Kumaliza mwaka 2017: Mtanzania ameelewa maono ya Rais Magufuli ktk kuijenga Tanzania mpya?

tramadol

JF-Expert Member
Oct 10, 2015
5,383
4,317
Toka Rais Magufuli aingie madarakani amekuwa akifanya mabadiliko mbalimbali ili kuijenga Tanzania mpya na haya ndiyo maono yako na kusisitiza watanzania kufanya kazi kwa bidii.

Je watanzania kwa toka November 2015 mpaka Decenber 2017 wamemuelewa Rais anataka Tanzania ije kuwa ni ya namna gani au maono yako ni yapi au ndoto zake ktk kuj=ijenga Tanzania mpya watanzania wamemuelewa kweli ili twende pamoja na kuifanya hiyo Tanzania mpya?

'Mfano wa Musa alipokuwa anawatoa wana wa Israel kutoka nchi ya utumwa Misri kwenda nchi ya ahadi waliopewa na Mungu wao ...walipitia misusuko mingi milima na mabonde na vikwazo vingi mpaka kufika nchi waliohaidiwa na Mungu wao'

Je watanzania wanajua wanakokwenda katika Tanzania mpya?
 
Nina maswali mawili

1. Je, ile bombadier yetu itawasili lini? Tangu Julai tunaingoja.

2. Je zile USD 300 milioni za makinikia tulizoahidiwa tumeshalipwa? Kama bado tutalipwa lini? (Tukumbuke Rais aliagiza zilipwe haraka zitumike kwenye miradi yetu)
 
Toka Rais Magufuli aingie madarakani amekuwa akifanya mabadiliko mbalimbali ili kuijenga Tanzania mpya na haya ndiyo maono yako na kusisitiza watanzania kufanya kazi kwa bidii.

Je watanzania kwa toka November 2015 mpaka Decenber 2017 wamemuelewa Rais anataka Tanzania ije kuwa ni ya namna gani au maono yako ni yapi au ndoto zake ktk kuj=ijenga Tanzania mpya watanzania wamemuelewa kweli ili twende pamoja na kuifanya hiyo Tanzania mpya?

'Mfano wa Musa alipokuwa anawatoa wana wa Israel kutoka nchi ya utumwa Misri kwenda nchi ya ahadi waliopewa na Mungu wao ...walipitia misusuko mingi milima na mabonde na vikwazo vingi mpaka kufika nchi waliohaidiwa na Mungu wao'

Je watanzania wanajua wanakokwenda katika Tanzania mpya?
1. Rais amekuwa anabadili watu, si mifumo (sheria na mifumo ya kusimamia sheria). Tena amekuwa anabadili kwa impulses zake, anaowapenda hawagusi... Huwezi kuleta mabadiliko kwa kubadili watu, na kuacha mifumo ileile. Ni sawa na kutia divai mpya kwenye viriba vikuukuu.

2. Rais hataki mawazo mbadala. Anatumia muda mwingi kuonesha kuwa wenye mawazo mbadala ni maadui, na anawashughulikia. Hata wanaomzunguka wanaogopa kwa kuwa lililo sahihi kwake ni lile linalotoka kichwani kwake.

3. Rais ametengeneza "opportunistic behaviour" kwa watendaji wake, ambapo unafiki unatawala. Watendaji hawatendi kuzingatia maslahi mapana ya nchi bali kumridhisha yeye.

4. Rais amekuwa na double standards. Rushwa ikitumika kununua wapinzani si kosa, ila anajifanya mkali dhidi ya rushwa.

5. Rais anataka sifa yeye binafsi, na ndio maana anaona magazeti na mitandao ya jamii ni adui zake.

Kwa kifupi haya, na mengine mengi, ni mambo ambayo yanaashiria kuwa hatuna uongozi sahihi kutupeleka mbele...
 
Nina maswali mawili

1. Je, ile bombadier yetu itawasili lini? Tangu Julai tunaingoja.

2. Je zile USD 300 milioni za makinikia tulizoahidiwa tumeshalipwa? Kama bado tutalipwa lini? (Tukumbuke Rais aliagiza zilipwe haraka zitumike kwenye miradi yetu)
Bombadier itafika tu maana ilishalipiwa kilichobaki hizo kesi zilizopo kumalizika ila kufika itafika
Hizo pesa za makinikia zitalipwa tu maana ni zet na tunaendelea kuhakikisha zinalipwa.

tatizo lako liko katika hayo mawili?
 
1. Rais amekuwa anabadili watu, si mifumo (sheria na mifumo ya kusimamia sheria). Tena amekuwa anabadili kwa impulses zake, anaowapenda hawagusi... Huwezi kuleta mabadiliko kwa kubadili watu, na kuacha mifumo ileile. Ni sawa na kutia divai mpya kwenye viriba vikuukuu.

2. Rais hataki mawazo mbadala. Anatumia muda mwingi kuonesha kuwa wenye mawazo mbadala ni maadui, na anawashughulikia. Hata wanaomzunguka wanaogopa kwa kuwa lililo sahihi kwake ni lile linalotoka kichwani kwake.

3. Rais ametengeneza "opportunistic behaviour" kwa watendaji wake, ambapo unafiki unatawala. Watendaji hawatendi kuzingatia maslahi mapana ya nchi bali kumridhisha yeye.

4. Rais amekuwa na double standards. Rushwa ikitumika kununua wapinzani si kosa, ila anajifanya mkali dhidi ya rushwa.

5. Rais anataka sifa yeye binafsi, na ndio maana anaona magazeti na mitandao ya jamii ni adui zake.

Kwa kifupi haya, na mengine mengi, ni mambo ambayo yanaashiria kuwa hatuna uongozi sahihi kutupeleka mbele...
Hayo yote matano iliyoyaandika ni dhana zako tu umeandika kwa akili na hisia zako hayana ushahidi wowote katika maelezo yako ili msomaji aukuelewe
 
Toka jamaa aingie kumekuwepo na vifo vingi sana vya watanzania na jamaa kimya uyafikili ndie anawatuma


Swissme
nadhani hapo ungetoa data na huku ukilinganisha na miaka mingine ya maraisi wengine ili kudhibitisha andiko lako kuwa kuna vifo vingi katik utawala wake ili sasa tujadili vizuri.......lakini ukisema tu kuna vifo vingi bila data mmmmh
 
Umeanzisha uzi tutoe maoni yetu au tuongee unavopenda wewe? Uruhusu ukweli si unafiki.

Niliyoandika yako wazi sana tu ikiwa mtu ni mtafuta ukweli. Hapo labda kwa kipofu na kiziwi (kichwani), au kwa watu walio na "opportunistic behaviour", wanaotaka kupendezesha watawala ili wateuliwe.
Hayo yote matano iliyoyaandika ni dhana zako tu umeandika kwa akili na hisia zako hayana ushahidi wowote katika maelezo yako ili msomaji aukuelewe
 
Hayo yote matano iliyoyaandika ni dhana zako tu umeandika kwa akili na hisia zako hayana ushahidi wowote katika maelezo yako ili msomaji aukuelewe

Huyo jamaa ameongea mambo matano ya kuonyesha tuna rais wa kawaida kabisa ambaye atatutoa sehemu moja kwenda nyingine, lakini sio kututoa kwenye umasikini kwenda kwenye maisha ya kati. Na mm namuunga mkono kabisa.
 
nadhani hapo ungetoa data na huku ukilinganisha na miaka mingine ya maraisi wengine ili kudhibitisha andiko lako kuwa kuna vifo vingi katik utawala wake ili sasa tujadili vizuri.......lakini ukisema tu kuna vifo vingi bila data mmmmh

Lissu kapigwa risasi adhalani.

Benn kauwawa baada ya kuuliza phd

Mwandishi wa habari

Masalfeti kibao yanakutwa na watu wamekufa ndani ya maji


Uchaguzi watanzania waamekufa kama njungu



Swissme
 
Umeanzisha uzi tutoe maoni yetu au tuongee unavopenda wewe? Uruhusu ukweli si unafiki.

Niliyoandika yako wazi sana tu ikiwa mtu ni mtafuta ukweli. Hapo labda kwa kipofu na kiziwi, au kwa watu walio na "opportunistic behaviour", wanaotaka kupendezesha watawala ili wateuliwe.

Umeongea ukweli ambao watawala na wapambe wao hawapendi kuusikia kabisa.
 
Mkuu tramadol swali zuri:

Kwanza kabisa kwa kipindi cha 2015-17 Nchi imekuwa kama nchi isiyokuwa na uongozi.Kisera bado sijaelewa kabisa sera za bwana mkubwa kama yeye Progressive au conservative.Sijaelewa hata kama ameshatambua kuwa Urais ni Taasisi na kwamba nchi inaendeshwa kwa sheria.Sijaona nia ya dhati ya kutaka uwazi kwani yeye anataka kuweka wazi madudu ya watangulizi wake huku madudu yake mengi akiyaficha.

Ninaona akiendesha sheria za kikoro na kizezeta huku akidanganya wananchi bila aibu.Naona udhaifu katika uteuzi wake na maamuzi yake mengi.Ni kama vile ana hofu na kuna mtu mwingine anaendesha nchi nyuma yake na yeye anazuga tu.

In short he is not yet comfortable in his position.

Swali kwa nyie ambao labda mko karibu.Hebu fuatilieni mjue WHO IS RUNNING THE SHOW BEHIND THE CURTAINS.
 
Nina maswali mawili

1. Je, ile bombadier yetu itawasili lini? Tangu Julai tunaingoja.

2. Je zile USD 300 milioni za makinikia tulizoahidiwa tumeshalipwa? Kama bado tutalipwa lini? (Tukumbuke Rais aliagiza zilipwe haraka zitumike kwenye miradi yetu)
Je ACACIA watatushitaki lini tuwalipe mabilioni?
 
sijaelewa kubomoa makazi ya wananchi wa morogoro road na kuwaacha waliompigia kura mwanza kwa kigezo cha human face.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Toka Rais Magufuli aingie madarakani amekuwa akifanya mabadiliko mbalimbali ili kuijenga Tanzania mpya na haya ndiyo maono yako na kusisitiza watanzania kufanya kazi kwa bidii.

Je watanzania kwa toka November 2015 mpaka Decenber 2017 wamemuelewa Rais anataka Tanzania ije kuwa ni ya namna gani au maono yako ni yapi au ndoto zake ktk kuj=ijenga Tanzania mpya watanzania wamemuelewa kweli ili twende pamoja na kuifanya hiyo Tanzania mpya?

'Mfano wa Musa alipokuwa anawatoa wana wa Israel kutoka nchi ya utumwa Misri kwenda nchi ya ahadi waliopewa na Mungu wao ...walipitia misusuko mingi milima na mabonde na vikwazo vingi mpaka kufika nchi waliohaidiwa na Mungu wao'

Je watanzania wanajua wanakokwenda katika Tanzania mpya?
If you completely love him,don't let others bored.Stop exposing your love to that man while others look at him as their problem creator.For God sake, i advice you take in your extremely love.Really I hate the man for making life of innocent ppl like me miserably.My Jesus Christ born in him to offer wisdom
 
1. Rais amekuwa anabadili watu, si mifumo (sheria na mifumo ya kusimamia sheria). Tena amekuwa anabadili kwa impulses zake, anaowapenda hawagusi... Huwezi kuleta mabadiliko kwa kubadili watu, na kuacha mifumo ileile. Ni sawa na kutia divai mpya kwenye viriba vikuukuu.

2. Rais hataki mawazo mbadala. Anatumia muda mwingi kuonesha kuwa wenye mawazo mbadala ni maadui, na anawashughulikia. Hata wanaomzunguka wanaogopa kwa kuwa lililo sahihi kwake ni lile linalotoka kichwani kwake.

3. Rais ametengeneza "opportunistic behaviour" kwa watendaji wake, ambapo unafiki unatawala. Watendaji hawatendi kuzingatia maslahi mapana ya nchi bali kumridhisha yeye.

4. Rais amekuwa na double standards. Rushwa ikitumika kununua wapinzani si kosa, ila anajifanya mkali dhidi ya rushwa.

5. Rais anataka sifa yeye binafsi, na ndio maana anaona magazeti na mitandao ya jamii ni adui zake.

Kwa kifupi haya, na mengine mengi, ni mambo ambayo yanaashiria kuwa hatuna uongozi sahihi kutupeleka mbele...

sijaelewa kubomoa makazi ya wananchi wa morogoro road na kuwaacha waliompigia kura mwanza kwa kigezo cha human face.
Ni mfano mwingine wa double standards, namba 4 kwenye andiko langu.
 
Back
Top Bottom