Taifa_Kwanza
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 443
- 86
Kweli kuna watu na Viatu @Technology
Hii ndiyo Tanzania....'nchi ya amani na utulivu'
Mafisadi wanajizungushia maneno na kukoleza akili za watanzania kama watakavyo...
Na tunaye Rais, Waziri mkuu, waziri wa mambo ya ndani, Nishati na madini, na watendaji wengine.....ndiyo serikali....!
nadhani afadhali tujisemee tu wazi kuwa HAKUNA UONGOZI TZ....ndiyo maana haya yote yanafanyika...ina 'tuna amani na utulivu' tusiulize lolote, tunayataka wenyewe! na haya ni machache tu maana nchi hii ina wizara takriban 30 an ushee, na kila wizara 'ulaji uliopo, ni kila waziri analijua lake...JK kwatu!!
Hii sasa ni kizunguzungu.... Sasa hiyo Dowans HOldings SA ilisajiliwa wapi? Ilisajiliwa Costa Rica au United Arab Emirates (incorporated under the laws of UAE). Na kama hiyo SA kama tunavyoelezwa siyo kifupi cha South Africa bali Sociedad Associaone... au kitu km hicho sasa itasajiliwa vipi UAE?
Ukweli ni kwamba ishu nzima ya Dowans ni utapeli mtupu na si vingine! Na hii wengi wetu tulihisi na tulipata dalili nyingi but now its RAINING!! :A S 13:
bado kidogo tu atakuja pinda na machozi analia akisema dowans ni ishu ya usalama wa taifa.
bado kidogo tu atakuja pinda na machozi analia akisema dowans ni ishu ya usalama wa taifa.
Technology kwani nani kazuia kusiwepo umeme Tanzania? Serikali nzima ni CCM - Rais wao, sera zao, sheria zao viongozi wao, watendaji wao kila kitu chao. Wanashindwa nini kutatuta tatizo? Kama tatizo ni umeme tu kinawashinda kitu gani kulitatua unless ni viongozi waoga, wasiojiamini na wasio na uthubutu wa kuchukua hatua zinazopaswa.
Mwnkjj naomba utuwekee document yote na sio kipande kama itawezekana!
Kuna tatizo lipi Dowans ikiwepo UAE, Costa Rica, Tanzania na kwingine kokote?
:A S 13::A S 13::A S 13: MMkijiji unataka kuleta uchochezi katika serikali yetu kwanini kila siku unakuja na madocument yasiyo na mbele wala nyuma???:A S 13::A S 13: