jashmoe32
JF-Expert Member
- Dec 4, 2012
- 1,087
- 423
Samahani ndugu zangu ila nilikuwa naomba msaada kujulishwa ni kitu gani huwa kinamfanya mwanaume goli la kwanza anakuwa na nguvu za kutosha ila baada ya hilo goli la kwanza, kinachofatia ni uume kulala.
Nawasilisha ndugu zangu na nategemea msaada wenu.
Nawasilisha ndugu zangu na nategemea msaada wenu.