JfBro
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 587
- 160
Mbona unamsema mke wako kila siku?? unataka tumuone mkeo mbulula au?? mapenz gan.haya au mmeoana last wik au umemchoka em.muache aish anavyoweza ww unataka ajue Escrow il imsaidie nn ww unayejua escrow hizo hela walizoiba washakupa apo ata mia.. akijiweka busy na escrow utafua.kupika na kaz nyingne ww em mkaushie uyo mwanamke kila kitu akifanya sio lazima useme hapa inakua kama unatupa story ya maisha yako ya ndoa kitu ambacho hatuitaji ww unashangaa yeye kukarir number alafu asahau escrow kuna wengine wanakariri number wanasahau ata umri wao na waume zao.hawaleti kelele hapa embu jielewe bana mim sijaoa umri wangu ni 21 niko chuo bado but nakuona wewe kama form3 tu utafanya sisi tuwadharau nyie mliooa alafu hamuwez kutunza siri... done. ;-)