Kumbe elimu ya sekondari c lazima uanzie na kidato cha kwanza!!!!

white wizard

JF-Expert Member
May 18, 2011
8,314
13,279
Mi kwa upande wangu nilikuwa sijui kama ktk tanzania yetu mtu anaweza kuanzia elimu ya sekondari kidato cha pili mala tu baada ya kumaliza elimu ya msingi[std 7] kwa mfumo lasmi achana na ule kuongeza maarifa[QT],badala ya kuanzia kidato cha kwanza kama ilivyokawaida ya mfumo watu wa elimu.Hili nimekuja liona ktk manispaa ya bukoba kuna shule ya english medium school{kama wanavyojiita wao] inaitwa KARUME,mtoto akimaliza pale darasa la saba anaenda kuanza form 2,katika shule ya AMANI,hivyo hakuna cha kusoma form 1!sasa huu utaratibu bado upo?mi nilikuwa naujua ule wa miaka ile ya nyuma sana.!!!!!!!Labda wanafundisha sana mtoto anakuwa amewiva sana mambo ya form 1 anamalizana nayo std 7!
 
shule binafsi mtoto anamaliza syllabus akiwa std 5 au 6 mwanzoni, baada ya hapo anaanza kusoma masomo ya sec, atapewa mtihani na akifanya vizuri basi anaruka darasa. Hii ni sawa kabisa kwangu mimi hamna haja ya kumpotezea mtoto muda.
Baadhi ya nchi mwaka wa masomo una miezi 8 (hawafuati mfumo wa january-january)
 
Niliwahi sikia kuwa marehemu balali wa BOT, O-level alisoma kwa miaka miwili, A-level mwaka mmoja, hivyo hayo yanawezekana
 
Back
Top Bottom