kesho kutwa
JF-Expert Member
- Dec 7, 2016
- 1,628
- 1,786
Baada ya kuondolewa wafanyakazi hewa Sasa waalimu wa arts kaeni mkao wa kula wote wanaajiriwa. Chanzo cha Habari Rais magufuli Leo huko moshi. Nawasilisha
Umemfuatilia hotuba yake? Uyo wa tamisemi na rais Nani mkubwa ?Yaani mmeshaambiwa na Tamisemi kwamba kuna Ziada ya Walimu 7000 wa Masomo ya Sanaa na bado mnajihesabia tu
Duuh kweli hatari.........
Amesemaje Mkuu ebu tupe matumaini kidogo,maana nilikua mbali na TVUmemfuatilia hotuba yake? Uyo wa tamisemi na rais Nani mkubwa ?
Subirini 2019 mambo yatakuwa fresh
Kasema saiv ajira zimefunguka watu wanaajiriwa walisitisha kwa ajili ya kupisha zoezi la kusaka wafanyakazi hewa. Saiv ni mwendo wa kuajiri kwa secta zote kama hivyo angesema walim wa arts hatowaajiri Ila kasema kwa wote mkuuAmesemaje Mkuu ebu tupe matumaini kidogo,maana nilikua mbali na TV