Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,380
- 39,337
Imeripotiwa Bungeni kuwa hatuna wataalam wa abirtration serikalini ndio maana serikali inabidi kukodi wataalamu binafsi kutuwakilisha katika kesi nyingi za abirtration na kuwalipa watu mamilioni. Katika Bunge zima ati ni Mhe. Phillip Marmo pekee ndiyo ana cheti kinachomtambua kimataifa..!
Sasa kwanini tusiamue kuomba wataalamu toka Ulaya tu?
Sasa kwanini tusiamue kuomba wataalamu toka Ulaya tu?