Ni kama vile chadema ndio alikuwa mlengwa wa kikao cha leo kinachodaiwa kuwa mkutano wa wadau wa siasa na msajili wa vyama vya siasa.
Kimantiki ni kuwa kama mtu hana umuhimu ktk mkutano au jambo fulani ni kumpotezea tu maana uwepo wake au ukosefu wake haubadilishi lengo la jambo au mkutano huo.
Kinachoonekana kwa leo Chadema ndio imeshika hoja mitandaoni kwa kutohudhuria kwake. Je chadema ndio ilikuwa imepangwa kufanikisha agenda za leo??
Je kwani kikao si mmemaliza? mmekwama wapi??
Hizo agenda zisingefanikiwa bila Chadema??
Mbona kelele nyingi?
Ni mimi rafiki wa viroboto, kunguni, kokoro, funza na nzi nikiwa dumila nalima mahindi.
Kimantiki ni kuwa kama mtu hana umuhimu ktk mkutano au jambo fulani ni kumpotezea tu maana uwepo wake au ukosefu wake haubadilishi lengo la jambo au mkutano huo.
Kinachoonekana kwa leo Chadema ndio imeshika hoja mitandaoni kwa kutohudhuria kwake. Je chadema ndio ilikuwa imepangwa kufanikisha agenda za leo??
Je kwani kikao si mmemaliza? mmekwama wapi??
Hizo agenda zisingefanikiwa bila Chadema??
Mbona kelele nyingi?
Ni mimi rafiki wa viroboto, kunguni, kokoro, funza na nzi nikiwa dumila nalima mahindi.