- Thread starter
- #21
AmiinaCdm ni chama teule kutoka kwa Mungu ili kiwakomboe watanzania.
AmiinaCdm ni chama teule kutoka kwa Mungu ili kiwakomboe watanzania.
Ulikuwa hujui hilo?Inamaana na yohana mbatizaji ni mzee buku saba
Yule hakosi popote palipo na mnuso na nafasi ya kuuza suraHivi na Yeye alikuwepo?
Hiyo inzi, inafaa isomeke inzi wa kijani!Ni kama vile chadema ndio alikuwa mlengwa wa kikao cha leo kinachodiwa kuwa mkutano wa wadau wa siasa na msajili wa vyama vya siasa.
Kimantiki ni kuwa kama mtu hana umuhimu ktk mkutano au jambo fulani ni kumpotezea tu maana uwepo wake au ukosefu wale haubadilishi lengo la jambo au mkutano huo.
Kinachoonekana kwa leo Chadema ndio imeshika hoja mitandaoni kwa kutohudhuria kwake. Je chadema ndio ilikuwa imepangwa kufanikisha agenda za leo??
Je kwani kikao si mmemaliza? mmekwama wapi??
Hizo agenda zisingefanikiwa bila Chadema??
Mbona kelele nyingi?
Ni mimi rafiki wa viroboto, kunguni, kokoro, funza na nzi nikiwa dumila nalima mahindi.
Sahihi.Mbowe aachiwe bila masharti yoyote. Hakuna sehemu alipovunja sheria
😅😅😅Sura yake bado inauzika kweli?Yule hakosi popote palipo na mnuso na nafasi ya kuuza sura
Umesahau kuwa mnafiki hana aibu?Sura yake bado inauzika kweli?
Lipumba bwana sijui alisahau nini kwenye siasa. Hana mvuto hata kidogoUmesahau kuwa mnafiki hana aibu?
Hivi Mbatia alihudhuria mbona hasemwi popote?Msamaha wa Freeman Mbowe ndio umefunika ule mkutano!
Siasa ni watu sasa wewe unaendekeza tamaa hadi unawakwaza wafuasi wako unategemea nini tena hapo?Lipumba bwana sijui alisahau nini kwenye siasa. Hana mvuto hata kidogo
Mbatia hakuwepo na pia Mbatia kwa sasa ni sawa na joka la kibisa tu maana Nccr ishazikwa kitambo.Hivi Mbatia alihudhuria mbona hasemwi popote?
Kilichomgombanisha yeye na Maalim Seif ni Rushwa aaliyokula alasaliti Ukawa Alidhani zile pesa hazitaisha.Siasa ni watu sasa wewe unaendekeza tamaa hadi unawakwaza wafuasi wako unategemea nini tena hapo?
Mbatia ni Lipumba aliyechangamkaMbatia hakuwepo na pia Mbatia kwa sasa ni sawa na joka la kibisa tu maana Nccr ishazikwa kitambo.
KwiiiishaaaaKilichomgombanisha yeye na Maalim Seif ni Rushwa aaliyokula alasaliti Ukawa Alidhani zile pesa hazitaisha.
Atulie tu ale salio. Au malipo yalikuwa kiduchuKwiiiishaaaa
Akijiamlia mtaanza kusema kaiweka nchi mfukoni kama yake kama jpmTuna rais asiyeweza kujiamulia yeye mwenyewe kwa maslahibya taifa.
KWANI UMEONA WAPI INAZUNGUMZIWA MBONA HAKUNANi kama vile chadema ndio alikuwa mlengwa wa kikao cha leo kinachodiwa kuwa mkutano wa wadau wa siasa na msajili wa vyama vya siasa.
Kimantiki ni kuwa kama mtu hana umuhimu ktk mkutano au jambo fulani ni kumpotezea tu maana uwepo wake au ukosefu wale haubadilishi lengo la jambo au mkutano huo.
Kinachoonekana kwa leo Chadema ndio imeshika hoja mitandaoni kwa kutohudhuria kwake. Je chadema ndio ilikuwa imepangwa kufanikisha agenda za leo??
Je kwani kikao si mmemaliza? mmekwama wapi??
Hizo agenda zisingefanikiwa bila Chadema??
Mbona kelele nyingi?
Ni mimi rafiki wa viroboto, kunguni, kokoro, funza na nzi nikiwa dumila nalima mahindi.
tayari ushaizungumza na wewe.KWANI UMEONA WAPI INAZUNGUMZIWA MBONA HAKUNA
Ajiamulie kwa maslahi mapana ya taifa sio kama nchi yake. Laana isije ikamkuta kama jiweAkijiamlia mtaanza kusema kaiweka nchi mfukoni kama yake kama jpm