Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukinunua voucher unaweza uka2 mia ata namba yko ya mwnzo ya mtihan km account no. Yko km kule kwenye loans S1215/0020/2012 then no ya mtihan ya mwnzo km iyo unaitia kwenye application na iyo ya pil pia ina sehem yake ya kujaza iyo no. Km hujaingiza no. Zko zoye za f4 na f4 kutimiza credits huez kuletewa ujumbe unaoanza na neno congratulationsAna vyeti 2 vya form iv, manake alirudia bahadhi ya masomo ili kupata credits. Kwa sasa akitaka kulipia ile 50000 ya tcu anatumia namba ipi tafadhali. Napiga simu sana tcu ila iko bize saaana.
nataka nikusahihishe kidogo ilo neno congratulations huwezi kupata kama umejaza namba za form 4 peke yake mpaka umalize na za form six ndo unapata sawaUkinunua voucher unaweza uka2 mia ata namba yko ya mwnzo ya mtihan km account no. Yko km kule kwenye loans S1215/0020/2012 then no ya mtihan ya mwnzo km iyo unaitia kwenye application na iyo ya pil pia ina sehem yake ya kujaza iyo no. Km hujaingiza no. Zko zoye za f4 na f4 kutimiza credits huez kuletewa ujumbe unaoanza na neno congratulations
Yes that right utimize credit za form four kwenda five pia utimize point zako nne Two principal pass ndo unakuja ujumbe wa congratulationsnataka nikusahihishe kidogo ilo neno congratulations huwezi kupata kama umejaza namba za form 4 peke yake mpaka umalize na za form six ndo unapata sawa
Samahani nataka niulize kuna rafiki yangu ametengeneza account Tcu na matokeo yake amepata DEE vp anaweza akapata chuo?Yes that right utimize credit za form four kwenda five pia utimize point zako nne Two principal pass ndo unakuja ujumbe wa congratulations
Kama ametahiniwa 2016 kwa uelewa wangu na kwa mujibu wa TCU admission qualification nackitika kukwambia kwamba hana cfa ya kuanza degreeSamahani nataka niulize kuna rafiki yangu ametengeneza account Tcu na matokeo yake amepata DEE vp anaweza akapata chuo?
sawa asanteKama ametahiniwa 2016 kwa uelewa wangu na kwa mujibu wa TCU admission qualification nackitika kukwambia kwamba hana cfa ya kuanza degree
Anapata maaana system ikishakubali imekubali.Samahani nataka niulize kuna rafiki yangu ametengeneza account Tcu na matokeo yake amepata DEE vp anaweza akapata chuo?
Ndo nashangaa hapa system imekubali na amechagua course anasubiri kuchaguliwaSawa system imekibali vp kwenye kuchaguliwa course inataka 4 points from two subjects
Icho tena watajuwa wenyewe hukoNdo nashangaa hapa system imekubali na amechagua course anasubiri kuchaguliwa