Jana Ulirudi Usiku
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 2,363
- 2,261
Hatupo salama hata kidogo! Juzi kati nilifuma post poja huko FB ya mwanamke akitoa lawama na kuomba ushauri kuhusu kuchelewa kurudi, kifupi ni kupishana kauli na mumewe.
Jamani wanaume! Masikini sisi!
Kuna mmoja akamuambia kuwa 'mtafute bibi yeyote au mama yako na umuambie akupe sumu inayoua taratibu' ili uepuke hizo kero, kikubwa tu uwe jasiri'.
Na hilo group ni la Wapalestina. Jamani nyie akina mama mkwe kumbe ndio waratibu wa haya mambo? Jamani tuwe makini.
Nasikia ile kitu ukipewa tu after one year you are done. Yaani unakufa taratibu mzee! #TuweWaangalifuMno hakuna kuwachekea chekea hawa mama mkwe, wengi wauaji sana!
Jamani wanaume! Masikini sisi!
Kuna mmoja akamuambia kuwa 'mtafute bibi yeyote au mama yako na umuambie akupe sumu inayoua taratibu' ili uepuke hizo kero, kikubwa tu uwe jasiri'.
Na hilo group ni la Wapalestina. Jamani nyie akina mama mkwe kumbe ndio waratibu wa haya mambo? Jamani tuwe makini.
Nasikia ile kitu ukipewa tu after one year you are done. Yaani unakufa taratibu mzee! #TuweWaangalifuMno hakuna kuwachekea chekea hawa mama mkwe, wengi wauaji sana!