zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Baada ya Kuripotiwa Mmiliki wa Meli ni yule mbunge mh Jaku.kumbe yule ni Msimamizi tu,lakini wamiliki halali ni mke alieachika wa awamu ya pili aliekutwa na madawa ya kulevya Bi Siti Mwinyi.Na mwanae Dr Hussein mwinyi ambae ni Waziri wa ulinzi.
Baada ya kusikia hZ TAARIFA nilianza kuziuliza kwa wapemba ninao wafahamu ambao ni wanajeshi jwtz Wote walikiri kuwa Wamiliki wa Meli hao niliowataja hapo juu na wakaenda mbali zaidi kuwa serikali haitamtaja kamwe,zaidi ya kuweka propaganda tu hapo "Wazanzibar wengi tunajua hilo lakini hatuwezi kusema"
Kama hizi habari ni za kweli sitakuwa na budi kuendelea kuchukia HAYA MAGAMBA.
Baada ya kusikia hZ TAARIFA nilianza kuziuliza kwa wapemba ninao wafahamu ambao ni wanajeshi jwtz Wote walikiri kuwa Wamiliki wa Meli hao niliowataja hapo juu na wakaenda mbali zaidi kuwa serikali haitamtaja kamwe,zaidi ya kuweka propaganda tu hapo "Wazanzibar wengi tunajua hilo lakini hatuwezi kusema"
Kama hizi habari ni za kweli sitakuwa na budi kuendelea kuchukia HAYA MAGAMBA.