Kumbe haya ndio miongoni mwa yanayofichwa!

we are screwed as a country, Johny boy is probably thinking that he can implement those policies much better than mwalimu, but the results will surprise him and it will be too late.
Someone needs to stop this man ASAP. He is about getting everyone messed up.
 
Anapitia njia zilezile alizopita JK.
JK alipoingia madarakani na swahiba wake manywele walianza na mbwembwe za kutaka kuwa front page kwenye magazeti kila siku asubuhi.

Wakalazimisha waandishi wa habari wawafananishe na mahayati Mwalimu Nyerere na Edward Sokoine, nikajua hawa watu ni wehu na watachemka, haiwezekani watu wazima wanakenua meno kufananishwa na wafu.

Wakajikita kwenye kunyooshea vidole mapungufu ya utawala wa Mkapa, huku wakifurahia Sumaye Kuitwa Zero na kulalamikia rushwa na umasikini, Kikwete akidai nilazima mikataba ya madini ipitiwe na nyumba za serikali zirudishwe, ni zama hizo ndio tukafumbuliwa macho namna kipenzi cha mkapa bwana magufuri alivyokuwa mla rushwa na mzinzi huku fukuza fukuza za maofisa wanaokaribia kustaafu zikishika hatamu, enzi hizo Lowasa alikuwa anasimamisha misafara yake barabarani kusalimia wananchi na ghafla waandishi wa habari wanatokea from no where anaanza kuongea kwa kufoka na kufukuza kazi watumishi wa halmashauri huku akisitisha mikataba mbalimbali na makontractors tofautitofauti mbele ya kamera za waandishi wa habari.

Fumua fumua kwa maelezo ya kurekebisha makosa ya utawala uliopita ikatapakaa kila kona ya nchi, wakuu wa wawilaya na mikoa,wakurugenzi wa taasisi za uma na vitengo nyeti vya serikali na mihiri ya Taifa walikuwa wanabadirishwa kila siku huku shutuma nzito zikiwafuata nyuma kwenye magazeti kila kukicha.

Nakumbuka namna upepo wa Jakaya ulivyoondoka na Spika wa Bunge tukaletewa Mzee Sitta na tambo zake za Standard and Speed, Mikataba ya uendeshaji wa Shirika la ndege, DAWASCO n.k kupitiwa na kufumuliwa kila kukicha.

Kila kona ya nchi maelezo yakawa ni kwamba nchi inanyooshwa.

Mara ghafla, paaaaaaaaaaaaaaaa RICHMOND ikaibuka, upepo ukabadirika, Jakaya akapoteza ujasiri, ukichangia na kukosa watu wa kufukuza sababu wote walikuwa ni wateule wake akakimbilia nje ya nchi, Akitoka Kenya anaenda kuzunguka nchi za ulaya, akirudi asubuhi kesho jioni anaenda Marekani, Aibu. Matokeo nchi ikapoteza muelekezo.

Huyu nae ni hivyo hivyo, kafanya mbwembwe weeeeeeeeeeeeeeeeee hatimae paaaaaaaaaaaaaaaa CAG kamuumbua, serikali yake imejaa rushwa na uzembe, kama richmond ilivyozaliwa Ikulu yeye kuna ufisadi wa zaidi ya trilioni 2.4 mpaka sasa anahangaika kuuficha.
 
we are screwed as a country, Johny boy is probably thinking that he can implement those policies much better than mwalimu, but the results will surprise him and it will be too late.
And we will all pay the price, all of us regardless of ones political affiliation
 
Alipoizuia mifuko ya jamii isitishe uwekekezaji kwenye majengo na kuielekeza iwekeze kwenye viwanda nikadhani ana akili nzuri, kumbe alikuwa anazitolea macho fedha zao azielekeze kwenye aina ya ujenzi inayompendeza yeye.

Mifuko ya jamii ilikuwa inawekeza kwenye majengo ambayo yalikuwa yawe integrated kwenye private economy moja kwa moja na waanze kurudisha pesa zao, sasa yeye kodi yenyewe halipi alafu anajenga Ikulu kwa fedha nyingi akalale humo na familia yake.
Mkuu huyu mzee ni Kama kazidiwa maarifa na waliomzunguka
 
tusihofu sana.aliyeanzisha miradi hii ataisimamia mpaka ikamilike.tukiona haijakamilika chakufanya ni kumwongezea muda wa kukaa madarakani.shida iko wapi?

😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁 na tukimuongezea muda isipokamilika tunamuongezea mingine … 😁😁😁😁😁😁 JF bwana, mna mambo!
 
Anapitia njia zilezile alizopita JK.
JK alipoingia madarakani na swahiba wake manywele walianza na mbwembwe za kutaka kuwa front page kwenye magazeti kila siku asubuhi.

Wakalazimisha waandishi wa habari wawafananishe na mahayati Mwalimu Nyerere na Edward Sokoine, nikajua hawa watu ni wehu na watachemka, haiwezekani watu wazima wanakenua meno kufananishwa na wafu.

Wakajikita kwenye kunyooshea vidole mapungufu ya utawala wa Mkapa, huku wakifurahia Sumaye Kuitwa Zero na kulalamikia rushwa na umasikini, Kikwete akidai nilazima mikataba ya madini ipitiwe na nyumba za serikali zirudishwe, ni zama hizo ndio tukafumbuliwa macho namna kipenzi cha mkapa bwana magufuri alivyokuwa mla rushwa na mzinzi huku fukuza fukuza za maofisa wanaokaribia kustaafu zikishika hatamu, enzi hizo Lowasa alikuwa anasimamisha misafara yake barabarani kusalimia wananchi na ghafla waandishi wa habari wanatokea from no where anaanza kuongea kwa kufoka na kufukuza kazi watumishi wa halmashauri huku akisitisha mikataba mbalimbali na makontractors tofautitofauti mbele ya kamera za waandishi wa habari.

Fumua fumua kwa maelezo ya kurekebisha makosa ya utawala uliopita ikatapakaa kila kona ya nchi, wakuu wa wawilaya na mikoa,wakurugenzi wa taasisi za uma na vitengo nyeti vya serikali na mihiri ya Taifa walikuwa wanabadirishwa kila siku huku shutuma nzito zikiwafuata nyuma kwenye magazeti kila kukicha.

Nakumbuka namna upepo wa Jakaya ulivyoondoka na Spika wa Bunge tukaletewa Mzee Sitta na tambo zake za Standard and Speed, Mikataba ya uendeshaji wa Shirika la ndege, DAWASCO n.k kupitiwa na kufumuliwa kila kukicha.

Kila kona ya nchi maelezo yakawa ni kwamba nchi inanyooshwa.

Mara ghafla, paaaaaaaaaaaaaaaa RICHMOND ikaibuka, upepo ukabadirika, Jakaya akapoteza ujasiri, ukichangia na kukosa watu wa kufukuza sababu wote walikuwa ni wateule wake akakimbilia nje ya nchi, Akitoka Kenya anaenda kuzunguka nchi za ulaya, akirudi asubuhi kesho jioni anaenda Marekani, Aibu. Matokeo nchi ikapoteza muelekezo.

Huyu nae ni hivyo hivyo, kafanya mbwembwe weeeeeeeeeeeeeeeeee hatimae paaaaaaaaaaaaaaaa CAG kamuumbua, serikali yake imejaa rushwa na uzembe, kama richmond ilivyozaliwa Ikulu yeye kuna ufisadi wa zaidi ya trilioni 2.4 mpaka sasa anahangaika kuuficha.
Mimi nilitamani wakati wao wanahangaika kumuondoa prof kwenye nafasi yake na sisi wananchi tungekuwa tunahangaika kuwaondoa madarakani,yaani ingekaa poa sana
 
Other risks to East Africa’s second-biggest economy include “delays or little progress in improving fiscal management” and rushed public investments that may not have a high rate of return, according to a copy of the IMF report that was seen by Bloomberg.
Do you really know who the IMF represents?Do you also know who Bloomberg represents?Find out,you will swallow your words.
 
Do you really know who the IMF represents?Do you also know who Bloomberg represents?Find out,you will swallow your words.
Acha consipiracies, Tanzania is a member of IMF and all our past administrations have been adhering to their reporting and transparency responsibilities except the current one.

So do not try to create unnecessary consipiracies
 
Anapitia njia zilezile alizopita JK.
JK alipoingia madarakani na swahiba wake manywele walianza na mbwembwe za kutaka kuwa front page kwenye magazeti kila siku asubuhi.

Wakalazimisha waandishi wa habari wawafananishe na mahayati Mwalimu Nyerere na Edward Sokoine, nikajua hawa watu ni wehu na watachemka, haiwezekani watu wazima wanakenua meno kufananishwa na wafu.

Wakajikita kwenye kunyooshea vidole mapungufu ya utawala wa Mkapa, huku wakifurahia Sumaye Kuitwa Zero na kulalamikia rushwa na umasikini, Kikwete akidai nilazima mikataba ya madini ipitiwe na nyumba za serikali zirudishwe, ni zama hizo ndio tukafumbuliwa macho namna kipenzi cha mkapa bwana magufuri alivyokuwa mla rushwa na mzinzi huku fukuza fukuza za maofisa wanaokaribia kustaafu zikishika hatamu, enzi hizo Lowasa alikuwa anasimamisha misafara yake barabarani kusalimia wananchi na ghafla waandishi wa habari wanatokea from no where anaanza kuongea kwa kufoka na kufukuza kazi watumishi wa halmashauri huku akisitisha mikataba mbalimbali na makontractors tofautitofauti mbele ya kamera za waandishi wa habari.

Fumua fumua kwa maelezo ya kurekebisha makosa ya utawala uliopita ikatapakaa kila kona ya nchi, wakuu wa wawilaya na mikoa,wakurugenzi wa taasisi za uma na vitengo nyeti vya serikali na mihiri ya Taifa walikuwa wanabadirishwa kila siku huku shutuma nzito zikiwafuata nyuma kwenye magazeti kila kukicha.

Nakumbuka namna upepo wa Jakaya ulivyoondoka na Spika wa Bunge tukaletewa Mzee Sitta na tambo zake za Standard and Speed, Mikataba ya uendeshaji wa Shirika la ndege, DAWASCO n.k kupitiwa na kufumuliwa kila kukicha.

Kila kona ya nchi maelezo yakawa ni kwamba nchi inanyooshwa.

Mara ghafla, paaaaaaaaaaaaaaaa RICHMOND ikaibuka, upepo ukabadirika, Jakaya akapoteza ujasiri, ukichangia na kukosa watu wa kufukuza sababu wote walikuwa ni wateule wake akakimbilia nje ya nchi, Akitoka Kenya anaenda kuzunguka nchi za ulaya, akirudi asubuhi kesho jioni anaenda Marekani, Aibu. Matokeo nchi ikapoteza muelekezo.

Huyu nae ni hivyo hivyo, kafanya mbwembwe weeeeeeeeeeeeeeeeee hatimae paaaaaaaaaaaaaaaa CAG kamuumbua, serikali yake imejaa rushwa na uzembe, kama richmond ilivyozaliwa Ikulu yeye kuna ufisadi wa zaidi ya trilioni 2.4 mpaka sasa anahangaika kuuficha.
So intriguing!
 
Wewe tulia. Sasa hiyo si ndiyo itakuwa ajenda yako ya 2020 ili ushinde uchaguzi uchukue nchi?
Acha kutumia neno UCHAGUZI, na vitu vya kipuuzi,wakiita nchi zinazofanya chaguzi TZ, utaiweka???? Yaani Israeli wao wauite uchaguzi na wetu eti uitwe uchaguzi?!! Nyumbu wanaingia kwenye chumba cha kupigia kura wananyakua ballot boxes, wanakimbia nazo tena kwa msaada wa walinzi wao¡! Wanaya najisi halafu yanarudishwa tena ndani na zoezi linaendelea!!!!
 
Kwa mfano,ujenzi wa Ikulu ya Chamwino ni wazi umetumia fedha nyingi sana.Ukifika pale Chamwino ukiona tu ule ukuta unaweza kuishiwa pozi na humo ndani ujenzi bado unaendelea.Yaani ukiangali tu kwa nje,unapata picha kuwa ujenzi huo unagharimu fedha nyingi sana.

Ukuta licha ya kuwa mrefu kwenda juu,mzunguko wake ni km za kutosha maana eneo lilichokuliwa ni kuwa mno na huko ndani inaonekane ujenzi bado unaendelea wa baadhi ya majengo/ofisi kwani kuna maeneo ukuta haujafunga maeneo ambayo ni wazi zitakuwa sehemu za mageti na ni katika maeneo haya yaliyo wazi, ndio unaweza kuona japo kidogo na kwa mbali ujenzi unaoendelea humo ndani.

Hii ni mbali na kujenga mji wa serikali hapo Dodoma katika eneo la Mtumba.Miradi imekuwa mingi ya gharama kubwa na inatekelezwa ndani ya muda mfupi badala ya kuifanya kwa awamu huku mapato ya nchi yakiwa hayaendani na haya matumizi makubwa na matokeo yake ni kukopa kwa kiasi kikubwa na kubabdili matumizi ya mafungu kwenye miradi mingine.
Ni sawa na kuwa na kipato cha 5000 kwa siku halafu unakuwa na bajeti ya 50m
 
tusihofu sana.aliyeanzisha miradi hii ataisimamia mpaka ikamilike.tukiona haijakamilika chakufanya ni kumwongezea muda wa kukaa madarakani.shida iko wapi?
Shida ipo Ila ninyi CCM hamna akili ya kuona hata tembo. Pushups Sikh hizi hazifanyiki na mjinga unasema shida iko wapo. A matter of time.
 
Typical blunders which culminated to the 1980's national economic Crisis under Mwalimu's presidency.
Which "typical blunders which culminated to the 1980's national economic crisis" can you share for us to make an informed comparison with the current regime?
 
Alipoizuia mifuko ya jamii isitishe uwekekezaji kwenye majengo na kuielekeza iwekeze kwenye viwanda nikadhani ana akili nzuri, kumbe alikuwa anazitolea macho fedha zao azielekeze kwenye aina ya ujenzi inayompendeza yeye.

Mifuko ya jamii ilikuwa inawekeza kwenye majengo ambayo yalikuwa yawe integrated kwenye private economy moja kwa moja na waanze kurudisha pesa zao, sasa yeye kodi yenyewe halipi alafu anajenga Ikulu kwa fedha nyingi akalale humo na familia yake.
Hapa natoa saluti.

Heshima mkuu.

Sasa hivi hivyo viwanda alivyokuwa anaimba hana habari kabisa navyo. Mji wa "Dege" Kigamboni, hata kama kulikuwa na makosa ilistahili yasahihishwe nyumba ziendelee kujengwa, sasa yametelekezwa na kuwa magofu!

Mandhari ya Dar Es Salaam yalianza kubadilika na kuwa na mwonekano wa mji wa kimataifa baada ya ile minara mitatu kuchomoza juu. Yeye aliona hilo sio jambo la maana kulifanya.

SGR na ndege ni mambo mazuri kuyafanya kama taifa, lakini yanataka kuwa na mipango itakayofanya mambo hayo yanafanyika bila kuathiri sehemu nyingine za uchumi. Hii SGR itakapofika Morogoro, sijui itachukua mda gani kufika Dodoma, na hatimae Mwanza na Rwanda! Sitashangaa akiifanya hii kuwa sababu yake kuendelea kukaa madarakani hata ikichukua miaka 30! Museveni na Kagame wamekwishaonyesha njia.

Udhaifu wake mkubwa ni kutofuata taratibu zilizowekwa katika kila jambo analorukia, na matokeo yake ni kuvuruga tu na kupoteza pesa kama ilivyotokea kwa korosho. Hili ni tatizo litakarogharimu sana uhai wa taifa letu. Na mbaya zaidi hataki kusikiliza maoni ya wengine. Yeye anajua kila kitu, kwa vile 'wanyonge' wake walishamweleza kila kitu wanachotaka (hata kama wanasingiziwa)! Yeye anatekeleza tu bila kujua athari zinazofuata katika utekelezaji huo.

Njia za Reli za zamani zinafufuriwa? Kweli tutaiona tena reli ikitoka Tanga hadi Arusha kwenye miaka hii ya karibuni? Pesa ya kazi hii imetoka wapi, na ni nani aliyeidhinisha? Of course ni yeye, kwani bunge katika macho yake ni kupoteza mda, kama ilivyokuwa kwa Stiegler''s gorge na ujenzi wa mji wa Mtumba!

Hatukatai haya mambo kuwa mazuri, lakini pamoja na uzuri huo, inatakiwa tuwe na taratibu za kuyatekeleza, lisiwe tu jambo la mtu mmoja anayetaka sifa zote kwa kila jambo ndie awe mwamuzi wa kila kitu.

Miradi yote hii, pamoja na bomba la mafuta ya Uganda, na kama gesi nayo ingekuwa inasogea sogea karibu, ikiwa na pamoja na miradi ya umeme wa gesi, - yote haya yalitosha kabisa kukuza uchumi wetu kwa kiasi kikubwa sana kama yangetekelezwa kwa utulivu. GDP yetu ingepanda sana ndani ya mda mfupi na kutuelekeza kwenye uchumi wa kati.
Na kama Bagamoyo nayo ingekuwa njiani------------ hii ingekuwa "Tanzania Mpya" kikwelikweli, na sio ya maneno matupu!

Wawekezaji walikuwa wameanza kumiminika hapa, kwa sababu Tanzania licha ya kuwa na fursa nyingi za uwekezaji, nchi yetu ipo mahali pazuri sana kijiografia. Badala ya kurekebisha matakataka aliyoyaacha Kikwete kwa uangalifu, yeye anataka aonekane hata wazungu wanamwogopa, kama anavyofanya ili waTanzania wamwogope, kama hawamsifu! Hiyo ndio iwe sifa yetu!
 
Kwa mfano,ujenzi wa Ikulu ya Chamwino ni wazi umetumia fedha nyingi sana.Ukifika pale Chamwino ukiona tu ule ukuta unaweza kuishiwa pozi na humo ndani ujenzi bado unaendelea.Yaani ukiangali tu kwa nje,unapata picha kuwa ujenzi huo unagharimu fedha nyingi sana.

Ukuta licha ya kuwa mrefu kwenda juu,mzunguko wake ni km za kutosha maana eneo lilichokuliwa ni kuwa mno na huko ndani inaonekane ujenzi bado unaendelea wa baadhi ya majengo/ofisi kwani kuna maeneo ukuta haujafunga maeneo ambayo ni wazi zitakuwa sehemu za mageti na ni katika maeneo haya yaliyo wazi, ndio unaweza kuona japo kidogo na kwa mbali ujenzi unaoendelea humo ndani.

Hii ni mbali na kujenga mji wa serikali hapo Dodoma katika eneo la Mtumba.Miradi imekuwa mingi ya gharama kubwa na inatekelezwa ndani ya muda mfupi badala ya kuifanya kwa awamu huku mapato ya nchi yakiwa hayaendani na haya matumizi makubwa na matokeo yake ni kukopa kwa kiasi kikubwa na kubabdili matumizi ya mafungu kwenye miradi mingine.
Nyapara ya barabara isiyoelewa chochote eti mnaipa Urais wa NCHI?

Mkapa na JK pamoja na kujidhalilisha pia mlilishalilisha Taifa zima la Tanzania
 
Back
Top Bottom