Kumbe Hayati Benjamin William Mkapa alikuwa na Phd! Mbona sijawahi sikia akiitwa Dkt. Benjamin William Mkapa?!

Kama kichwa cha habar hapo juu.

Nimeshangaa sana kuona sehemu imeandikwa Dkt. Benjamin William Mkapa. Kweli kabisa kwa nia ya dhati ni mfuatiliaji wa wastani wa habari lakini sijawahi sikia au ona.

Najua maraisi wetu kuna zile doctorates za bwerere huwa wanapewa km heshima lakini huyu mzee baasi km ni hivyo hajaifanyia 'hypes' aka promotion hii niniliu yake.

Anyhow lipo la kujifunza kwa hapa pia tunamtakia makazi mema huko aendako.
Hata marehemu hakua na PHD ni zilezile za bwerere, waliomuita Dr ni wale walimpatia hiyo degree ya bwerere. Mwenye PHD Tanzania rais moja tu Jiwe Mwanakilasa John Pombe Magufuli si Mwalimu ama Mwinyi ama Kikwete, daktari wa falsafa ni moja tu
 
Hayati Mkapa alikuwa mnyenyekevu. Alikataa pia kuitwa Mtukufu Rais na kuweka sura yake katika fedha.
 
Hayati Mkapa alikuwa mnyenyekevu. Alikataa pia kuitwa Mtukufu Rais na kuweka sura yake katika fedha.
ukimuondoa Mwinyi na Karume hakuna rais yeyote Tanzania aliyewahi kuitwa Mtukufu zaidi ya Mheshimiwa. Na huyu Mkapa ndiye anaongoza kwa kuwapiga virungu wapinzani. Tatizo la watanzania wengi ni wanafiki tukifukua makaburi tutaona mengi mliyoyaandika kumtukana Mkapa hasa ndugu zetu wa UKAWA.
 
Hata marehemu hakua na PHD ni zilezile za bwerere, waliomuita Dr ni wale walimpatia hiyo degree ya bwerere. Mwenye PHD Tanzania rais moja tu Jiwe Mwanakilasa John Pombe Magufuli si Mwalimu ama Mwinyi ama Kikwete, daktari wa falsafa ni moja tu
Gharib Bilal?
Shein?
 
1595725848289.png
1595726644490.png

Dr Bilal completed his primary education at Makunduchi, Zanzibar in 1958 and attended his secondary education at Beit-el-Ras in 1962 and later joined Lumumba Secondary School in Zanzibar. Before completing Form Five, Dr Bilal received a scholarship to study physics at Howard University in Washington, graduating in physics and mathematics in 1967. He earned an MA in physics from the University of California, Berkeley in 1969, and a PhD in nuclear physics in 1976. Later the same year he joined the [[University of Dar es Salaam as a lecturer in physics. In 1983 he was elected head of the Department of Nuclear Physics.
 
1595726000093.png

Shein completed his secondary education at Lumumba College, Zanzibar. In 1969–1970 he joined the Preparatory Faculty, Voronezh State University, USSR for "A" Level High Education before he took an undergraduate course from 1970–1975 at Odessa State University, USSR 1984–1988. Shein attained a Master of Science in Medical Biochemistry at the Medical School University of Newcastle England, U.K. Shein was awarded Doctor of Philosophy (PhD) in Clinical Biochemistry and Metabolic Medicine, specializing in "Inborn Errors of Metabolism". He completed a course in HIV/AIDS in Developing Countries at the University of East Anglia in 1995.
 
View attachment 1517047
Shein completed his secondary education at Lumumba College, Zanzibar. In 1969–1970 he joined the Preparatory Faculty, Voronezh State University, USSR for "A" Level High Education before he took an undergraduate course from 1970–1975 at Odessa State University, USSR 1984–1988. Shein attained a Master of Science in Medical Biochemistry at the Medical School University of Newcastle England, U.K. Shein was awarded Doctor of Philosophy (PhD) in Clinical Biochemistry and Metabolic Medicine, specializing in "Inborn Errors of Metabolism". He completed a course in HIV/AIDS in Developing Countries at the University of East Anglia in 1995.
Naomba Wasifu-Taaluma was Dr Salmin Amour
 
ukimuondoa Mwinyi na Karume hakuna rais yeyote Tanzania aliyewahi kuitwa Mtukufu zaidi ya Mheshimiwa. Na huyu Mkapa ndiye anaongoza kwa kuwapiga virungu wapinzani. Tatizo la watanzania wengi ni wanafiki tukifukua makaburi tutaona mengi mliyoyaandika kumtukana Mkapa hasa ndugu zetu wa UKAWA.
Kuwa na PhD siyo kuwa ndio uko smart.
Hata huyu hapa alienda HAVARD
1595726935182.png
 
View attachment 1517047
Shein completed his secondary education at Lumumba College, Zanzibar. In 1969–1970 he joined the Preparatory Faculty, Voronezh State University, USSR for "A" Level High Education before he took an undergraduate course from 1970–1975 at Odessa State University, USSR 1984–1988. Shein attained a Master of Science in Medical Biochemistry at the Medical School University of Newcastle England, U.K. Shein was awarded Doctor of Philosophy (PhD) in Clinical Biochemistry and Metabolic Medicine, specializing in "Inborn Errors of Metabolism". He completed a course in HIV/AIDS in Developing Countries at the University of East Anglia in 1995.
Unajua huo muda ulioutumia kwenda ku google ungeutumia vizuri kuelewa jibu na mada nadhani usingeandika ama kusumbuka...
 
View attachment 1517046View attachment 1517049
Dr Bilal completed his primary education at Makunduchi, Zanzibar in 1958 and attended his secondary education at Beit-el-Ras in 1962 and later joined Lumumba Secondary School in Zanzibar. Before completing Form Five, Dr Bilal received a scholarship to study physics at Howard University in Washington, graduating in physics and mathematics in 1967. He earned an MA in physics from the University of California, Berkeley in 1969, and a PhD in nuclear physics in 1976. Later the same year he joined the [[University of Dar es Salaam as a lecturer in physics. In 1983 he was elected head of the Department of Nuclear Physics.
Akili yako imekutuma kama wengine tunashindwa kwenda google kutafuta hao kina Bilal???? watu wakizungumzia UK Prime Minsters hua hatumweki Nicola Sturgion wala Alex Samond tunawaweka kina Tony Blair, Margreth Thatcher, David Cameron na BOJO japo hao wengine ni waziri wakuu wa Scotland na Scotland imo kwenye muungano wa Nchi ya UK. Jifunze kuelwa maswali kabla ya kujibu ama siyo utapoteza muda kufanya research na ukafeli.
 
Ben Saanane aliifuatilia thesis yake mkampoteza.
Hiyo PhD ni kanjanja
Kama ipo wekeni thesis yake public tuione
Sipo hapa kusema PHD yake alipewa ama la. Wewe jikite kwenye swala letu ambalo umejitahidi na kuandika kiingereza ukidhani lugha inasaidia kusahihisha uozo. Mambo ya ukweli wa PHD yake hayanihusu mimi maana hata wewe nina wasiwasi kama ulifanya vizuri shuleni kwa majibu uliyoyatoa kwenye comments zako. Imekuchukua muda mrefu sana kujua kama umekosea na ukaendelea kulumbana hivyo inaonyesha una vyeti kama PHD iliyokuwa inafuatiliwa na Saa nane
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom