Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Akiongea muda huu katika kipindi cha "Dakika 45" kinachorushwa na ITV,mhe.Mbatia amesema Tume ya Jaji Nyalali ilipendekeza mali zote zilizokuwa zinamilikiwa na CCM chini ya mfumo wa chama kimoja zirudishwe zote serikalini ili vyama vyote vianze vikiwa sawa chini ya mfumo wa vyama vingi ushauri ambao ulipuuzwa na serikali ya CCM.
Binafsi, hili nilikuwa silijui.
Ahsante mh.Mbatia kwa taarifa hii.
Binafsi, hili nilikuwa silijui.
Ahsante mh.Mbatia kwa taarifa hii.