atakuwa kwa pilatoHaitakaa itokee trust me
Hata angewataja kingetokea?Magufuli kama aliamua kupambana na hao jamaa angepambana nao mwanzo mwisho, kuliko kuwa na nia, uwezo, na sababu lakini akaacha kwa lengo la kuwalinda wastaafu...
Ni ndotoSubiri tubadili katiba hata hangaya mwenyewe ipo siku tu atakuwa kwa pilato
Na kama serikali ya sasa ikiamua kuchimba sana GPM atakutwa na kashfa kibao tena za kutusha na wale kina Doto wataenda jelaHuyo gpm wenu roho mbaya imefupisha maisha yake ya kidunia,
Zee lilitaka lifunge watz wote uraiani abakie yeye tu
Wafia watu watakupinga kwa vinanda na firimbi!Unaambiwa vyombo vya dola vilishaenda kumchukua kumpeleka kolokoloni kwa ajili ya kujibu tuhuma za kulisababishia Taifa hasara kupitia baadhi ya mikataba ya madini aliyoingia wakati akiwa Waziri akiiwakilisha Serikali...
Hawana akili achana nao. Kama wale waliokuwa wanamchukia Magufuli ambavyo sasa wanamkumbuka.Ila Kikwete alituharibia nchi sana, nashangaa sana watu wanaomshadadia
Kwenye hizi tawala za mbogamboga unaota wwIpo siku Kikwete atafikishwa mahakamani chukua hiyo.
Vipi kwa jiweIla Kikwete alituharibia nchi sana, nashangaa sana watu wanaomshadadia
Kuwataja sio issue muhimu awe na support documents za hayo maagizo maana sabaya kala Mvua kwa kutoa maneno matupu kuwa aliagizwa kutoka juuMagufuli kama aliamua kupambana na hao jamaa angepambana nao mwanzo mwisho, kuliko kuwa na nia, uwezo, na sababu lakini akaacha kwa lengo la kuwalinda wastaafu...
Kwanini Yeye alivyouza Nyumba Za Serikali Na Nyingine Kuwagawia Wapenzi Wake Nani Alimshitaki?Unaambiwa vyombo vya dola vilishaenda kumchukua kumpeleka kolokoloni kwa ajili ya kujibu tuhuma za kulisababishia Taifa hasara kupitia baadhi ya mikataba ya madini aliyoingia wakati akiwa Waziri akiiwakilisha Serikali...
Watanzania wenzangu tena magreat thinkers hizi ni conspiracies tuziangalie vizuri kwa makini. Maelezo haya yamekaa kishabiki sana kuna kitu yanataka kuvuruga, naona kuna misigano mikubwa ya utawala uliopita na wa sasa wanaocheza hii michezo kuweni makini nchi yetu sio nyepesi tuko vizuri kulinda tunu zetu za Taifa Umoja na mshikamanoUnaambiwa vyombo vya dola vilishaenda kumchukua kumpeleka kolokoloni kwa ajili ya kujibu tuhuma za kulisababishia Taifa hasara kupitia baadhi ya mikataba ya madini aliyoingia wakati akiwa Waziri akiiwakilisha Serikali...
Hawana akili achana nao. Kama wale waliokuwa wanamchukia Magufuli ambavyo sasa wanamkumbuka.
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Kwa mfano, ule mchakato wa KATIBA, kuanzia zile shughuri zilizofanywa na tume ya Warioba, mpaka kuishia Samuel Sitta na Bunge lake, ni gharama kubwa sana.Ipo siku Kikwete atafikishwa mahakamani chukua hiyo.
Weweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee! Acha bwana!Magufuli kama aliamua kupambana na hao jamaa angepambana nao mwanzo mwisho, kuliko kuwa na nia, uwezo, na sababu lakini akaacha kwa lengo la kuwalinda wastaafu...
Kumuhukumu Kikwete nikumuonea tu kwani kila kiongozi ana mema na mazuri yake. Kila zama na kitabu chake hivyo Kikwete na Jpm hawakuwa malaika wana mapungufu yao pia wana mazuri sio lazima kuyaorozesha hapa. Sio vizuri kuwaza mambo kwa chuki Sasa hivi kuna mikanganyiko na misigano ya makundi vijana tukae neatral tusiwe mashabiki wa upande wowote tutalibomoa Taifa letuHawana akili achana nao. Kama wale waliokuwa wanamchukia Magufuli ambavyo sasa wanamkumbuka.
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Msoga, nape, makamba, mhagama, mwinyi, lusinde, lowassa, pinda, mongela, majaliwaNchi hii ili ikae sawa inabd vizazi fulani viteketezwe kabisa
Ova