Kumbe ardhi ina uwezo wa kuhifadhi na kusikia kila inachoambiwa?

Prince Mhando

JF-Expert Member
Mar 25, 2014
9,645
12,208
Ardhi inasemeshwa na inaelewa na inafanya kile ambacho imeambiwa najua huwezi amini hili ninalo kuambia ila ni rahisi sana kuamini kuwa kuna jamii fulani wao hawazai kabisa, kunajamii wao maendeleo wanayasikia kwa wenzao, kunajamii wao kila wakibeba Mimba hazikai lazima zitaalibika, kuna jamii wao muda wote wanasumbuliwa na magonjwa, kuna jamii nyingine zinaandamwa sana na misiba kumbe wachawi wameisemesha ardhi hiyo na kila atakae kanyaga hapo lazima matatizo hayo yamkumbe...
witch-land-2.jpg

Kikubwa kinachofanyika mchawi anakuja kwenye eneo lako anachuka ardhi ya hapo kwako anachanganya na mchanga wa eneo ulilokanya kisha mchawi anaongea na kuiamrisha ardhi kuwa upatwe na madhara wewe na kila atakae kaa eneo hilo. Ndio maana kuna baadhi ya nyumba leo hii kila ukienda kulala utaota ndoto mbaya za kutisha na kesho ukiamka utakuwa mgonjwa watu wote watashangaa maana jana ulikuwa mzima. Ardhi inamezeshwa mambo mengi sana maadui wanaitumia hii ardhi wanaiamrisha na inawatii. Mchawi anaweza akaiamrisha ardhi ya eneo unalotaka kujenga ukajenga nyumba ukashindwa kuimalizia kuna majumba mabovu mengi wenyewe wanauwezo mkubwa chaajabu hawaziendeleze hizo nyumba tatizo si hao watu bali ardhi ya pale ilichotwa ikaambiwa isifanye jambo lolote la maendeleo...
0b29cc603e107c2a9f763581bc09659e.jpg

Fikiria leo kila panapotokea ugomvi labda wanagombea ardhi lazima mmoja atakufa tuu leo hii ukitaka kumshitaki mtu unatakiwa ujipange yeye ndie mkosaji kakuibia pengine, kakuchukulia mke labda lakini anakuwahi anaenda kwenye ardhi anaongea nayo anakuzika kabla hujafa kwakuwa wewe imani yako ni ndogo unajipanga kwenda mahakamani kushitaki kabla hujafika unagongwa na gari unakufa. Leo hii ardhi imeambiwa na wachawi kuna maeneo kila ikifika saa au muda fulani lazima ajari itokee eneo hilo hilo, tatizo sio ubovu wa magari tatizo ni agizo lililotolewa na wachawi juu ya ardhi ya eneo hilo ndo maana ata jinsi ajari za maeneo hayo zinavyotokea hakuna mtu anaeweza kuzizungumzia ata dereva muda mwingine anashindwa kuelewa nini hasa kilimsababishia kupata hiyo ajari.
thumbnail.php

Mtu anajenga nyumba yake imeisha kabla hajaamia anakufa, mwingine ananunua gari anaenda kulichukua anapata ajali mbaya anakufa, mwingine anafanya mitihani siku anaambiwa amefaulu anakufa,kumbe ardhi iliambiwa kisha akazikwa akiwa hai kisha baadae vitendo hutokea. Makafara ya kichawi yote yanafanyika ardhini na kuzikwa ardhini ardhi inameza mambo mengi mazito {wachawi wanajua}.
Siku ardhi itakapo pasuka mambo mazito mazito yakuogopesha yataonekana
kuna mazindiko na makafara mazito yaliyofanyika yanasumbua jamii hadi leo hii yote ni kwasababu ardhi huifadhi kumbukumbu, ardhi huwa haifuti kumbukumbu labda nguvu za Muumba zitumike kama ni sala watu waombe na kufunga ili kuifanya ardhi isahau kila kilichosemwa na kufukiwa ardhini.
haunted.jpg

Tunatakiwa tuyafute maneno yote mabaya yaliyotamkwa kwenye ardhi. Juhudi kubwa sana inahitajika ili jambo hilo litimie maana wachawi huwa wapo makini sana kufanya kila wanachokifanya hivyo ukianzisha vita ya kusafisha ardhi hakikisha unakuwa na imani kubwa na imani isiyoteteleka maana siku utakayoteteleka kiimani ndio siku tutakayo kuzika. Kwamaana ukiamua kupambana hakikisha muda wowote unakuwa imara.
13098193._SX540_.jpg

eddy_mhando Nasema hivi "nawakusanya na kuwakamata wachawi wote walioko humu JF, nje ya humu popote pale walipo kwenye mitaa yetu, kazini mwetu, mashuleni au vyuoni nguvu za MUNGU ziwatumbukize shimoni wachawi hao na takataka zao zote.Nguvu za MUNGU ziende zikakusanye mizigo yote waliokuwa wametubebesha wachawi hawa waondoke nayo watumbukie nayo ndani ya shimo, waondoke na magonjwa yao, watumbukie shimoni na vifo vyao, watumbukie na mikosi yao, kisha mwenyezi MUNGU aende akawaangamize kwa moto mzito usiozimika" NAUO MOTO USIZIMIKE HADI UMALIZE KAZI
ardhi imewekwa kwa ajili ya baraka.
Fantasy-Art-Original-artwork-control-variation-dog-attack-cloth-silk-art-wall-poster-and-prints.jpg_640x640.jpg
 
Ardhi inasemeshwa na inaelewa na inafanya kile ambacho imeambiwa najua huwezi amini hili ninalo kuambia ila ni rahisi sana kuamini kuwa kuna jamii fulani wao hawazai kabisa, kunajamii wao maendeleo wanayasikia kwa wenzao, kunajamii wao kila wakibeba Mimba hazikai lazima zitaalibika, kuna jamii wao muda wote wanasumbuliwa na magonjwa, kuna jamii nyingine zinaandamwa sana na misiba kumbe wachawi wameisemesha ardhi hiyo na kila atakae kanyaga hapo lazima matatizo hayo yamkumbe...
witch-land-2.jpg

Kikubwa kinachofanyika mchawi anakuja kwenye eneo lako anachuka ardhi ya hapo kwako anachanganya na mchanga wa eneo ulilokanya kisha mchawi anaongea na kuiamrisha ardhi kuwa upatwe na madhara wewe na kila atakae kaa eneo hilo. Ndio maana kuna baadhi ya nyumba leo hii kila ukienda kulala utaota ndoto mbaya za kutisha na kesho ukiamka utakuwa mgonjwa watu wote watashangaa maana jana ulikuwa mzima. Ardhi inamezeshwa mambo mengi sana maadui wanaitumia hii ardhi wanaiamrisha na inawatii. Mchawi anaweza akaiamrisha ardhi ya eneo unalotaka kujenga ukajenga nyumba ukashindwa kuimalizia kuna majumba mabovu mengi wenyewe wanauwezo mkubwa chaajabu hawaziendeleze hizo nyumba tatizo si hao watu bali ardhi ya pale ilichotwa ikaambiwa isifanye jambo lolote la maendeleo...
0b29cc603e107c2a9f763581bc09659e.jpg

Fikiria leo kila panapotokea ugomvi labda wanagombea ardhi lazima mmoja atakufa tuu leo hii ukitaka kumshitaki mtu unatakiwa ujipange yeye ndie mkosaji kakuibia pengine, kakuchukulia mke labda lakini anakuwahi anaenda kwenye ardhi anaongea nayo anakuzika kabla hujafa kwakuwa wewe imani yako ni ndogo unajipanga kwenda mahakamani kushitaki kabla hujafika unagongwa na gari unakufa. Leo hii ardhi imeambiwa na wachawi kuna maeneo kila ikifika saa au muda fulani lazima ajari itokee eneo hilo hilo, tatizo sio ubovu wa magari tatizo ni agizo lililotolewa na wachawi juu ya ardhi ya eneo hilo ndo maana ata jinsi ajari za maeneo hayo zinavyotokea hakuna mtu anaeweza kuzizungumzia ata dereva muda mwingine anashindwa kuelewa nini hasa kilimsababishia kupata hiyo ajari.
thumbnail.php

Mtu anajenga nyumba yake imeisha kabla hajaamia anakufa, mwingine ananunua gari anaenda kulichukua anapata ajali mbaya anakufa, mwingine anafanya mitihani siku anaambiwa amefaulu anakufa,kumbe ardhi iliambiwa kisha akazikwa akiwa hai kisha baadae vitendo hutokea. Makafara ya kichawi yote yanafanyika ardhini na kuzikwa ardhini ardhi inameza mambo mengi mazito {wachawi wanajua}.
Siku ardhi itakapo pasuka mambo mazito mazito yakuogopesha yataonekana
kuna mazindiko na makafara mazito yaliyofanyika yanasumbua jamii hadi leo hii yote ni kwasababu ardhi huifadhi kumbukumbu, ardhi huwa haifuti kumbukumbu labda nguvu za Muumba zitumike kama ni sala watu waombe na kufunga ili kuifanya ardhi isahau kila kilichosemwa na kufukiwa ardhini.
haunted.jpg

Tunatakiwa tuyafute maneno yote mabaya yaliyotamkwa kwenye ardhi. Juhudi kubwa sana inahitajika ili jambo hilo litimie maana wachawi huwa wapo makini sana kufanya kila wanachokifanya hivyo ukianzisha vita ya kusafisha ardhi hakikisha unakuwa na imani kubwa na imani isiyoteteleka maana siku utakayoteteleka kiimani ndio siku tutakayo kuzika. Kwamaana ukiamua kupambana hakikisha muda wowote unakuwa imara.
13098193._SX540_.jpg

eddy_mhando Nasema hivi "nawakusanya na kuwakamata wachawi wote walioko humu JF, nje ya humu popote pale walipo kwenye mitaa yetu, kazini mwetu, mashuleni au vyuoni nguvu za MUNGU ziwatumbukize shimoni wachawi hao na takataka zao zote.Nguvu za MUNGU ziende zikakusanye mizigo yote waliokuwa wametubebesha wachawi hawa waondoke nayo watumbukie nayo ndani ya shimo, waondoke na magonjwa yao, watumbukie shimoni na vifo vyao, watumbukie na mikosi yao, kisha mwenyezi MUNGU aende akawaangamize kwa moto mzito usiozimika" NAUO MOTO USIZIMIKE HADI UMALIZE KAZI
ardhi imewekwa kwa ajili ya baraka.
Fantasy-Art-Original-artwork-control-variation-dog-attack-cloth-silk-art-wall-poster-and-prints.jpg_640x640.jpg

Hadithi za kufikirika tu hizi (imaginary stories).
Ardhi inasemeshwa na inaelewa na inafanya kile ambacho imeambiwa najua huwezi amini hili ninalo kuambia ila ni rahisi sana kuamini kuwa kuna jamii fulani wao hawazai kabisa, kunajamii wao maendeleo wanayasikia kwa wenzao, kunajamii wao kila wakibeba Mimba hazikai lazima zitaalibika, kuna jamii wao muda wote wanasumbuliwa na magonjwa, kuna jamii nyingine zinaandamwa sana na misiba kumbe wachawi wameisemesha ardhi hiyo na kila atakae kanyaga hapo lazima matatizo hayo yamkumbe...
witch-land-2.jpg

Kikubwa kinachofanyika mchawi anakuja kwenye eneo lako anachuka ardhi ya hapo kwako anachanganya na mchanga wa eneo ulilokanya kisha mchawi anaongea na kuiamrisha ardhi kuwa upatwe na madhara wewe na kila atakae kaa eneo hilo. Ndio maana kuna baadhi ya nyumba leo hii kila ukienda kulala utaota ndoto mbaya za kutisha na kesho ukiamka utakuwa mgonjwa watu wote watashangaa maana jana ulikuwa mzima. Ardhi inamezeshwa mambo mengi sana maadui wanaitumia hii ardhi wanaiamrisha na inawatii. Mchawi anaweza akaiamrisha ardhi ya eneo unalotaka kujenga ukajenga nyumba ukashindwa kuimalizia kuna majumba mabovu mengi wenyewe wanauwezo mkubwa chaajabu hawaziendeleze hizo nyumba tatizo si hao watu bali ardhi ya pale ilichotwa ikaambiwa isifanye jambo lolote la maendeleo...
0b29cc603e107c2a9f763581bc09659e.jpg

Fikiria leo kila panapotokea ugomvi labda wanagombea ardhi lazima mmoja atakufa tuu leo hii ukitaka kumshitaki mtu unatakiwa ujipange yeye ndie mkosaji kakuibia pengine, kakuchukulia mke labda lakini anakuwahi anaenda kwenye ardhi anaongea nayo anakuzika kabla hujafa kwakuwa wewe imani yako ni ndogo unajipanga kwenda mahakamani kushitaki kabla hujafika unagongwa na gari unakufa. Leo hii ardhi imeambiwa na wachawi kuna maeneo kila ikifika saa au muda fulani lazima ajari itokee eneo hilo hilo, tatizo sio ubovu wa magari tatizo ni agizo lililotolewa na wachawi juu ya ardhi ya eneo hilo ndo maana ata jinsi ajari za maeneo hayo zinavyotokea hakuna mtu anaeweza kuzizungumzia ata dereva muda mwingine anashindwa kuelewa nini hasa kilimsababishia kupata hiyo ajari.
thumbnail.php

Mtu anajenga nyumba yake imeisha kabla hajaamia anakufa, mwingine ananunua gari anaenda kulichukua anapata ajali mbaya anakufa, mwingine anafanya mitihani siku anaambiwa amefaulu anakufa,kumbe ardhi iliambiwa kisha akazikwa akiwa hai kisha baadae vitendo hutokea. Makafara ya kichawi yote yanafanyika ardhini na kuzikwa ardhini ardhi inameza mambo mengi mazito {wachawi wanajua}.
Siku ardhi itakapo pasuka mambo mazito mazito yakuogopesha yataonekana
kuna mazindiko na makafara mazito yaliyofanyika yanasumbua jamii hadi leo hii yote ni kwasababu ardhi huifadhi kumbukumbu, ardhi huwa haifuti kumbukumbu labda nguvu za Muumba zitumike kama ni sala watu waombe na kufunga ili kuifanya ardhi isahau kila kilichosemwa na kufukiwa ardhini.
haunted.jpg

Tunatakiwa tuyafute maneno yote mabaya yaliyotamkwa kwenye ardhi. Juhudi kubwa sana inahitajika ili jambo hilo litimie maana wachawi huwa wapo makini sana kufanya kila wanachokifanya hivyo ukianzisha vita ya kusafisha ardhi hakikisha unakuwa na imani kubwa na imani isiyoteteleka maana siku utakayoteteleka kiimani ndio siku tutakayo kuzika. Kwamaana ukiamua kupambana hakikisha muda wowote unakuwa imara.
13098193._SX540_.jpg

eddy_mhando Nasema hivi "nawakusanya na kuwakamata wachawi wote walioko humu JF, nje ya humu popote pale walipo kwenye mitaa yetu, kazini mwetu, mashuleni au vyuoni nguvu za MUNGU ziwatumbukize shimoni wachawi hao na takataka zao zote.Nguvu za MUNGU ziende zikakusanye mizigo yote waliokuwa wametubebesha wachawi hawa waondoke nayo watumbukie nayo ndani ya shimo, waondoke na magonjwa yao, watumbukie shimoni na vifo vyao, watumbukie na mikosi yao, kisha mwenyezi MUNGU aende akawaangamize kwa moto mzito usiozimika" NAUO MOTO USIZIMIKE HADI UMALIZE KAZI
ardhi imewekwa kwa ajili ya baraka.
Fantasy-Art-Original-artwork-control-variation-dog-attack-cloth-silk-art-wall-poster-and-prints.jpg_640x640.jpg

Hizi ni hadithi zinazokaa kwenye ubongo wa anayeamini na wala si kweli kwenye dunia hii (imaginary stories).
 
Ardhi inao uwezo wa kusikia, kutunza kile ilichosikia na kutekeleza kile ilichosemeshwa

Kumb 30:19-2019 Nazishuhudiza mbingu na nchi juu yenu hivi leo, kuwa nimekuwekea mbele yako uzima na mauti, baraka na laana; basi chagua uzima, ili uwe hai, wewe na uzao wako; 20 kumpenda Bwana, Mungu wako, kuitii sauti yake, na kushikamana naye; kwani hiyo ndiyo uzima wako, na wingi wa siku zako; upate kukaa katika nchi Bwana aliyowaapia baba zako, Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kuwa atawapa.”
 
Ardhi inao uwezo wa kusikia, kutunza kile ilichosikia na kutekeleza kile ilichosemeshwa

Kumb 30:19-2019 Nazishuhudiza mbingu na nchi juu yenu hivi leo, kuwa nimekuwekea mbele yako uzima na mauti, baraka na laana; basi chagua uzima, ili uwe hai, wewe na uzao wako; 20 kumpenda Bwana, Mungu wako, kuitii sauti yake, na kushikamana naye; kwani hiyo ndiyo uzima wako, na wingi wa siku zako; upate kukaa katika nchi Bwana aliyowaapia baba zako, Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, kuwa atawapa.”
Asante kwa mistari mizuri ubarikiwe
 
Makazi yoyote baraka zake na maisha kwa ujumla hua inategemea na MUNGU wa kwanza kukaribishwa ktk ardhi hiyo,hiyo ni Madhabahu.kama walikalibishwa miungu wasio na mapenzi na wanadamu basi kila atakaezaliwa kinyume na hiyo miungu hataishi au ataishi bila mafanikio,ila ardhi yako kama umeinunua na ukamuita MUNGU mkuu muumba mbingu na nchi,MUNGU wa miungu,JEHOVA na ukamkabidhi yeye hakika utaishi na utafanikiwa ktk kila jambo lako,isipokua pia lazima uishi kama MUNGU aishivyo,ukikiuka lolote laweza fanyika nyumbani mwako kama kuna miungu mibaya ya majirani zako na wazee wa kale waliokalia hiyo ardhi.nakumbuka nikiwa peke yangu kama miezi mi4 sasa kabla sijahamia kwenye nyumba yangu nilienda usiku na kusimama ktk kila pembe ya uwanja wangu na nikamuita JEHOVA MUNGU MKUU MUUMBA MBINGU NA NCHI na nikamkabidhi anilinde mimi na familia yangu kama nilivyofanya wakati nimenunua huo uwanja mwaka juzi.
Huu ni uelewa na imani yangu
 
Back
Top Bottom