Kumbe CCM ilishinda Vijiji Karatu?

bigilankana

Senior Member
Dec 15, 2009
144
4
CCM yaweweseka kwa Slaa




Na Waandishi wetu



6th January 2010


email.png

B-pepe



printer.png

Chapa



comment_bubble.png

Maoni








Slaa(3).jpg

Dk. Wilbroad Slaa, Katibu Mkuu wa CHADEMA



Macho ya Watanzania yakiekelezwa kwenye uchaguzi mkuu wa rais na wabunge utakaofanyika Oktoba mwaka huu, Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Arusha bado kinaliota jimbo la Karatu ambalo limeshikiliwa na mwanasiasa machachari wa upinzani, Dk. Wilbroad Slaa, tangu mwaka 1995.
Dk. Slaa, Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amekuwa vinywani mwa makada wa CCM mkoani hapa na jana Katibu wa CCM wa mkoa huo, Mary Chatanda, aliweka hadharani jinsi wanavyolitamani jimbo la Karatu.
Bila kuonyesha kama majimbo mengine ya mkoa wa Arusha yanawakosesha usingizi kwa kuwa yanashikiliwa na CCM, Chatanda alisema watalinyakua jimbo la Karatu katika uchaguzi mkuu ujao kwa madai kwamba Chadema haijaleta maendeleo.
Katibu huyo alitamba kwamba ni wakati sasa wa Dk. Slaa kujiandaa na kufungasha virago kwani jimbo hilo litachukuliwa na CCM kwa kuwa wananchi wa Karatu wana hamu ya kuongozwa na CCM.
Chatanda alidai wananchi wa Karatu wanaipenda CCM ndiyo maana mkoani Arusha wamepata viti vingi katika uchaguzi wa serikali za mitaa na vitongoji uliofanyika mwaka jana mwishoni.
“Katika uchaguzi wa serikali za mitaa uliopita, CCM ilionyesha wazi kuwa inakubalika kisiasa kwa kuwa ilipata viongozi wa vijiji na vitongoji wengi kuliko Chadema na hata katika kitongoji anachoishi Dk Slaa," alisema Katibu huyo.
Aidha, Chatanda alisema kuwa hali ya kisiasa kwa CCM katika Mkoa wa Arusha na wilaya zake ni nzuri na dalili zilionyesha katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa kuwapata viongozi wa vijiji, mitaa na vitongoji.
Wakati Chatanda akielezea kuweweseka na jimbo la Karatu, ametoboa siri kuwa njaa kali ya wapambe ndani ya chama hicho imezua balaa kiasi cha kuwagonganisha viongozi wanaotaka kuwania nafasi za kuchaguliwa.
Wakati katibu huyo akionyesha matamanio yake kwa jimbo la Karatu, Dk. Slaa amesema hatima ya jimbo hilo itaamuliwa na wananchi wake.
Dk. Slaa alitoa kauli hiyo jana alipozungumza na Nipashe kuhusiana na mikakati ya CCM kutaka kumung'oa.
Katika mahojiano hayo, Nipashe ilitaka kujua Dk. Slaa, ambaye pia ni Naibu Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni kama yuko tayari kung’oka na kuacha jimbo hilo liwakilishwe na mbunge kutoka CCM.
“Waulizeni wananchi wa Karatu, kwa sababu wao ndio walioniweka,” alisema Dk. Slaa kwa ufupi.
Awali, katika mahojiano hayo, Dk. Slaa aliwashangaa wanaCCM na watu wengine, wanaodhani kwamba CCM italikomboa jimbo la Karatu, katika uchaguzi ujao kwa kutumia kigezo cha matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji, uliofanyika wilayani humo mwaka jana.
“Hizo ni ndoto za mchana. Chadema hatuhangaiki na ndoto za mchana. Kinachozungumzwa ni takwimu na si propaganda,” alisema Dk. Slaa.
Alisema watu wenye mawazo kwamba, Chadema itang’olewa Karatu katika uchaguzi mkuu wa Oktoba wanatakiwa wafanye tathmini ya kina ya matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji jimboni humo, badala ya kutumia propaganda.
Dk. Slaa alisema katika uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji wa mwaka jana, Chadema ilishinda katika vijiji 19 dhidi ya 16 ilivyopata katika uchaguzi wa mwaka 2004 jimboni humo.
“Sasa hicho ndicho kigezo cha wao (CCM) kushinda mwaka huu?,” alihoji.
Katika uchaguzi wa serikali ya vijiji wa mwaka 2004, CCM ilishinda vijiji 29 kati ya 45 vilivyokuwapo.
Alisema mbali ya kuongeza idadi ya viti katika vijiji hivyo, katika uchaguzi wa mwaka jana, Chadema walikuwa wanyakue viti zaidi dhidi ya CCM katika eneo la Karatu mjini, lakini wakalazimika kuvipoteza kutokana na mabadiliko ya muundo wa jimbo.
Dk. Slaa alisema mabadiliko ya muundo huo, yalisababisha mitaa yote sita, ambayo Chadema ilishinda katika eneo la Karatu mjini katika uchaguzi wa mwaka jana kuondoshwa.
“Kama katika uchaguzi wa serikali ya vijiji mwaka jana, CCM walishinda viti 24 na Chadema 19, vile viti sita kama visingeondolewa katika hayo mabadiliko ya muundo, nani angekuwa ameshinda?,” alihoji Dk. Slaa.
“Kwa jumla Karatu ni jamhuri ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, sababu Chadema inatekeleza Ilani yake, tumeunda halmashauri na tuna Meya,” aliongeza.
Chama tawala kimekuwa kikiibuka na mikakati ya kukomboa majimbo yanayoshikiliwa na upinzani kila uchaguzi unapokaribia.
Katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2005, CCM kilipania kuyakomboa majimbo ya Kigoma Mjini lililokuwa linashikiliwa na Chadema, Karatu, Bukoba Mjini lililokuwa linashikiliwa na CUF na Moshi Mjini, linaloshikiliwa na Chadema.
Hata hivyo, Dk. Slaa na Mbunge wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo, walitetea majimbo yao wakati waliokuwa wabunge wa Kigoma Mjini na Bukoba Mjini, Dk. Aman Walid Kabourou na Wilfred Lwakatare walishindwa kutetea majimbo yao.
Hivi sasa majimbo yanayoshikiliwa na upinzani kwa upande wa Tanzania bara ni Karatu, Moshi Mjini, Kigoma Kaskazini, Tarime na Mpanda Kati.
Imeandikwa na Charles Ole Ngereza, Arusha na Muhib Said, Dar.

  1. Takwimu za huu uchaguzi zitoke sasa maana mimi nilijua CHADEMA ilishinda kwa mbali Karatu kufuatia habari zilizoletwa humu. Kumbe CCM ndio iliongoza Karatu?
  2. Karatu sio Jamhuri ndani ya Jamhuri. Nadhani hapa Daktari katereza. Najua hana nia mbaya ila kauli kama hii haipaswi kutoka kwa kiongozi aliyekaa Bungeni zaidi ya muongo mmoja na nusu.
  3. Kama mwaka 2004 CCM walipata viti 29 kati ya 45 na kupoteza Ubunge, Mwaka 2009 wamepata 24 kati ya 45 na watapoteza tena Ubunge wa Karatu.
  4. CHADEMA wasiogope kusema matokeo yale kwani hayana mahusiano na Uchaguzi Mkuu.
 
CCM yaweweseka kwa Slaa




Na Waandishi wetu



6th January 2010


email.png

B-pepe



printer.png

Chapa



comment_bubble.png

Maoni








Slaa(3).jpg

Dk. Wilbroad Slaa, Katibu Mkuu wa CHADEMA



Macho ya Watanzania yakiekelezwa kwenye uchaguzi mkuu wa rais na wabunge utakaofanyika Oktoba mwaka huu, Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Arusha bado kinaliota jimbo la Karatu ambalo limeshikiliwa na mwanasiasa machachari wa upinzani, Dk. Wilbroad Slaa, tangu mwaka 1995.
Dk. Slaa, Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), amekuwa vinywani mwa makada wa CCM mkoani hapa na jana Katibu wa CCM wa mkoa huo, Mary Chatanda, aliweka hadharani jinsi wanavyolitamani jimbo la Karatu.
Bila kuonyesha kama majimbo mengine ya mkoa wa Arusha yanawakosesha usingizi kwa kuwa yanashikiliwa na CCM, Chatanda alisema watalinyakua jimbo la Karatu katika uchaguzi mkuu ujao kwa madai kwamba Chadema haijaleta maendeleo.
Katibu huyo alitamba kwamba ni wakati sasa wa Dk. Slaa kujiandaa na kufungasha virago kwani jimbo hilo litachukuliwa na CCM kwa kuwa wananchi wa Karatu wana hamu ya kuongozwa na CCM.
Chatanda alidai wananchi wa Karatu wanaipenda CCM ndiyo maana mkoani Arusha wamepata viti vingi katika uchaguzi wa serikali za mitaa na vitongoji uliofanyika mwaka jana mwishoni.
“Katika uchaguzi wa serikali za mitaa uliopita, CCM ilionyesha wazi kuwa inakubalika kisiasa kwa kuwa ilipata viongozi wa vijiji na vitongoji wengi kuliko Chadema na hata katika kitongoji anachoishi Dk Slaa," alisema Katibu huyo.
Aidha, Chatanda alisema kuwa hali ya kisiasa kwa CCM katika Mkoa wa Arusha na wilaya zake ni nzuri na dalili zilionyesha katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa kuwapata viongozi wa vijiji, mitaa na vitongoji.
Wakati Chatanda akielezea kuweweseka na jimbo la Karatu, ametoboa siri kuwa njaa kali ya wapambe ndani ya chama hicho imezua balaa kiasi cha kuwagonganisha viongozi wanaotaka kuwania nafasi za kuchaguliwa.
Wakati katibu huyo akionyesha matamanio yake kwa jimbo la Karatu, Dk. Slaa amesema hatima ya jimbo hilo itaamuliwa na wananchi wake.
Dk. Slaa alitoa kauli hiyo jana alipozungumza na Nipashe kuhusiana na mikakati ya CCM kutaka kumung'oa.
Katika mahojiano hayo, Nipashe ilitaka kujua Dk. Slaa, ambaye pia ni Naibu Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni kama yuko tayari kung’oka na kuacha jimbo hilo liwakilishwe na mbunge kutoka CCM.
“Waulizeni wananchi wa Karatu, kwa sababu wao ndio walioniweka,” alisema Dk. Slaa kwa ufupi.
Awali, katika mahojiano hayo, Dk. Slaa aliwashangaa wanaCCM na watu wengine, wanaodhani kwamba CCM italikomboa jimbo la Karatu, katika uchaguzi ujao kwa kutumia kigezo cha matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji, uliofanyika wilayani humo mwaka jana.
“Hizo ni ndoto za mchana. Chadema hatuhangaiki na ndoto za mchana. Kinachozungumzwa ni takwimu na si propaganda,” alisema Dk. Slaa.
Alisema watu wenye mawazo kwamba, Chadema itang’olewa Karatu katika uchaguzi mkuu wa Oktoba wanatakiwa wafanye tathmini ya kina ya matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji jimboni humo, badala ya kutumia propaganda.
Dk. Slaa alisema katika uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji wa mwaka jana, Chadema ilishinda katika vijiji 19 dhidi ya 16 ilivyopata katika uchaguzi wa mwaka 2004 jimboni humo.
“Sasa hicho ndicho kigezo cha wao (CCM) kushinda mwaka huu?,” alihoji.
Katika uchaguzi wa serikali ya vijiji wa mwaka 2004, CCM ilishinda vijiji 29 kati ya 45 vilivyokuwapo.
Alisema mbali ya kuongeza idadi ya viti katika vijiji hivyo, katika uchaguzi wa mwaka jana, Chadema walikuwa wanyakue viti zaidi dhidi ya CCM katika eneo la Karatu mjini, lakini wakalazimika kuvipoteza kutokana na mabadiliko ya muundo wa jimbo.
Dk. Slaa alisema mabadiliko ya muundo huo, yalisababisha mitaa yote sita, ambayo Chadema ilishinda katika eneo la Karatu mjini katika uchaguzi wa mwaka jana kuondoshwa.
“Kama katika uchaguzi wa serikali ya vijiji mwaka jana, CCM walishinda viti 24 na Chadema 19, vile viti sita kama visingeondolewa katika hayo mabadiliko ya muundo, nani angekuwa ameshinda?,” alihoji Dk. Slaa.
“Kwa jumla Karatu ni jamhuri ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, sababu Chadema inatekeleza Ilani yake, tumeunda halmashauri na tuna Meya,” aliongeza.
Chama tawala kimekuwa kikiibuka na mikakati ya kukomboa majimbo yanayoshikiliwa na upinzani kila uchaguzi unapokaribia.
Katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2005, CCM kilipania kuyakomboa majimbo ya Kigoma Mjini lililokuwa linashikiliwa na Chadema, Karatu, Bukoba Mjini lililokuwa linashikiliwa na CUF na Moshi Mjini, linaloshikiliwa na Chadema.
Hata hivyo, Dk. Slaa na Mbunge wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo, walitetea majimbo yao wakati waliokuwa wabunge wa Kigoma Mjini na Bukoba Mjini, Dk. Aman Walid Kabourou na Wilfred Lwakatare walishindwa kutetea majimbo yao.
Hivi sasa majimbo yanayoshikiliwa na upinzani kwa upande wa Tanzania bara ni Karatu, Moshi Mjini, Kigoma Kaskazini, Tarime na Mpanda Kati.
Imeandikwa na Charles Ole Ngereza, Arusha na Muhib Said, Dar.

  1. Takwimu za huu uchaguzi zitoke sasa maana mimi nilijua CHADEMA ilishinda kwa mbali Karatu kufuatia habari zilizoletwa humu. Kumbe CCM ndio iliongoza Karatu?
  2. Karatu sio Jamhuri ndani ya Jamhuri. Nadhani hapa Daktari katereza. Najua hana nia mbaya ila kauli kama hii haipaswi kutoka kwa kiongozi aliyekaa Bungeni zaidi ya muongo mmoja na nusu.
  3. Kama mwaka 2004 CCM walipata viti 29 kati ya 45 na kupoteza Ubunge, Mwaka 2009 wamepata 24 kati ya 45 na watapoteza tena Ubunge wa Karatu.
  4. CHADEMA wasiogope kusema matokeo yale kwani hayana mahusiano na Uchaguzi Mkuu.
bigilankana,
Thanks kwa maswali yako. Kwa kuwa mimi nilihojiwa na waandishi na nikawapa takwimu, lakini naona aidha hawakuelewa au hawakuziweka vizuri kwa sababu yeyote ile. Ninaomba niweke Takwim sahihi.
i) Kwanza nilimwambia Mwandishi aliyenipigia sikumbuki jina lake, kuwa Takwimu kwa peke yake hazina maana kama hazitafanyiwa kazi kimlinganisho ( comparatively). Takwimu zinazotokana na Uchaguzi wa 2009 (Serikali za Mitaa ni kama ifuatavyo:
a) Mwaka 2004 Karatu ilikuwa na vijiji 45. Katika Uchaguzi huo ccm ilishinda vijiji 29 kati ya 45 na Chadema 16. Hivyo CCM ilikuwa mshindi, na Chadema ambayo kabla ya 2004 ilikuwa na kijiji 1 tu (Gongali) ikainyanganya ccm vijiji 15.
b) Katika uchaguzi wa Vitongoji mwaka 2004, Chadema ilishinda vitongoji 76 na ccm ilishinda 153 Ikumbukwe kuwa huu ndio uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi, na Chadema ndio inaingia kwenye mchakato kwa mara ya kwanza.Kwa Takwimu hii ni dhahiri kuwa Chadema imeinyang'anya ccm vitongoji vyote ilivyokuwa navyo kabla ya uchaguzi huo.( Mbunge alikuwa wa Chadema toka 1995, akiwa peke yake bila madiwani, wenyeviti wa vijiji wala wa vitongoji ukiacha mwenyekiti mmoja wa kijiji cha Gongali. Ni dhihiri kwa Takwimu hizi mshindi( comparatively) ni Chadema ambaye ameweza kuinyang'anya vitongoji 76 ambavyo navyo vyote vilikuwa vya ccm kabla ya 2004.
c) Katika Uchaguzi Mkuu wa 2005, Chadema kwa mara ya tatu ikashinda nafasi ya Ubunge,(Dr Slaa), lakini kwa mara ya pili ikashinda Madiwani 7 kati ya 13. Pamoja na Viti maalum Chadema ina Madiwani 11 (na Mbunge ambaye pia ni diwani) na CCM ina 8. Kwa Takwimu hizi ni dhahiri Chadema ina majority, na kutokana na majority hiyo Mwenyekiti wa Halmashauri na Wenyeviti wote wa Kamati za Kudumu za Halmashauri wametoka Chadema na ccm ni minority party. Kama mnaelewa vizuri operation ya siasa za vyama vingi. CCM kwa maana hiyo ni chama cha Upinzani Karatu. Kwa vyovyote vile, Ni kichekesho kusema kuwa CCM ndiyo chama chenye nguvu au kinapendwa zaidi Karatu kwa mantiki hii.

d)Katika Uchaguzi wa mwaka 2009, Idadi ya vijiji siyo tena 45 kutokana na Mji wa Karatu (ni pamoja na vijiji vitano -5) vinavyozunguka mji wa Karatu. Katika vijiji 43 ( pamoja na vijiji vipya) vilivyobaki, ccm walishinda viti 24 na chadema 19 . Kwa kuzingatia kuwa mwaka 2004 Chadema walikuwa na vijiji 16 tu tulivyoshinda na sasa tumeshinda 19 ni hesabu ya kawaida tu kuwa Chadema ndiyo iliyoongeza Idadi ya vijiji vyake kwa kuinyang'anya ccm.
e) Katika Vijiji 6 vinavyounda mji mdogo wa Karatu, ambavyo sasa kwa mujibu wa Sheria vinatambuliwa kama vitongoji, kati ya vitongoji 28 Chadema imeshinda 21 na CCM imeshinda 8 tu, na hivyo kuifanya Chadema kwa mara nyingine tena kumweka Meya wa Mji Mdogo wa Karatu bwana Elisifa, na Wenyeviti wa Kamati zote za Kudumu za Mji mdogo kwa mujibu wa Sheria. Hivyo ni dhahiri, Mji mdogo wa Karatu ni jicho la Wilaya, kama Chadema imechukua mji mdogo wa Karatu,( ni hii ni pamoja na Mary Chatanda kupiga Kambi Karatu kwa zaidi ya Wiki 3 akinunua wapiga kura), ni kwa mantiki hii, Chadema haiwezi kutikiswa Karatu, labda watumie nguvu za kijeshi, na kipolisi. Ikumbukwe kuwa hata vijiji walivyoshinda ni pamoja na nguvu zilizotumika, ikiwa ni pamoja na JK Mwenyewe, kutoa amri ( hii ni hadithi ndefu kama kuna mwenye interest ninaweza kuieleza separately). Lakini kimsingi kuonyesha kuwa mabavu yametumika ni pamoja na kumwondoa Returning Officer ambaye alikuwa anashikilia msimamo wa Sheria, siku tatu kabla ya siku ya uchaguzi kwa kuwa tu alikuwa hakubaliani na maelekezo ya CCM bali alikuwa amesimamia sheria na Kanuni za Uchaguzi). Celina Kombani ametoka hadharani kuwa ameondolewa kwa sababu za kiafya, lakini kwa wanaojua sheria za utumishi, angetoa basi vielelezo vya daktari, au hata RO mwenyewe kuomba kupunguziwa kazi. In effect amekuwa demoted bila kufuata kanuni za ajira.
2) Kueleza kuwa Karatu ni kama Jamhuri ndani ya Jamhuri, ni metaphoric. Nadhani kama Chama kimeshinda eneo la mamlaka na kimeshinda kwa ilani yake na sera zake, kimeweka uongozi wake kamili, pamoja na kuwa kinatekeleza sera za jumla za Taifa, chama hicho ndicho chama tawala katika eneo hilo la mamlaka. Huu ndio utaratibu katika nchi zote za kidemokrasia, Marekani, Uingereza, Ujerumani, ambako chama kimoja kinaweza kutawala kitaifa, na vyama vingine vikatawala katika maeneo mengine madogo kwa jina lolote itakavyoitwa. Nadhani hoja ya msingi sasa imeeleweka.
 
Dr. Slaa

Karibu, siku nyingi umepotea. Pole na misukosuko na karibu Kahama kwenye Operation Sangara tujenge taifa tukomboe wasukuma.

Hivi mnakuja lini huku?
 
Dr. Slaa

Karibu, siku nyingi umepotea. Pole na misukosuko na karibu Kahama kwenye Operation Sangara tujenge taifa tukomboe wasukuma.

Hivi mnakuja lini huku?

Mzee wangu Dr. Slaa
Shalom ,maelezo yako yamenitoa mwituni nilikuwa nimejificha huko. Hii issue ni bora ukaisemea hapa hapa . Mie naomba kama una ka muda basi tafadhali tueleze mabavu yalivyo tumika hii ikiwa ni pamoja na JK kusimamia mwenyewe kuharibu haki ya Watanzania na maamuzi yao . Nakuomba sasa tumwagie hapa hapa mzee .
 
.......Chadema imeshinda 21 na CCM imeshinda 8 tu, na hivyo kuifanya Chadema kwa mara nyingine tena kumweka Meya wa Mji Mdogo wa Karatu bwana Elisifa, na Wenyeviti wa Kamati zote za Kudumu za Mji mdogo kwa mujibu wa Sheria. Hivyo ni dhahiri, Mji mdogo wa Karatu ni jicho la Wilaya, kama Chadema imechukua mji mdogo wa Karatu,( ni hii ni pamoja na Mary Chatanda kupiga Kambi Karatu kwa zaidi ya Wiki 3 akinunua wapiga kura), ni kwa mantiki hii, Chadema haiwezi kutikiswa Karatu, labda watumie nguvu za kijeshi, na kipolisi. Ikumbukwe kuwa hata vijiji walivyoshinda ni pamoja na nguvu zilizotumika, ikiwa ni pamoja na JK Mwenyewe, kutoa amri ( hii ni hadithi ndefu kama kuna mwenye interest ninaweza kuieleza separately). Lakini kimsingi kuonyesha kuwa mabavu yametumika ni pamoja na kumwondoa Returning Officer ambaye alikuwa anashikilia msimamo wa Sheria, siku tatu kabla ya siku ya uchaguzi kwa kuwa tu alikuwa hakubaliani na maelekezo ya CCM bali alikuwa amesimamia sheria na Kanuni za Uchaguzi). Celina Kombani ametoka hadharani kuwa ameondolewa kwa sababu za kiafya, lakini kwa wanaojua sheria za utumishi, angetoa basi vielelezo vya daktari, au hata RO mwenyewe kuomba kupunguziwa kazi. In effect amekuwa demoted bila kufuata kanuni za ajira.........


Huyo Katibu wa CCM Arusha sasa sijui ni Mkoa au wilaya ila najua amepelekwa Arusha, Nilipenda kuwauliza hata hao wana CCM wakeleketwaa ya kwamba Hawajui kuwa wanapoteza pesa,muda yaani wanaweka gharama chungu mzima huku wakijua fika hilo jimbo hawaliwezi kwanini wasikae chini na kujadili na kujaribu kutafuta ufumbuzi wa pale ni nini kibaya hawakifanyi kwa wananchi wa jimbo lile na sio kukaa na kuweka kambi ati mara week 3 sijui imepanda imeshuka hizo ni siasa za aina ipi kama hakuna mtu wa kukaa na kutafakari kuwa mko kwa right ways or not?

Hivi niwaulize hiyo vita ya karatu ni ya kumtoa Dr.Slaaa au??alisha wa prove wrong wagombea wa CCM pale Karatu sasa sijui pale kuna maslahi ya mtu mkubwa sasa anataka kujitakasia pale au?? lets no waste time for such province jamani lets be creative na mambo mengine na tusonge mbele. Kadri CCM mkiendelea kutaka kuwaonyesha kuwa wananchi mwaweza kulirudisha hilo jimbo na mkashindwa ndio mwajishusha hadhi kwakweli mumesoma nyie jamani hamjui hata alama zaz nyakati? watu hao hao ndio wanaowachagua wapinzani na ndio wameisha jua mapungufu ya CCM sasa rudini nyuma na mjipange upya na kuanzisha majeshi taaaratibu mtashinda ila kwa kiburi chenu na chuki zenu ndani yenu katika chama chenu ndicho kitakacho waangusha kila mara kwani twajua fika ndani ya CCM kuna watu kabisa yawezakuwa wanai support Chadem in other way na hii ni kutokana na baadhi yenu kuwa wanafki ndani ya CCM na hili ndilo tataizo kubwa kwa CCM hampendi weka wagombea wanao kubalika na jammi au wananchi mnawaweka wale mnao wataka kwa manufaa yenu na maslahi yenu na kuwatawala kwa kile mtakacho wakifanye. Saaa siku majuma miezi mwaka miaka zikienda zikibadilika na alama za nyakati pia nazo zabadilika kutokana na dunia kila izungukapo sasa mkae mkao wa kula
 
Dr. slaa,

Mkipata muda basi pitieni na huku Sikonge. Huku Sikonge watu wamelala kiasi kwamba hata ukiweka Mbuzi agombee kwa tiketi ya CCM basi atashinda. Kuna haja ya kuanza kuleta mwamko kwa Wananchi wa Mkoa wa Tabora/Wilaya ya Sikonge.

Tumieni Picha, Videos, film ya hali ya Tanzania. Nina imani watawasikiliza.

Twawasubiri Sikonge.
 
bigilankana,
Thanks kwa maswali yako. Kwa kuwa mimi nilihojiwa na waandishi na nikawapa takwimu, lakini naona aidha hawakuelewa au hawakuziweka vizuri kwa sababu yeyote ile. Ninaomba niweke Takwim sahihi.
i) Kwanza nilimwambia Mwandishi aliyenipigia sikumbuki jina lake, kuwa Takwimu kwa peke yake hazina maana kama hazitafanyiwa kazi kimlinganisho ( comparatively). Takwimu zinazotokana na Uchaguzi wa 2009 (Serikali za Mitaa ni kama ifuatavyo:
a) Mwaka 2004 Karatu ilikuwa na vijiji 45. Katika Uchaguzi huo ccm ilishinda vijiji 29 kati ya 45 na Chadema 16. Hivyo CCM ilikuwa mshindi, na Chadema ambayo kabla ya 2004 ilikuwa na kijiji 1 tu (Gongali) ikainyanganya ccm vijiji 15.
b) Katika uchaguzi wa Vitongoji mwaka 2004, Chadema ilishinda vitongoji 76 na ccm ilishinda 153 Ikumbukwe kuwa huu ndio uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi, na Chadema ndio inaingia kwenye mchakato kwa mara ya kwanza.Kwa Takwimu hii ni dhahiri kuwa Chadema imeinyang'anya ccm vitongoji vyote ilivyokuwa navyo kabla ya uchaguzi huo.( Mbunge alikuwa wa Chadema toka 1995, akiwa peke yake bila madiwani, wenyeviti wa vijiji wala wa vitongoji ukiacha mwenyekiti mmoja wa kijiji cha Gongali. Ni dhihiri kwa Takwimu hizi mshindi( comparatively) ni Chadema ambaye ameweza kuinyang'anya vitongoji 76 ambavyo navyo vyote vilikuwa vya ccm kabla ya 2004.
c) Katika Uchaguzi Mkuu wa 2005, Chadema kwa mara ya tatu ikashinda nafasi ya Ubunge,(Dr Slaa), lakini kwa mara ya pili ikashinda Madiwani 7 kati ya 13. Pamoja na Viti maalum Chadema ina Madiwani 11 (na Mbunge ambaye pia ni diwani) na CCM ina 8. Kwa Takwimu hizi ni dhahiri Chadema ina majority, na kutokana na majority hiyo Mwenyekiti wa Halmashauri na Wenyeviti wote wa Kamati za Kudumu za Halmashauri wametoka Chadema na ccm ni minority party. Kama mnaelewa vizuri operation ya siasa za vyama vingi. CCM kwa maana hiyo ni chama cha Upinzani Karatu. Kwa vyovyote vile, Ni kichekesho kusema kuwa CCM ndiyo chama chenye nguvu au kinapendwa zaidi Karatu kwa mantiki hii.

d)Katika Uchaguzi wa mwaka 2009, Idadi ya vijiji siyo tena 45 kutokana na Mji wa Karatu (ni pamoja na vijiji vitano -5) vinavyozunguka mji wa Karatu. Katika vijiji 43 ( pamoja na vijiji vipya) vilivyobaki, ccm walishinda viti 24 na chadema 19 . Kwa kuzingatia kuwa mwaka 2004 Chadema walikuwa na vijiji 16 tu tulivyoshinda na sasa tumeshinda 19 ni hesabu ya kawaida tu kuwa Chadema ndiyo iliyoongeza Idadi ya vijiji vyake kwa kuinyang'anya ccm.
e) Katika Vijiji 6 vinavyounda mji mdogo wa Karatu, ambavyo sasa kwa mujibu wa Sheria vinatambuliwa kama vitongoji, kati ya vitongoji 28 Chadema imeshinda 21 na CCM imeshinda 8 tu, na hivyo kuifanya Chadema kwa mara nyingine tena kumweka Meya wa Mji Mdogo wa Karatu bwana Elisifa, na Wenyeviti wa Kamati zote za Kudumu za Mji mdogo kwa mujibu wa Sheria. Hivyo ni dhahiri, Mji mdogo wa Karatu ni jicho la Wilaya, kama Chadema imechukua mji mdogo wa Karatu,( ni hii ni pamoja na Mary Chatanda kupiga Kambi Karatu kwa zaidi ya Wiki 3 akinunua wapiga kura), ni kwa mantiki hii, Chadema haiwezi kutikiswa Karatu, labda watumie nguvu za kijeshi, na kipolisi. Ikumbukwe kuwa hata vijiji walivyoshinda ni pamoja na nguvu zilizotumika, ikiwa ni pamoja na JK Mwenyewe, kutoa amri ( hii ni hadithi ndefu kama kuna mwenye interest ninaweza kuieleza separately). Lakini kimsingi kuonyesha kuwa mabavu yametumika ni pamoja na kumwondoa Returning Officer ambaye alikuwa anashikilia msimamo wa Sheria, siku tatu kabla ya siku ya uchaguzi kwa kuwa tu alikuwa hakubaliani na maelekezo ya CCM bali alikuwa amesimamia sheria na Kanuni za Uchaguzi). Celina Kombani ametoka hadharani kuwa ameondolewa kwa sababu za kiafya, lakini kwa wanaojua sheria za utumishi, angetoa basi vielelezo vya daktari, au hata RO mwenyewe kuomba kupunguziwa kazi. In effect amekuwa demoted bila kufuata kanuni za ajira.
2) Kueleza kuwa Karatu ni kama Jamhuri ndani ya Jamhuri, ni metaphoric. Nadhani kama Chama kimeshinda eneo la mamlaka na kimeshinda kwa ilani yake na sera zake, kimeweka uongozi wake kamili, pamoja na kuwa kinatekeleza sera za jumla za Taifa, chama hicho ndicho chama tawala katika eneo hilo la mamlaka. Huu ndio utaratibu katika nchi zote za kidemokrasia, Marekani, Uingereza, Ujerumani, ambako chama kimoja kinaweza kutawala kitaifa, na vyama vingine vikatawala katika maeneo mengine madogo kwa jina lolote itakavyoitwa. Nadhani hoja ya msingi sasa imeeleweka.
Well noted.
Thank you.
Umefanya vema kutokeza na kujibu kwa haraka kiongozi wetu.
 
Dr asante sana kwa maelezo mazuri. Yanajitosheleza na niukweli usioacha shaka kwamba wapigakura wa vitongoji ni wengi kuliko wa vijiji ( Zingatia kwamba vitongoji vipo mjini ambapo idadi ya watu ni wengi na uelewa juu ya kupiga kura upo juu pia) na kwakua Chadema imeshinda karibu asilimia 75% ya vitongoji vya Karatu na imeongeza idadi ya vijiji ni dhahiri shahiri kwamba CCM wasahau kuhusu Karatu.

Swali kwako Dr. Na ningeomba ujitahidi kwa uharaka ule ule uliotumia kuijibu hoja hii utupatie majibu humu.

1.Je, baada ya kujihakikishia umiliki wa jimbo la karatu ni jitihada gani kama chama, serikali ya mamlaka halali ya Karatu, na kama wewe binafsi m/ umefanya kuhakikisha mnaongeza japo jimbo moja ktk mko wa Arusha na kwingineko ili tuone chama kikikua na kuendesha mkoa na si Wilaya tu?
2.Je, Chadema kama chama kinachokusudia kushika dola, kimejizatiti vipi kuhakikisha kinaongeza idadi ya halmashauri zitakazo kua chini yake kama Karatu na Tarime? au ndo tuamini mmesha bweteka na hizo halmashauri mbili na nusu (Kigoma ujiji naitambua kama nusu maana mliongoza kwa kupukezana na CCM) kama unavyoonesha kuridhika na kuongezeka kwa vijiji vitatu tu ilhali mmeongoza halmashauri kwa miaka minne?
3.Kwakua CCM wanamkakati wa kuyakomboa majimbo yaliyo chini ya upinzani ( Specificaly Karatu kwako wewe na Moshi kwa Ndesa pesa), Je, Nyie kama chama mnamkakati gani specificaly kuwanyang'anya CCM majimbo zaidi? Mpaka sasa mna majimbo mangapi angalao mnasababu ya kuamini kwamba mkielekeza nguvu zaidi mnaweza kushinda? (Wasiwasi wangu ni kama mtataka kuwalenga ndege wote mnaweza kujikuta mnatumia nguvu nyingi kuvuta manati lakini mrudi bila mawindo yoyote baada ya kuwakosa wote)


Asante na tafadhali tupatie majibu

Yetu Macho
 
Mzee wangu Dr. Slaa
Shalom ,maelezo yako yamenitoa mwituni nilikuwa nimejificha huko. Hii issue ni bora ukaisemea hapa hapa . Mie naomba kama una ka muda basi tafadhali tueleze mabavu yalivyo tumika hii ikiwa ni pamoja na JK kusimamia mwenyewe kuharibu haki ya Watanzania na maamuzi yao . Nakuomba sasa tumwagie hapa hapa mzee .
Lunyungu na wana JF,
Namshukuru sana Lunyungu kwa kuomba niyaeleze hapa hapa. Ninatumia nafasi hii pia ili ieleweke kuwa iwapo wameyafanya hayo Karatu basi ni kazi kubwa zaidi ambapo Chadema au vyama vya upinzani havijaweka msingi wa kutosha. Mambo yenyewe mengine yamefanyika kitaifa na mengine specifically kwa Karatu. Ninayaweka kwenye Makundi mawili kama ifuatavyo:
i) Kitaifa na kuathiri pia Karatu:
a) Katibu wa CCM Mkoa, Mary Chatanda, aliweka Kambi Karatu na kipindi chote alikuwa akimshinikiza Returning Officer, wakati huo Bwana Mshamu, kutenda alivyotoka itokee. Mfano hai wa mashinikizo hayo ni kumlazimisha Fomu zichukuliwe tarehe 5 Oktober, 2009 katika kijiji cha Bashay, Kitongoji cha Njia Panda, ambapo yeye mwenyewe alikuwa ameenda kwa Assistant Returning Officer, na huyo alipomkatalia alimlazimisha RO himself Fomu hizo kupokelewa. Ni kweli Tarehe 5 Oktober, ilitangazwa kitaifa na Waziri Mkuu kuwa siku ya Mwisho ya kuchukua na kurudisha Fomu kwa vile siku ya kuchukua na kurudisha fomu ilikuwa na utata katika ratiba ya jumla iliyotolewa na TAMISEMI. Hata hivyo, jambo la ajabu ni kuwa Wagombea wa Chadema walipotaka kuchukua fomu siku hiyo hiyo ya Tarehe 5 Oktober, CCM walimshinikiza RO kukataa, na hata walipokata rufaa, rufaa yao haikujibiwa hadi leo. Matokeo ya hali hiyo, ni kuwa Katika kijiji cha Buger, ambayo kwa asili ilikuwa ngome ya CCM wagombea wote wa Chadema walinyimwa haki yao kuchukua na kurudisha Fomu. Chadema ilikosa wagombea katika kijiji kizima. (Ikumbukwe kuwa Siku ya tarehe 5 kimsingi iliongezwa na Waziri Mkuu kama matokeo ya Barua ya Chadema kwa Waziri Mkuu kutokana na utata huo uliojitokeza katika Ratiba. Lakini Chadema iliyoomba siku ziongezwe ndiyo ikanyimwa haki na ccm ikalazimishiwa wapewe. (Double standard treatment as a result of undue pressure and influence of ccm leaders). Kitendo hicho cha CCM kilipotezea haki pia maeneo mengi kitaifa baada ya wagombea wengi wa upinzani kunyimwa haki hiyo ya kuchukua fomu.
b) Wagombea wengi wa Chadema, Karatu na maeneo mengine ya Taifa letu walienguliwa kwa kitu ambacho ukiukwaji mkubwa wa Kanuni za uchaguzi. Kanuni ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Toleo la 2009, inatamka kuwa "mgombea atadhaminiwa na Afisa wa Chama". Tamisemi wakatengeneza "Mwongozo" bila kushirikisha Wadau, na kuongeza kuwa "...atadhaminiwa na afisa wa ngazi ya chini kabisa ya chama". Jambo hili limeathiri sana Chadema kwa kuwa "ngazi ya chini kabisa" kwa Katiba ya Chadema, Toleo la 2006 ni "Msingi", ngazi ambayo siyo ya kiutendaji na wala siyo ngazi yenye mamlaka ya kudhamini au kuteua. Kwa mwongozo huo, wagombea wengi wa Chadema, Karatu na wilaya nyingi, pale ambapo Assistant Returning Officers wamepewa maelekezo ya "kuzuia" walizuia wagombea wetu. Kwa Taarifa ambazo zimetufikia, Wilaya 10 wagombea wetu walizuiwa kabisa, na mahali kama Karatu, walizuiwa katika maeneo ambayo walijua ni ngome za Chadema. Tumelalamika kwa maandishi kwa TAMISEMI na hata kwa Ofisi ya Waziri Mkuu, lakini hadi leo hatujajibiwa. Kimsingi, kilichofanyika ni kutulazimisha kufanya kitu ambacho ni kinyume na Katiba yetu, lakini kwa kuwa TAMISEMI ndio Mchezaji na ndio Referee tukakosa pa kukatia rufaa. Hatua hii, yenye sura ya kisheria, ni hatua mbaya kuliko zote ambazo zimetumika kuwaondoa wagombea wa Upinzani. Tumegundua mbinu kama hiyo inataka kutumika kwa kutumia Mswada wa Sheria wa Party Funding Act, ambao unategemewa kuwasilishwa Bungeni. Ningependa wana JF wautazame kwa umakini bila ushabiki, na kuufanyia analysis kuona faida na madhara ya Sheria hiyo. Inawezekana Sheria hiyo ikipita ndio mwisho wa Upinzani kabisa Tanzania. Siku za hivi Karibuni tutatoa Tamko rasmi kuhusu jambo hili.
2: Mambo yaliyofanyika Karatu:
a) Yusuf Makamba na Mary Chatanda, walitumia nafasi yao kulazimisha mambo waliyotaka yafinyike. Walipoona RO hakubaliani naye wakamhamisha siku 3 kabla ya Uchaguzi, jambo ambalo liliathiri sana maamuzi mengi, kwani aliyekaimu kwa kuona ajira yake ilikuwa mashakani aka compromise mambo mengi, km katika kijiji cha Bassodawish, Assistant Returning Officer, alitangaza viti maalum wa CCM na kumwacha mgombea wa Chadema aliyekuwa amepata kura 300 yaani kumshinda mwenzake kwa zaidi ya kura 200. Ag.RO alishindwa kuchukua hatua hata baada ya kupelekewa malalamiko na rufaa kwa taratibu za kirufaa.
b) Maelekezo ya kumhamisha Returning Officer,(DED) bwana Mshamu yalitolewa na JK mwenyewe, ambaye alikuwa mapumziko Ngorongoro kwa kumpigia Waziri Mkuu Pinda, na kumtaka amhamishe RO. Japo Celine Kombani, Waziri TAMISEMI ameeleza kuwa ni kwa sababu za Kiafya siyo kweli. Kombani mwenyewe alikuwa amepigiwa simu na Yusuf Makamba kufanya hivyo hivyo. Isitoshe, Bwana Solanus Nyimbi aliyekuwa RO wakati wa Uchaguzi Mkuu, 2005 na Bwana Mayalla ambao wote walikuwa TAMISEMI makao makuu wakaagizwa wakati huo huo na pia wawe demoted na kuondolewa kwenye nafasi zao kwa kilichoitwa "kuuza jimbo la Karatu 2005", jambo ambalo JK amepotoshwa na Mary Chatanda na Yusuf Makamba. Ukweli kuhusu CCM ilivyovurunda kwenye uchaguzi huo, na hatimaye kushindwa pia mahakamani inaonekana dhahiri katika hukumu ya Kesi ya Uchaguzi, katika hukumu iliyotolewa na Jaji Makaramba. JK badala ya kusoma hukumu ambayo iko open kwa mtu yeyote, kwa vile hukumu ni public documents, akatoa maagizo ya kuwa demote viongozi hao ambao kimsingi ni watu waliosimama kwenye sheria na kukataa kupindisha sheria kama walivyokuwa wakilazimishwa na ccm na viongozi wa Serikali.
c) Ni dhahiri kama wameweza kufanya hayo kwa Karatu ambayo Chadema ni chama tawala, ni dhahiri hali ni mbaya zaidi katika maeneo mengineyo kama ilivyokuwa inaripotiwa na viongozi wetu. Hali hii inaendelea, kama mlivyosoma hivi karibuni katika hukumu iliyotokea Mbozi, ambapo Mwenyekiti wetu wa Jimbo kwa kilichoitwa "kumtazama hakimu kwa jicho la piriton". Bwana huyo sasa hivi yuko jela anamalizia hukumu yake ya miezi miwili ( pamoja na kwamba amekata rufaa).
d) kutokana na matumizi ya sheria, sasa ndio tumeelewa ni kwanini ccm imeagiza magari 200 kwa matumizi ya uchaguzi. Anayetaka kupata tafsiri sahihi, asome Muswada unaoenda Bungeni mwezi Februari, kujua athari ya sheria hizo na uhusiano wake na kitendo cha ccm kuagiza magari 200. Hapa sizungumzii suala la fedha wamepata wapi, na ushuru waliokwepa suala ambalo nimeliweka bayana, na ushahidi niko tayari kuutoa mahakamani ikihitajika.
Nadhani kwa hayo machache nimetoa picha ya kutosha. Kimsingi ni kama cinema, lakini ndio ukweli huo.
 
Mzee wangu Dr. Slaa
Shalom ,maelezo yako yamenitoa mwituni nilikuwa nimejificha huko. Hii issue ni bora ukaisemea hapa hapa . Mie naomba kama una ka muda basi tafadhali tueleze mabavu yalivyo tumika hii ikiwa ni pamoja na JK kusimamia mwenyewe kuharibu haki ya Watanzania na maamuzi yao . Nakuomba sasa tumwagie hapa hapa mzee .
Lunyungu na wana JF,
Namshukuru sana Lunyungu kwa kuomba niyaeleze hapa hapa. Ninatumia nafasi hii pia ili ieleweke kuwa iwapo wameyafanya hayo Karatu basi ni kazi kubwa zaidi ambapo Chadema au vyama vya upinzani havijaweka msingi wa kutosha. Mambo yenyewe mengine yamefanyika kitaifa na mengine specifically kwa Karatu. Ninayaweka kwenye Makundi mawili kama ifuatavyo:
i) Kitaifa na kuathiri pia Karatu:
a) Katibu wa CCM Mkoa, Mary Chatanda, aliweka Kambi Karatu na kipindi chote alikuwa akimshinikiza Returning Officer, wakati huo Bwana Mshamu, kutenda alivyotoka itokee. Mfano hai wa mashinikizo hayo ni kumlazimisha Fomu zichukuliwe tarehe 5 Oktober, 2009 katika kijiji cha Bashay, Kitongoji cha Njia Panda, ambapo yeye mwenyewe alikuwa ameenda kwa Assistant Returning Officer, na huyo alipomkatalia alimlazimisha RO himself Fomu hizo kupokelewa. Ni kweli Tarehe 5 Oktober, ilitangazwa kitaifa na Waziri Mkuu kuwa siku ya Mwisho ya kuchukua na kurudisha Fomu kwa vile siku ya kuchukua na kurudisha fomu ilikuwa na utata katika ratiba ya jumla iliyotolewa na TAMISEMI. Hata hivyo, jambo la ajabu ni kuwa Wagombea wa Chadema walipotaka kuchukua fomu siku hiyo hiyo ya Tarehe 5 Oktober, CCM walimshinikiza RO kukataa, na hata walipokata rufaa, rufaa yao haikujibiwa hadi leo. Matokeo ya hali hiyo, ni kuwa Katika kijiji cha Buger, ambayo kwa asili ilikuwa ngome ya CCM wagombea wote wa Chadema walinyimwa haki yao kuchukua na kurudisha Fomu. Chadema ilikosa wagombea katika kijiji kizima. (Ikumbukwe kuwa Siku ya tarehe 5 kimsingi iliongezwa na Waziri Mkuu kama matokeo ya Barua ya Chadema kwa Waziri Mkuu kutokana na utata huo uliojitokeza katika Ratiba. Lakini Chadema iliyoomba siku ziongezwe ndiyo ikanyimwa haki na ccm ikalazimishiwa wapewe. (Double standard treatment as a result of undue pressure and influence of ccm leaders). Kitendo hicho cha CCM kilipotezea haki pia maeneo mengi kitaifa baada ya wagombea wengi wa upinzani kunyimwa haki hiyo ya kuchukua fomu.
b) Wagombea wengi wa Chadema, Karatu na maeneo mengine ya Taifa letu walienguliwa kwa kitu ambacho ukiukwaji mkubwa wa Kanuni za uchaguzi. Kanuni ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Toleo la 2009, inatamka kuwa "mgombea atadhaminiwa na Afisa wa Chama". Tamisemi wakatengeneza "Mwongozo" bila kushirikisha Wadau, na kuongeza kuwa "...atadhaminiwa na afisa wa ngazi ya chini kabisa ya chama". Jambo hili limeathiri sana Chadema kwa kuwa "ngazi ya chini kabisa" kwa Katiba ya Chadema, Toleo la 2006 ni "Msingi", ngazi ambayo siyo ya kiutendaji na wala siyo ngazi yenye mamlaka ya kudhamini au kuteua. Kwa mwongozo huo, wagombea wengi wa Chadema, Karatu na wilaya nyingi, pale ambapo Assistant Returning Officers wamepewa maelekezo ya "kuzuia" walizuia wagombea wetu. Kwa Taarifa ambazo zimetufikia, Wilaya 10 wagombea wetu walizuiwa kabisa, na mahali kama Karatu, walizuiwa katika maeneo ambayo walijua ni ngome za Chadema. Tumelalamika kwa maandishi kwa TAMISEMI na hata kwa Ofisi ya Waziri Mkuu, lakini hadi leo hatujajibiwa. Kimsingi, kilichofanyika ni kutulazimisha kufanya kitu ambacho ni kinyume na Katiba yetu, lakini kwa kuwa TAMISEMI ndio Mchezaji na ndio Referee tukakosa pa kukatia rufaa. Hatua hii, yenye sura ya kisheria, ni hatua mbaya kuliko zote ambazo zimetumika kuwaondoa wagombea wa Upinzani. Tumegundua mbinu kama hiyo inataka kutumika kwa kutumia Mswada wa Sheria wa Party Funding Act, ambao unategemewa kuwasilishwa Bungeni. Ningependa wana JF wautazame kwa umakini bila ushabiki, na kuufanyia analysis kuona faida na madhara ya Sheria hiyo. Inawezekana Sheria hiyo ikipita ndio mwisho wa Upinzani kabisa Tanzania. Siku za hivi Karibuni tutatoa Tamko rasmi kuhusu jambo hili.
2: Mambo yaliyofanyika Karatu:
a) Yusuf Makamba na Mary Chatanda, walitumia nafasi yao kulazimisha mambo waliyotaka yafinyike. Walipoona RO hakubaliani naye wakamhamisha siku 3 kabla ya Uchaguzi, jambo ambalo liliathiri sana maamuzi mengi, kwani aliyekaimu kwa kuona ajira yake ilikuwa mashakani aka compromise mambo mengi, km katika kijiji cha Bassodawish, Assistant Returning Officer, alitangaza viti maalum wa CCM na kumwacha mgombea wa Chadema aliyekuwa amepata kura 300 yaani kumshinda mwenzake kwa zaidi ya kura 200. Ag.RO alishindwa kuchukua hatua hata baada ya kupelekewa malalamiko na rufaa kwa taratibu za kirufaa.
b) Maelekezo ya kumhamisha Returning Officer,(DED) bwana Mshamu yalitolewa na JK mwenyewe, ambaye alikuwa mapumziko Ngorongoro kwa kumpigia Waziri Mkuu Pinda, na kumtaka amhamishe RO. Japo Celine Kombani, Waziri TAMISEMI ameeleza kuwa ni kwa sababu za Kiafya siyo kweli. Kombani mwenyewe alikuwa amepigiwa simu na Yusuf Makamba kufanya hivyo hivyo. Isitoshe, Bwana Solanus Nyimbi aliyekuwa RO wakati wa Uchaguzi Mkuu, 2005 na Bwana Mayalla ambao wote walikuwa TAMISEMI makao makuu wakaagizwa wakati huo huo na pia wawe demoted na kuondolewa kwenye nafasi zao kwa kilichoitwa "kuuza jimbo la Karatu 2005", jambo ambalo JK amepotoshwa na Mary Chatanda na Yusuf Makamba. Ukweli kuhusu CCM ilivyovurunda kwenye uchaguzi huo, na hatimaye kushindwa pia mahakamani inaonekana dhahiri katika hukumu ya Kesi ya Uchaguzi, katika hukumu iliyotolewa na Jaji Makaramba. JK badala ya kusoma hukumu ambayo iko open kwa mtu yeyote, kwa vile hukumu ni public documents, akatoa maagizo ya kuwa demote viongozi hao ambao kimsingi ni watu waliosimama kwenye sheria na kukataa kupindisha sheria kama walivyokuwa wakilazimishwa na ccm na viongozi wa Serikali.
c) Ni dhahiri kama wameweza kufanya hayo kwa Karatu ambayo Chadema ni chama tawala, ni dhahiri hali ni mbaya zaidi katika maeneo mengineyo kama ilivyokuwa inaripotiwa na viongozi wetu. Hali hii inaendelea, kama mlivyosoma hivi karibuni katika hukumu iliyotokea Mbozi, ambapo Mwenyekiti wetu wa Jimbo kwa kilichoitwa "kumtazama hakimu kwa jicho la piriton". Bwana huyo sasa hivi yuko jela anamalizia hukumu yake ya miezi miwili ( pamoja na kwamba amekata rufaa).
d) kutokana na matumizi ya sheria, sasa ndio tumeelewa ni kwanini ccm imeagiza magari 200 kwa matumizi ya uchaguzi. Anayetaka kupata tafsiri sahihi, asome Muswada unaoenda Bungeni mwezi Februari, kujua athari ya sheria hizo na uhusiano wake na kitendo cha ccm kuagiza magari 200. Hapa sizungumzii suala la fedha wamepata wapi, na ushuru waliokwepa suala ambalo nimeliweka bayana, na ushahidi niko tayari kuutoa mahakamani ikihitajika.
Nadhani kwa hayo machache nimetoa picha ya kutosha. Kimsingi ni kama cinema, lakini ndio ukweli huo.
 
Dr. slaa,

Mkipata muda basi pitieni na huku Sikonge. Huku Sikonge watu wamelala kiasi kwamba hata ukiweka Mbuzi agombee kwa tiketi ya CCM basi atashinda. Kuna haja ya kuanza kuleta mwamko kwa Wananchi wa Mkoa wa Tabora/Wilaya ya Sikonge.

Tumieni Picha, Videos, film ya hali ya Tanzania. Nina imani watawasikiliza.

Twawasubiri Sikonge.
Sikonge,
Asante sana kwa mwaliko. Napenda nikuhakikishie kuwa Operation Sangara itafika Tabora. Siwezi kukuambia the exact date, kuna factors nyingi tunatazama ikiwa ni pamoja na hali ya mvua. Lakini muwe na uhakika Kata zote za Tabora zitatembelewa kwa anga na kwa ardhi. Thanks a lot.
 
Lunyungu na wana JF,
Namshukuru sana Lunyungu kwa kuomba niyaeleze hapa hapa. Ninatumia nafasi hii pia ili ieleweke kuwa iwapo wameyafanya hayo Karatu basi ni kazi kubwa zaidi ambapo Chadema au vyama vya upinzani havijaweka msingi wa kutosha. Mambo yenyewe mengine yamefanyika kitaifa na mengine specifically kwa Karatu. Ninayaweka kwenye Makundi mawili kama ifuatavyo:
i) Kitaifa na kuathiri pia Karatu:
a) Katibu wa CCM Mkoa, Mary Chatanda, aliweka Kambi Karatu na kipindi chote alikuwa akimshinikiza Returning Officer, wakati huo Bwana Mshamu, kutenda alivyotoka itokee. Mfano hai wa mashinikizo hayo ni kumlazimisha Fomu zichukuliwe tarehe 5 Oktober, 2009 katika kijiji cha Bashay, Kitongoji cha Njia Panda, ambapo yeye mwenyewe alikuwa ameenda kwa Assistant Returning Officer, na huyo alipomkatalia alimlazimisha RO himself Fomu hizo kupokelewa. Ni kweli Tarehe 5 Oktober, ilitangazwa kitaifa na Waziri Mkuu kuwa siku ya Mwisho ya kuchukua na kurudisha Fomu kwa vile siku ya kuchukua na kurudisha fomu ilikuwa na utata katika ratiba ya jumla iliyotolewa na TAMISEMI. Hata hivyo, jambo la ajabu ni kuwa Wagombea wa Chadema walipotaka kuchukua fomu siku hiyo hiyo ya Tarehe 5 Oktober, CCM walimshinikiza RO kukataa, na hata walipokata rufaa, rufaa yao haikujibiwa hadi leo. Matokeo ya hali hiyo, ni kuwa Katika kijiji cha Buger, ambayo kwa asili ilikuwa ngome ya CCM wagombea wote wa Chadema walinyimwa haki yao kuchukua na kurudisha Fomu. Chadema ilikosa wagombea katika kijiji kizima. (Ikumbukwe kuwa Siku ya tarehe 5 kimsingi iliongezwa na Waziri Mkuu kama matokeo ya Barua ya Chadema kwa Waziri Mkuu kutokana na utata huo uliojitokeza katika Ratiba. Lakini Chadema iliyoomba siku ziongezwe ndiyo ikanyimwa haki na ccm ikalazimishiwa wapewe. (Double standard treatment as a result of undue pressure and influence of ccm leaders). Kitendo hicho cha CCM kilipotezea haki pia maeneo mengi kitaifa baada ya wagombea wengi wa upinzani kunyimwa haki hiyo ya kuchukua fomu.
b) Wagombea wengi wa Chadema, Karatu na maeneo mengine ya Taifa letu walienguliwa kwa kitu ambacho ukiukwaji mkubwa wa Kanuni za uchaguzi. Kanuni ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Toleo la 2009, inatamka kuwa "mgombea atadhaminiwa na Afisa wa Chama". Tamisemi wakatengeneza "Mwongozo" bila kushirikisha Wadau, na kuongeza kuwa "...atadhaminiwa na afisa wa ngazi ya chini kabisa ya chama". Jambo hili limeathiri sana Chadema kwa kuwa "ngazi ya chini kabisa" kwa Katiba ya Chadema, Toleo la 2006 ni "Msingi", ngazi ambayo siyo ya kiutendaji na wala siyo ngazi yenye mamlaka ya kudhamini au kuteua. Kwa mwongozo huo, wagombea wengi wa Chadema, Karatu na wilaya nyingi, pale ambapo Assistant Returning Officers wamepewa maelekezo ya "kuzuia" walizuia wagombea wetu. Kwa Taarifa ambazo zimetufikia, Wilaya 10 wagombea wetu walizuiwa kabisa, na mahali kama Karatu, walizuiwa katika maeneo ambayo walijua ni ngome za Chadema. Tumelalamika kwa maandishi kwa TAMISEMI na hata kwa Ofisi ya Waziri Mkuu, lakini hadi leo hatujajibiwa. Kimsingi, kilichofanyika ni kutulazimisha kufanya kitu ambacho ni kinyume na Katiba yetu, lakini kwa kuwa TAMISEMI ndio Mchezaji na ndio Referee tukakosa pa kukatia rufaa. Hatua hii, yenye sura ya kisheria, ni hatua mbaya kuliko zote ambazo zimetumika kuwaondoa wagombea wa Upinzani. Tumegundua mbinu kama hiyo inataka kutumika kwa kutumia Mswada wa Sheria wa Party Funding Act, ambao unategemewa kuwasilishwa Bungeni. Ningependa wana JF wautazame kwa umakini bila ushabiki, na kuufanyia analysis kuona faida na madhara ya Sheria hiyo. Inawezekana Sheria hiyo ikipita ndio mwisho wa Upinzani kabisa Tanzania. Siku za hivi Karibuni tutatoa Tamko rasmi kuhusu jambo hili.
2: Mambo yaliyofanyika Karatu:
a) Yusuf Makamba na Mary Chatanda, walitumia nafasi yao kulazimisha mambo waliyotaka yafinyike. Walipoona RO hakubaliani naye wakamhamisha siku 3 kabla ya Uchaguzi, jambo ambalo liliathiri sana maamuzi mengi, kwani aliyekaimu kwa kuona ajira yake ilikuwa mashakani aka compromise mambo mengi, km katika kijiji cha Bassodawish, Assistant Returning Officer, alitangaza viti maalum wa CCM na kumwacha mgombea wa Chadema aliyekuwa amepata kura 300 yaani kumshinda mwenzake kwa zaidi ya kura 200. Ag.RO alishindwa kuchukua hatua hata baada ya kupelekewa malalamiko na rufaa kwa taratibu za kirufaa.
b) Maelekezo ya kumhamisha Returning Officer,(DED) bwana Mshamu yalitolewa na JK mwenyewe, ambaye alikuwa mapumziko Ngorongoro kwa kumpigia Waziri Mkuu Pinda, na kumtaka amhamishe RO. Japo Celine Kombani, Waziri TAMISEMI ameeleza kuwa ni kwa sababu za Kiafya siyo kweli. Kombani mwenyewe alikuwa amepigiwa simu na Yusuf Makamba kufanya hivyo hivyo. Isitoshe, Bwana Solanus Nyimbi aliyekuwa RO wakati wa Uchaguzi Mkuu, 2005 na Bwana Mayalla ambao wote walikuwa TAMISEMI makao makuu wakaagizwa wakati huo huo na pia wawe demoted na kuondolewa kwenye nafasi zao kwa kilichoitwa "kuuza jimbo la Karatu 2005", jambo ambalo JK amepotoshwa na Mary Chatanda na Yusuf Makamba. Ukweli kuhusu CCM ilivyovurunda kwenye uchaguzi huo, na hatimaye kushindwa pia mahakamani inaonekana dhahiri katika hukumu ya Kesi ya Uchaguzi, katika hukumu iliyotolewa na Jaji Makaramba. JK badala ya kusoma hukumu ambayo iko open kwa mtu yeyote, kwa vile hukumu ni public documents, akatoa maagizo ya kuwa demote viongozi hao ambao kimsingi ni watu waliosimama kwenye sheria na kukataa kupindisha sheria kama walivyokuwa wakilazimishwa na ccm na viongozi wa Serikali.
c) Ni dhahiri kama wameweza kufanya hayo kwa Karatu ambayo Chadema ni chama tawala, ni dhahiri hali ni mbaya zaidi katika maeneo mengineyo kama ilivyokuwa inaripotiwa na viongozi wetu. Hali hii inaendelea, kama mlivyosoma hivi karibuni katika hukumu iliyotokea Mbozi, ambapo Mwenyekiti wetu wa Jimbo kwa kilichoitwa "kumtazama hakimu kwa jicho la piriton". Bwana huyo sasa hivi yuko jela anamalizia hukumu yake ya miezi miwili ( pamoja na kwamba amekata rufaa).
d) kutokana na matumizi ya sheria, sasa ndio tumeelewa ni kwanini ccm imeagiza magari 200 kwa matumizi ya uchaguzi. Anayetaka kupata tafsiri sahihi, asome Muswada unaoenda Bungeni mwezi Februari, kujua athari ya sheria hizo na uhusiano wake na kitendo cha ccm kuagiza magari 200. Hapa sizungumzii suala la fedha wamepata wapi, na ushuru waliokwepa suala ambalo nimeliweka bayana, na ushahidi niko tayari kuutoa mahakamani ikihitajika.
Nadhani kwa hayo machache nimetoa picha ya kutosha. Kimsingi ni kama cinema, lakini ndio ukweli huo.

Thanks alot Dr for your clarification..
umeeleweka vya kutosha kiongozi wetu..
Dr.. naomba maoni yako..unamchukuliaje zito kabwe??
Je me nikisema kuwa ni mamluki na anataka kutuvurugia chama nitakuwa nakosea??kama niko sahihi kwa nini still chama kina mu entertain!!!
I hope what he is waiting ni bunge kuvunjwa ili apate mafao yake ndo ajifanye kujiuzulu Chadema..
Please Dr...flush him away kama mkithibitisha kama huyo jamaa ni mamaluki..
 
Thanks alot Dr for your clarification..
umeeleweka vya kutosha kiongozi wetu..
Dr.. naomba maoni yako..unamchukuliaje zito kabwe??
Je me nikisema kuwa ni mamluki na anataka kutuvurugia chama nitakuwa nakosea??kama niko sahihi kwa nini still chama kina mu entertain!!!
I hope what he is waiting ni bunge kuvunjwa ili apate mafao yake ndo ajifanye kujiuzulu Chadema..
Please Dr...flush him away kama mkithibitisha kama huyo jamaa ni mamaluki..
Dear Bramo,
Thanks. Concerns and opinion noted.
 
dr slaa hivi hayo mabavu ya ccm yataisha bila waTZ kupigana kama kenya kweli??
 
Kuweka kumbukumbu sahihi majimbo ya upinzani ni pamoja na jimbo la Bariadi Mashariki au John Mamose Cheyo yupo CCM ? Waandishi wa makala watuambie
 
Lunyungu na wana JF,
Namshukuru sana Lunyungu kwa kuomba niyaeleze hapa hapa. Ninatumia nafasi hii pia ili ieleweke kuwa iwapo wameyafanya hayo Karatu basi ni kazi kubwa zaidi ambapo Chadema au vyama vya upinzani havijaweka msingi wa kutosha. Mambo yenyewe mengine yamefanyika kitaifa na mengine specifically kwa Karatu. Ninayaweka kwenye Makundi mawili kama ifuatavyo:
i) Kitaifa na kuathiri pia Karatu:
a) Katibu wa CCM Mkoa, Mary Chatanda, aliweka Kambi Karatu na kipindi chote alikuwa akimshinikiza Returning Officer, wakati huo Bwana Mshamu, kutenda alivyotoka itokee. Mfano hai wa mashinikizo hayo ni kumlazimisha Fomu zichukuliwe tarehe 5 Oktober, 2009 katika kijiji cha Bashay, Kitongoji cha Njia Panda, ambapo yeye mwenyewe alikuwa ameenda kwa Assistant Returning Officer, na huyo alipomkatalia alimlazimisha RO himself Fomu hizo kupokelewa. Ni kweli Tarehe 5 Oktober, ilitangazwa kitaifa na Waziri Mkuu kuwa siku ya Mwisho ya kuchukua na kurudisha Fomu kwa vile siku ya kuchukua na kurudisha fomu ilikuwa na utata katika ratiba ya jumla iliyotolewa na TAMISEMI. Hata hivyo, jambo la ajabu ni kuwa Wagombea wa Chadema walipotaka kuchukua fomu siku hiyo hiyo ya Tarehe 5 Oktober, CCM walimshinikiza RO kukataa, na hata walipokata rufaa, rufaa yao haikujibiwa hadi leo. Matokeo ya hali hiyo, ni kuwa Katika kijiji cha Buger, ambayo kwa asili ilikuwa ngome ya CCM wagombea wote wa Chadema walinyimwa haki yao kuchukua na kurudisha Fomu. Chadema ilikosa wagombea katika kijiji kizima. (Ikumbukwe kuwa Siku ya tarehe 5 kimsingi iliongezwa na Waziri Mkuu kama matokeo ya Barua ya Chadema kwa Waziri Mkuu kutokana na utata huo uliojitokeza katika Ratiba. Lakini Chadema iliyoomba siku ziongezwe ndiyo ikanyimwa haki na ccm ikalazimishiwa wapewe. (Double standard treatment as a result of undue pressure and influence of ccm leaders). Kitendo hicho cha CCM kilipotezea haki pia maeneo mengi kitaifa baada ya wagombea wengi wa upinzani kunyimwa haki hiyo ya kuchukua fomu.
b) Wagombea wengi wa Chadema, Karatu na maeneo mengine ya Taifa letu walienguliwa kwa kitu ambacho ukiukwaji mkubwa wa Kanuni za uchaguzi. Kanuni ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Toleo la 2009, inatamka kuwa "mgombea atadhaminiwa na Afisa wa Chama". Tamisemi wakatengeneza "Mwongozo" bila kushirikisha Wadau, na kuongeza kuwa "...atadhaminiwa na afisa wa ngazi ya chini kabisa ya chama". Jambo hili limeathiri sana Chadema kwa kuwa "ngazi ya chini kabisa" kwa Katiba ya Chadema, Toleo la 2006 ni "Msingi", ngazi ambayo siyo ya kiutendaji na wala siyo ngazi yenye mamlaka ya kudhamini au kuteua. Kwa mwongozo huo, wagombea wengi wa Chadema, Karatu na wilaya nyingi, pale ambapo Assistant Returning Officers wamepewa maelekezo ya "kuzuia" walizuia wagombea wetu. Kwa Taarifa ambazo zimetufikia, Wilaya 10 wagombea wetu walizuiwa kabisa, na mahali kama Karatu, walizuiwa katika maeneo ambayo walijua ni ngome za Chadema. Tumelalamika kwa maandishi kwa TAMISEMI na hata kwa Ofisi ya Waziri Mkuu, lakini hadi leo hatujajibiwa. Kimsingi, kilichofanyika ni kutulazimisha kufanya kitu ambacho ni kinyume na Katiba yetu, lakini kwa kuwa TAMISEMI ndio Mchezaji na ndio Referee tukakosa pa kukatia rufaa. Hatua hii, yenye sura ya kisheria, ni hatua mbaya kuliko zote ambazo zimetumika kuwaondoa wagombea wa Upinzani. Tumegundua mbinu kama hiyo inataka kutumika kwa kutumia Mswada wa Sheria wa Party Funding Act, ambao unategemewa kuwasilishwa Bungeni. Ningependa wana JF wautazame kwa umakini bila ushabiki, na kuufanyia analysis kuona faida na madhara ya Sheria hiyo. Inawezekana Sheria hiyo ikipita ndio mwisho wa Upinzani kabisa Tanzania. Siku za hivi Karibuni tutatoa Tamko rasmi kuhusu jambo hili.
2: Mambo yaliyofanyika Karatu:
a) Yusuf Makamba na Mary Chatanda, walitumia nafasi yao kulazimisha mambo waliyotaka yafinyike. Walipoona RO hakubaliani naye wakamhamisha siku 3 kabla ya Uchaguzi, jambo ambalo liliathiri sana maamuzi mengi, kwani aliyekaimu kwa kuona ajira yake ilikuwa mashakani aka compromise mambo mengi, km katika kijiji cha Bassodawish, Assistant Returning Officer, alitangaza viti maalum wa CCM na kumwacha mgombea wa Chadema aliyekuwa amepata kura 300 yaani kumshinda mwenzake kwa zaidi ya kura 200. Ag.RO alishindwa kuchukua hatua hata baada ya kupelekewa malalamiko na rufaa kwa taratibu za kirufaa.
b) Maelekezo ya kumhamisha Returning Officer,(DED) bwana Mshamu yalitolewa na JK mwenyewe, ambaye alikuwa mapumziko Ngorongoro kwa kumpigia Waziri Mkuu Pinda, na kumtaka amhamishe RO. Japo Celine Kombani, Waziri TAMISEMI ameeleza kuwa ni kwa sababu za Kiafya siyo kweli. Kombani mwenyewe alikuwa amepigiwa simu na Yusuf Makamba kufanya hivyo hivyo. Isitoshe, Bwana Solanus Nyimbi aliyekuwa RO wakati wa Uchaguzi Mkuu, 2005 na Bwana Mayalla ambao wote walikuwa TAMISEMI makao makuu wakaagizwa wakati huo huo na pia wawe demoted na kuondolewa kwenye nafasi zao kwa kilichoitwa "kuuza jimbo la Karatu 2005", jambo ambalo JK amepotoshwa na Mary Chatanda na Yusuf Makamba. Ukweli kuhusu CCM ilivyovurunda kwenye uchaguzi huo, na hatimaye kushindwa pia mahakamani inaonekana dhahiri katika hukumu ya Kesi ya Uchaguzi, katika hukumu iliyotolewa na Jaji Makaramba. JK badala ya kusoma hukumu ambayo iko open kwa mtu yeyote, kwa vile hukumu ni public documents, akatoa maagizo ya kuwa demote viongozi hao ambao kimsingi ni watu waliosimama kwenye sheria na kukataa kupindisha sheria kama walivyokuwa wakilazimishwa na ccm na viongozi wa Serikali.
c) Ni dhahiri kama wameweza kufanya hayo kwa Karatu ambayo Chadema ni chama tawala, ni dhahiri hali ni mbaya zaidi katika maeneo mengineyo kama ilivyokuwa inaripotiwa na viongozi wetu. Hali hii inaendelea, kama mlivyosoma hivi karibuni katika hukumu iliyotokea Mbozi, ambapo Mwenyekiti wetu wa Jimbo kwa kilichoitwa "kumtazama hakimu kwa jicho la piriton". Bwana huyo sasa hivi yuko jela anamalizia hukumu yake ya miezi miwili ( pamoja na kwamba amekata rufaa).
d) kutokana na matumizi ya sheria, sasa ndio tumeelewa ni kwanini ccm imeagiza magari 200 kwa matumizi ya uchaguzi. Anayetaka kupata tafsiri sahihi, asome Muswada unaoenda Bungeni mwezi Februari, kujua athari ya sheria hizo na uhusiano wake na kitendo cha ccm kuagiza magari 200. Hapa sizungumzii suala la fedha wamepata wapi, na ushuru waliokwepa suala ambalo nimeliweka bayana, na ushahidi niko tayari kuutoa mahakamani ikihitajika.
Nadhani kwa hayo machache nimetoa picha ya kutosha. Kimsingi ni kama cinema, lakini ndio ukweli huo.
Pole sana na huu mwenendo wa CCM kuigeuza Tanzania Zimbabwe, na napenda kukushauri uandike ripoti na kuiwakilisha kwa donors countries ikielezea ukiritimba wao na kuwaomba watoe msukumo on free and fair election coming November 2010
 
Back
Top Bottom