Magufuli aliwafundisha jinsi ya kufuatilia kero za wananchi lkn wote wamesha sahau, wapo viongozi wachache ambao huwa wanajituma sana ktk kufuatilia kero za wananchi mfano.Kiukweli hayati Magufuli aliogopwa yeye binafsi na wala siyo utawala wake kwa sababu kuna maeneo mambo ni vurugu tupu lakini watendaji ni wale wale.
Nimefika Magufuli Bus Terminal utaratibu wa ukataji tiketi na mpangilio wa mabasi ni hovyo kabisa.
Kwenye parking ya mabasi yaani wanapaki hadi barabarani na kuzibiana njia, basi la kuondoka saa 12 asubuhi linaweza kuondoka saa 1:15 kwa sababu tu ya kuzibiwa njia na mabasi mengine.
Mkuu wa mkoa liangalie hili.
Pili kwa sababu parking ina uwezo wa kuchukua mabasi 108 na mabasi yanayotoka asubuhi ni zaidi ya 200 basi yaruhusuni mabasi yanayoanzia Shekilango yasiingie hapo stendi kuu Mbezi.
Eid Mubarak!
Mhe. Awesu, mhe. Mwigulu, Jafo, Biteko, Lukuvi, wa Mifugo, Bashe, Gwajima, n.k,
wengine kwakweli ni kama wamegwaya.
kwani hiyo stendi ipo ktk wilaya gani?
maana hilo ni jukumu la mkuu wa wilaya husika na kamati zake akishindwa ndipo apande juu. lkn wamelala.
ndio maaana tumeona jana Bandarini hadi PM ameenda kutatua kero kanakwamba hamna waziri wala naibu waziri wala katibu mkuu!!