Kumbe Da Sophy alikosea tarehe

Mama Big

JF-Expert Member
Nov 3, 2010
488
7
Jamani nimepatata tetesi kutoka vyanzo vya habari kuwa etiiii Da Sophy alikosea kuhesabu tarehe wiki mbili zijazo ndio anaweza kujifungua. Madaktari wamempima na kuona kuwa hana tatizo tumuombeeni ajifungue salama...
 
Jamani nimepatata tetesi kutoka vyanzo vya habari kuwa etiiii Da Sophy alikosea kuhesabu tarehe wiki mbili zijazo ndio anaweza kujifungua. Madaktari wamempima na kuona kuwa hana tatizo tumuombeeni ajifungue salama...
:doh::doh:
 
Jamani nimepatata tetesi kutoka vyanzo vya habari kuwa etiiii Da Sophy alikosea kuhesabu tarehe wiki mbili zijazo ndio anaweza kujifungua. Madaktari wamempima na kuona kuwa hana tatizo tumuombeeni ajifungue salama...

Hivi kipindi kile kwenye ile ishu yetu haukukosea tarehe?
 
duh...mpe pole sana...inaonekana ana hamu ya kiumbe chake....kitakuja tu asijali
 
Jamani nimepatata tetesi kutoka vyanzo vya habari kuwa etiiii Da Sophy alikosea kuhesabu tarehe wiki mbili zijazo ndio anaweza kujifungua. Madaktari wamempima na kuona kuwa hana tatizo tumuombeeni ajifungue salama...

Asante Mama Big kumbe mnanipenda jamani. Nilifanyiwa operesheni salama na kujaliwa mtoto wa kiume anafanana na babake utafikiri aligongesha mhuri! Tafauti kidogo tu mwanagu ana kidimpo kwenye kidevu ambacho babake hana lakini anasema ni cha babu yake alikuwaga nacho.

Asanteni sana jamani na mie mwenzio nina raha nalea kama nyie.
 
Asante Mama Big kumbe mnanipenda jamani. Nilifanyiwa operesheni salama na kujaliwa mtoto wa kiume anafanana na babake utafikiri aligongesha mhuri! Tafauti kidogo tu mwanagu ana kidimpo kwenye kidevu ambacho babake hana lakini anasema ni cha babu yake alikuwaga nacho.

Asanteni sana jamani na mie mwenzio nina raha nalea kama nyie.

Hongera zako DS.

 
Jamani nimepatata tetesi kutoka vyanzo vya habari kuwa etiiii Da Sophy alikosea kuhesabu tarehe wiki mbili zijazo ndio anaweza kujifungua. Madaktari wamempima na kuona kuwa hana tatizo tumuombeeni ajifungue salama...

Heeee kumbe mama mtarajiwa!!!!!!!!

Hongera Da Sophy tupo pamoja
 
Asante Mama Big kumbe mnanipenda jamani. Nilifanyiwa operesheni salama na kujaliwa mtoto wa kiume anafanana na babake utafikiri aligongesha mhuri! Tafauti kidogo tu mwanagu ana kidimpo kwenye kidevu ambacho babake hana lakini anasema ni cha babu yake alikuwaga nacho.

Asanteni sana jamani na mie mwenzio nina raha nalea kama nyie.

Hongera sana Da Sophy naweza kuagiza zawadi kwa mtoto?
 
duh...mpe pole sana...inaonekana ana hamu ya kiumbe chake....kitakuja tu asijali

we preta hiyo nanihii
avatar20103_17.gif
yako kila nikisubiri nione imevuliwa wapi, mpaka lini sasa?
 
Asante Mama Big kumbe mnanipenda jamani. Nilifanyiwa operesheni salama na kujaliwa mtoto wa kiume anafanana na babake utafikiri aligongesha mhuri! Tafauti kidogo tu mwanagu ana kidimpo kwenye kidevu ambacho babake hana lakini anasema ni cha babu yake alikuwaga nacho.

Asanteni sana jamani na mie mwenzio nina raha nalea kama nyie.

Hongera Da Sophy. Vp tunaweza kuku-PM zawadi za mtoto?
 
Back
Top Bottom