Kumbe Dr. Slaa Angejiapisha tu

Gurudumu

JF-Expert Member
Feb 5, 2008
2,349
261
Hii serikali ya mseto ya aina yake ya Ivory Coast imechelewa sana kuja. Ulikuwa uwe mfano mzuri sana wa kuigwa na Tanzania, kwa kuwa sisi ni mahiri kwa hilo. Kama tulivyoweka serekali ya mseto kwenye katiba ya Zanzibar kabisa kuonesha tulivyo wabunifu na wepesi kujifunza kutoka kwa jirani zetu. Sasa tuna makamu wa rais wa kumhudumia rais zanzibar na makamu wa rais wa kukaimu madaraka ya rais anapokuwa hayupo.

Sasa kumbe inawezekana afrika nchi ikaongozwa na marais wawili na hata bila kubadili katiba? Baada ya kujifunza ubunifu huu kutoka kwa nchi ya afrika maskini kama sisi, je, Dr. Slaa anaweza kujiapisha sasa?
 
Dr. Slaa anataka apewe madaraka kwa amani na si kujipa kwa nguvu ambayo inaweza kuleta machafuko
 
Kama haujaona tofauti ya matokeo ya uchaguzi wa uraisi wa Tanzania na ule wa Ivory Coast basi una matatizo makubwa ya kufikiri.
 
Dr. Slaa anataka apewe madaraka kwa amani na si kujipa kwa nguvu ambayo inaweza kuleta machafuko

Nakubali mkuu, lakini unajua mara nyingi ni wapambe wanaotaka kuingia madarakani ndio wanaoletaga haya matatizo. Dr. Slaa angepata wapambe wa kutosha kama wa JK, pangechimbika hata kama mwenyewe asingependa. Hivyo nadhani watu wa chadema kwa ujumla wao ni wastaarabu.
 
WAPAMBE WA JK NI SHIMBO, USALAMA WA TAIFA, POLISI, NA NEC WAKATI WAPAMBE WA SLAA(PhD) NI WANANCHI, SEMA TU SLAA(PhD) hakutaka kumwaga damu kama walivyowandaa watanzania. Tunamshukuru Dr. Slaa kwa kuipenda Tanzania pamoja na kuchakachuliwa. Inauuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuma.
 
WAPAMBE WA JK NI SHIMBO, USALAMA WA TAIFA, POLISI, NA NEC WAKATI WAPAMBE WA SLAA(PhD) NI WANANCHI, SEMA TU SLAA(PhD) hakutaka kumwaga damu kama walivyowandaa watanzania. Tunamshukuru Dr. Slaa kwa kuipenda Tanzania pamoja na kuchakachuliwa. Inauuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuma.

Lakini pale mwembe yanga Slaa alidai majeshi na vyombo vyote vya usalama vinaripoti kwake?
 
WAPAMBE WA JK NI SHIMBO, USALAMA WA TAIFA, POLISI, NA NEC WAKATI WAPAMBE WA SLAA(PhD) NI WANANCHI, SEMA TU SLAA(PhD) hakutaka kumwaga damu kama walivyowandaa watanzania. Tunamshukuru Dr. Slaa kwa kuipenda Tanzania pamoja na kuchakachuliwa. Inauuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuma.

Sio WAPAMBE hao nasikia wote ni wanandugu wameoa huko au wameolewa huko kwhiyo ni WANAFAMILIA!
 
Kunja ngumi, kunja ngumi, kunja ngumi, kunja ngumi, kunja ngumi.

Peeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeepoz
 
Kunja ngumi, kunja ngumi, kunja ngumi, kunja ngumi, kunja ngumi.

Peeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeepoz

I liked your post, we miss people like you here! 'just laugh'
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom