mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,701
Hapa si barabara ya buguruni kwa mnyamani kuelekea vingunguti ni US.
huwezi kuona haya CNN wala kwenye Movie...
hahahaNyani Ngabu unafunguliwa huku. Kumbe Ikungulyabhashahshi Na Ibinzamata ni sawa tu Na USA.
hahahaa jamaa atakuwa huku lekangabilili anakula tope huku akijifarijia jf...Nyani Ngabu unafunguliwa huku. Kumbe Ikungulyabhashahshi Na Ibinzamata ni sawa tu Na USA.
sio umbea, tunamsimanga trump kidogo...Huu ni umbea.
MkuuKuna mtu aliwahi kuuliza, kwani ulaya(UK, US, ETC.) hakuna vijiji?
Badala ya kuzungumzia ya kwetu huku. Tunakimbilia ya Trump. Huku kwetu ndani ya 1km kutoka ukulu kuna barabara kma iyo.sio umbea, tunamsimanga trump kidogo...
New York City hapo bossKuna mtu aliwahi kuuliza, kwani ulaya(UK, US, ETC.) hakuna vijiji?
ya kwetu yanazungumziwa kila kukicha nadhani server za jf zinakaribia kujaa.Badala ya kuzungumzia ya kwetu huku. Tunakimbilia ya Trump. Huku kwetu ndani ya 1km kutoka ukulu kuna barabara kma iyo.
Nmecheka SanaNyani Ngabu unafunguliwa huku. Kumbe Ikungulyabhashahshi Na Ibinzamata ni sawa tu Na USA.
dunia sio kijiji tena mkuu ni familia.Sasa kwa iyo kama us kuna barabara mbovu unataka na bongo zisitengenezwe ili tufanane na z us mbovu kwani sisi za kwetu tukizitengeneza zikawa bora zaidi ya za us tutapungukiwa na nini ama kweli tz ni shitholes kabisa yaan serikali imewashinda mmeshindwa kutekeleza ahadi zenu mnaluja huku kutafta sympass
HahahahahNyani Ngabu unafunguliwa huku. Kumbe Ikungulyabhashahshi Na Ibinzamata ni sawa tu Na USA.
mkuu mitaa hiyo ya nyamalapa huko NY umepita au jamaa wa hii clip anatuzuga.