chipanga
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 710
- 434
kwakweli tumekuchoka na ideas zako unazotumwa na mabwana zako za uchochezi.... tunachohitaji ni umeme....
Kamwambie EL kwamba kwakuwa sasa amerudi ulingoni kupitia mlango wa kamati tena ya mambo ya nje basi awafuate tena wale washikaji zake wa Thailand waje na mvua zao za kubumba wazinyeshe pale mtera then utapata umeme.......